Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Kumbe si wa Bukoba bali ulipenda tu kujiita "Bukoba boy" ili uonekane wa maana! Duh!

Ndiyo maana mjinga mjinga.

Pitia hizi link uelimike japo kiduchu, siku nyingine usibishane nami kwenye lugha ambayo hata ndoto nnaota kwa lugha hiyo:

Birds of a feather flock together - meaning and origin.

birds of a feather flock together definition, meaning - what is birds of a feather flock together in the British English Dictionary & Thesaurus - Cambridge Dictionaries Online

Birds of a feather flock together - Idioms by The Free Dictionary

Urban Dictionary: Birds of a feather flock together

birds of a feather flock together - Wiktionary

Hivi shule ulienda kusomea ujinga?

Hahahahahaha! Faiza unaotaga kikristo mie nilzani unaotaga kiarabu.
 
Hata kama Pengo kafanya makosa Gwajima kama kiongozi wa dini akupaswa kumtukana Pengo kiasi hicho.
Hata kama Gwajima kafanya makosa kwa 'kumrarua' mwadhama, bado ana haki ya kutembelewa hospitali
 
Tatizo Gwajima akiona macho ya misukule yake anajiona kama anahutubia dunia,haya mahojiano ya polisi sukari,presha,machozi na kupumua mfululizo kumempata.Nadhani akitoka itakuwa fundisho na atamuogopa mungu na hatojiita NABII tena!

Of course mimi hawa wachungaji na manabii huwa nawatilia mashaka. Lakini hao hao CCM wanaomsakama "padri" leo wamekuwa watetezi wa Askofu Pengo kwa sababu washampa mshiko wa Mkombozi Bank. Ndio Kilaini mwingine, wacha Gwajima amseme.
 
Dr slaa muungwana sana hana makuu! Lakini pia Pengo ajirekebishe! Huwezi kusaini makubaliano baadae unazungumza na vyombo vya habari kwamba mimi sikuhusika wala sikuwepo kwenye kikao cha maaskofu; huyu pengo ni tatizo hapa .

....Petro akasema simjui kabisa mtu huyu, mara jogoo akawika.
 
Kwa mwenye akili atajifunza jambo hapa.Kuanzia urafiki wa SLAA na GWAJIMA na kutukanwa kwa kardinali PENGO.Kwani hata mwanasheria wa Dr Slaa ndg John Malya ndio mtetezi wa Gwajima polisi.
Na Lowassa (na viongozi wengine wote akiwemo waziri mkuu) pia uenda kwa Gwajima. Inasemekana helkopta aliyonayo Gwajima imenunuliwa na Lowassa.
 
Back
Top Bottom