Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Birds of a feather flock together.
kwani kuna bird wasio na feathers?
kama hujui uwe unawaacha waelevu waendelee kutumia misemo wanayoijua
Birds of a feather flock together.
Na Lowassa (na viongozi wengine wote akiwemo waziri mkuu) pia uenda kwa Gwajima. Inasemekana helkopta aliyonayo Gwajima imenunuliwa na Lowassa.
Hivi yule Rahma Al-kharus malaika wa nyuki yuko wapi siku hizi? Naona mambo yote wakuu wa wilaya maana wana adabu wale hawatoi tezi.
Thubutu! Slaa akanyage Mtambani 😡
kwani kuna bird wasio na feathers?
kama hujui uwe unawaacha waelevu waendelee kutumia misemo wanayoijua
Naona unataka kuleta mihemuko humu.Wagalatia bhana !.....huyu jamaa wa misukule alitukana wakatoliki wote !
Ingekuwa sisi katukanwa kiongozi wetu vile,.....heeeh 'tungefukuza mwizi kimya kimya' !
Sijui alichompa lakini inawezekana ni kile kinacho wapeleka wanasiasa na viongozi kwenye kanisa lake. Ni sawa na wanavyokwenda kwa yule wa Nigeria!Alimpa nini mpaka amnunulie chopa?
Popo hana manyoya
naona cheap popularity tu humu.Asalaam aleykum !
Dr slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana alipomtembelea mtumishi wa bwana askofu Gwajima, hali ilikuwa shwari utulivu wa hali ya juu na ulinzi ukiwa umeimarishwa mara dufu.
Nimejaribu kudadisi afya ya Gwajima inaonekana inaendelea vema na baadae tutajulishwa zaidi akipata nafuu na kuruhusiwa. Makachero wanamlinda Gwajima ila kivutio ulikuwa ujio wa Dr Slaa shughuli zilisimama na wagonjwa wakapata nafuu nakusema yuko wapi Rais wa mioyo ya watu tumshike mkono!
View attachment 238631Huyu hajamtenelea?Asalaam aleykum !
Dr slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana alipomtembelea mtumishi wa bwana askofu Gwajima, hali ilikuwa shwari utulivu wa hali ya juu na ulinzi ukiwa umeimarishwa mara dufu.
Nimejaribu kudadisi afya ya Gwajima inaonekana inaendelea vema na baadae tutajulishwa zaidi akipata nafuu na kuruhusiwa. Makachero wanamlinda Gwajima ila kivutio ulikuwa ujio wa Dr Slaa shughuli zilisimama na wagonjwa wakapata nafuu nakusema yuko wapi Rais wa mioyo ya watu tumshike mkono!
Naam,Mungu anasema usiabudu Miungu wengine wala kushikamana na njia zisizofaa.Kitendo cha MAHAKAMA YA KADHI kutaka kuingizwa kwenye Katiba ni sawa na kushirikisha wakristo kuabudu Miungu Mingine.Kitendo cha Kodi ya Mkristo na Mbunge wa Kikristo kuchangia Fedha na Mawazo ili kuboresha MAHAKAMA YA KADHI ni sawa na kumsaliti Mungu wao(YEHOVA) na kuanza kutumikia Matakwa ya Miungu wengine.Kama upo vizuri mimi nipo tayari kukurushia Vifungu vingi vya Biblia vinavyoonyesha jinsi gani MAHAKAMA YA KADHI ni ibada batili kwa Wakristo na hivyo haifai kuwashirikisha wakristo katika utekelezaji wake.Kwa hiyo Maaskofu wana uhalali wa kuwaambia Wakristo waikatae katiba inayowashirikisha kwenye IBADA YA miungu.
Mafunzo ya mtu anayeitwa kaldinali ni tofauti kabisa na mafunzo ya kutoa Nigeria.Nguvu ya Kadinali kiroho ni kubwa kuliko wengi tunavyodhani.
Siku nyingine asirudie kumtusi mtu asiyemjibu,katika hili Ndg.Gwajima amejifedhehesha sana.
Birds of a feather flock together.
Kwa mwenye akili atajifunza jambo hapa.Kuanzia urafiki wa SLAA na GWAJIMA na kutukanwa kwa kardinali PENGO.Kwani hata mwanasheria wa Dr Slaa ndg John Malya ndio mtetezi wa Gwajima polisi.
Ndio hao aliosema Gwajima kuwa wanavaa pampers?
Kadinali ni binadamu kama wewe, hasa akiwa amepata mshiko wa Rugenikima kupitia Mkombozi Bank.
Unaona, umeshindwa kuelewa "idiom" nyingine.
Walikudanganya kuwa lugha zina dini na wewe ukakubali?
Unazidi kunihakikishia kuwa shule ulienda kusomea ujinga.
Thubutu! Slaa akanyage Mtambani 😡
Gwajima si alisema aogopi polisi kuhojiwa tu presha imepanda na kuzimia.