Hiyo ulioiandika ni version ya watu wasiokielewa vizuri Kingereza.
Huwa sikisii.
Pitia hizi link ujielimishe zaidi:
Birds of a feather flock together - meaning and origin.
birds of a feather flock together definition, meaning - what is birds of a feather flock together in the British English Dictionary & Thesaurus - Cambridge Dictionaries Online
Birds of a feather flock together - Idioms by The Free Dictionary
Urban Dictionary: Birds of a feather flock together
birds of a feather flock together - Wiktionary
We need to pray for Pastor Gwajima, he is in a very critical condition but stable. All senior Pastors and his family are with him at TMJ hospital and Doctors have recommended him to be evacuated to Nairobi for further treatments. Hii ni kwa Mujibu wa Eng. Bihagaza, tumuombee huyu mtumishi Aisee, tone ya Msaidizi wake inatia simanzi. Will keep you all informed...
Sasa Gwajima mkwara wote ule kuwa aogopi polisi Kova kumuangalia tu presha ikapanda na kuzimia, Pengo kwao ni Sumbuwanga alikuwa anajipanga kwenda kuonana na wazee, pro-Chadema mwambieni Gwajima amuombe msamaha Pengo yaishe.
Sasa Gwajima mkwara wote ule kuwa aogopi polisi Kova kumuangalia tu presha ikapanda na kuzimia, Pengo kwao ni Sumbuwanga alikuwa anajipanga kwenda kuonana na wazee, pro-Chadema mwambieni Gwajima amuombe msamaha Pengo yaishe.
Duh!! Vipi kuhusu Mahakama ya Kadhi? Naona jk hakutendei haki haswa. U-DC kakumwaga, ubunge wa kuteuliwa OUT. Sasa na mahakama yenu tena OUTBirds of a feather flock together.
Dr Slaa baada kumsakama Kikwete na familia yake kwa muda mrefu baada ya kuukosa urais,sasa hivi ameamua kupitia Gwajima amtukane PENGO baada kuona kuwa hajaunga mkono msimamo wa UKAWA kuhusu katiba iliyopendekezwa na suala la mahakama ya kadhi.
We need to pray for Pastor Gwajima, he is in a very critical condition but stable. All senior Pastors and his family are with him at TMJ hospital and Doctors have recommended him to be evacuated to Nairobi for further treatments. Hii ni kwa Mujibu wa Eng. Bihagaza, tumuombee huyu mtumishi Aisee, tone ya Msaidizi wake inatia simanzi. Will keep you all informed...
Comment yako tu unaonesha ni mtu wa aina gani.ni nyerere ndio aliharibu hii nchii
Akipigwa shoti ya umeme ataamka
Chadema imeanguka kisiasa ili kiendelee kuishi kwa matumaini kimeamua kiishi chini ya mwamvuli wa UKAWA na Kanisa la ufufuo na uzima..
Dr Slaa baada kumsakama Kikwete na familia yake kwa muda mrefu baada ya kuukosa urais,sasa hivi ameamua kupitia Gwajima amtukane PENGO baada kuona kuwa hajaunga mkono msimamo wa UKAWA kuhusu katiba iliyopendekezwa na suala la mahakama ya kadhi.
Kwani kufanya comparison ya level of development kunahitaji MTU uishi ktk vipindi vyote?
Leo tunafanya comparison ya karne ya 15 na Leo nani alikuwepo karne ya 15?
Simple question: nani kashindwa kutawala baina ya JK na Nyerere?
Ukiikojolea je?... hata uchukuwe misahafu yote uiteketeze hapo hapo tunakupa vitu bila kupunguza wala kuzidisha hata nukta moja.
Za uso zipi kumwambia Pengo anavaa pampers?Kwani Gwajima ni Mwanachama wa CHADEMA? Matusi na Mikwara ya Pengo kwa Waislam vipi? kwanini huwa haiongelewi? au kwakuwa anatoka Sumbawanga? Gwajima alimpa Pengo za Uso vizuri sana ila aliharibu kwenye mahakama ya kadhi ...
We aliyoyafanya Pengo mbona huongelei? Pengo alimkera kila mtu
kama mfumo kristo unaongozwa na kikwete kwa nini umlaumu Dr Slaa nyie ndio nawaitaga masheik UbwabwaKabisa kabisa Slaa anataka mfumokristu nchini
Gwajima anacheza na Pengo? akitoka huko ni heshima na adabu, hiyo ni bashraf mziki kamili bado.
Sijawahi kuona nabii kunguru kama Gwajima, Unajua Kova alimwambia haya sema yote uliyokuwa unamwambia Pengo.Gwajima atafufuka baada ya juma la saba.Halafu atapaa mpaka Mikocheni.