Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Tunazo akili hawakuwa na sababu ya kutuambia tupige kura ya HAPANA.wao ni binadamu kama wengine Uaskofu wao hauna maana kwamba wanauwezo wa kuwa remote ya kutaka kila wanachotaka wao kiwe
 
Tumesoma KATIBA ILIYOPENDEKEZWA hakuna mahali kuna Ibara inayotaja Mahakama ya Kadhi
 

Attachments

  • 1427603789322.jpg
    1427603789322.jpg
    52.3 KB · Views: 173
Ndivyo mnavyojazana ujinga huko makanisani siyo?

Sisi hatuabudu kitu chochote isipokuwa mungu mmoja tuh.

Nae ni yule muuumba wa mbingu na ardhi.

Makah tunaenda hijja kwa kuwa ni miongoni mwa nguzo kuu ya dini yetu tuliyoamrisha na mungu muumba.

1.shahada i.e kushuhudia kwamba hakuna apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mungu mmoja muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo na Muhammad ni mjumbe wake.

2.kuswali swala tano.

3.kufunga mwez wa Ramadhani.

4.Kutoa zaka.

5.kuhiji kwenye nyumba yake maka...i.e na huko ndiko ambako baba yetu nabiii ibrahim aliomba kwa Allah apafanye sehemu hiyo kuwa ni sehemu ya mkusanyiko wa watu ulimwenguni kote na mungu akamjibu dua hiyo.

Enhee tueleze sasa wewe lile Sanamu lililoveshwa chupi na kutundikwa msalabani nani kakuambia uliite mungu??

Makafiri tumieni akili japo kidogo.


Angalia huyu nae!!

Hivi unafikiri wale wanaoabudu ng'ombe hawaswali?teja zaidi ya swala tano?hawafungi?
Unafikiri hawatoi zaka kama mfanyanyo nyie waabudu SHETANI?
Unafikiri hawahiji kutembelea zile temple zao kama mfanyavyo?

Hilo unalosema ni lisanamu lililovishwa chupi ndilo hilohilo lililofufua wafu,lililotoa pepo wabaya,na ambalo Korani inadai kuja kwake ndio utakuwa mwisho wa ulimwengu!!!

Tupe sifa moja tu ya huyo mungu wako Allah inayoonyesha aliwahi hata KUFUFUA SISIMIZI zaidi zile sifa za UTEKAJI wa misafara ya wafanyabiashara na UBAKAJI wa mtume wake!!!!!!

Mungu gani anasema ashukuriwe aliyeumba KIUME na KIKE?Sasa yeye kaumba nini?



Acha kujipa matumaini,huwezi kuwa mtu timamu halafu ukamuamini MUNGU MFU aliyetungwa na Muddy kwa nia ya KUPATA WAFUASI!!!
 
Tunazo akili hawakuwa na sababu ya kutuambia tupige kura ya HAPANA.wao ni binadamu kama wengine Uaskofu wao hauna maana kwamba wanauwezo wa kuwa remote ya kutaka kila wanachotaka wao kiwe

Hawa watumishi wa bwana, waliumizwa sana baada ya kuona mkuu wa nchi ana side na kusema tuipigie kura ya NDIYO wakati mambo ya msingi yamechomolewa. Bila shaka ukitizama viongozi wengi wa serikali na chama wanasema tuipigie kura ya ndiyo! Ninaamini hata maaskofu wangesema tuipigie kura ya ndiyo usingesema yote hayo hahahaha!!
 
Ndivyo mnavyojazana ujinga huko makanisani siyo?

Sisi hatuabudu kitu chochote isipokuwa mungu mmoja tuh.

Nae ni yule muuumba wa mbingu na ardhi.

Makah tunaenda hijja kwa kuwa ni miongoni mwa nguzo kuu ya dini yetu tuliyoamrisha na mungu muumba.

1.shahada i.e kushuhudia kwamba hakuna apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mungu mmoja muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo na Muhammad ni mjumbe wake.

2.kuswali swala tano.

3.kufunga mwez wa Ramadhani.

4.Kutoa zaka.

5.kuhiji kwenye nyumba yake maka...i.e na huko ndiko ambako baba yetu nabiii ibrahim aliomba kwa Allah apafanye sehemu hiyo kuwa ni sehemu ya mkusanyiko wa watu ulimwenguni kote na mungu akamjibu dua hiyo.

Enhee tueleze sasa wewe lile Sanamu lililoveshwa chupi na kutundikwa msalabani nani kakuambia uliite mungu??

Makafiri tumieni akili japo kidogo.

Za asubuhi shekhe wangu! Imani ya mtu mwingine tusiichezee hata kidogo! Karibu kanisa katoliki la mitume ujifunze imani utaona raha sana kama unavyoona raha huko kwenye uislam
 
Kwan wakati wa mtakatifu nyerere kodi kulikua hakuna? Hao wamarekani nao hawakuwepo?

Naomba unipe ripoti nyerere alisafiri nchi zambali mara ngapi, na kikwete mara ngapi na enzi za mwalimu kulikuwa na mashamba makubwa na viwanda vikubwa vingapi na sasa vipo vingapi na enzi za mwalimu raslimal za nchi zilikuwa bado bkra na za kijani na sasa zipoje acha kupotosha historia inawahukumu.
 
Mkuu Athlete, umena vema kabisa.Tamko la Maaskofu lilizingatia na kutambua kuwa weledi wa waumini wao (ama Watanzania) walio wengi kuwa hawana ufahamu mpana na wa kutosha wa kuisoma na wala uwezo wa kuponda kuponda yaliomo kwenye KATIBA. Serikali ya CCM ilitumia kila mbinu chafu kwa kutumia udhaifu wa ukihio (high illiteracy rate nchini) wa WaTanzania walio wengi kuwa ile ni katiba inayowafaa na Rais na Cabinet yake wamezunguka nchini kote (kabla official campaign date) kuwa wanaichi waipigie kura ya NDIYO. Maaskofu baada ya kuifanyia mapitio na kujiridhisha wamewashauri waumini wao waipigie kura ya HAPANA. Watu wana sahau kuwa Maaskofu hawakusema waumini wasiiinde KUPIGA KURA. Swali ni kuwa yeye Pengo kama aliloona ni hili la Maaskofu wenzie kupitia baraza lao kusema waumini waipie kura ya hapana ....Hili la Rais na Cabinet yake kupigia chapua katiba ile kuwa ndio inayowafaa WaTanzania na waipigie kura ya NDIYO hili yeye Pengo haliioni hiloooo?
Imefika Mahali Pengo kama hana bora la kuwaeleza waumini / Watanzania ni bora anyamaze na awe mtazamaji tu kama hataki kutukanwa. Kauli zake si msaada kwa WaTanzania wa leo wenye kukabiliwa na changamoto kubwa mbele ya maisha yao. Inahitaji watu wenye mapenzi mema kwa WaTanzania kujikwamua hapa tulipokwama leo. Watu wanaoweza kueleza watu ukweli na uhalisia wa jambo, badala ya kuwachanganya watu kwa kutumia udhaufu wa ufahamu wao..

siku itafika baraza la maaskofu litawaambia waumini wao wasichague mgombea wa ccm wachague wa chadema! maumivu ya kichwa huanza polepole...

Baraza linaongozwa kwa busara na weledi mkubwa. Maamuzi hufanyika baada ya tafakuri jadidi na mijadala yenye kina na mipana na yenye kuangalia na kupima athari na maslahi yaliyo mapana zaidi mbele ya safari ya maisha ya watu. Na kwa minajili hiyo ndio maana halikuwashauri ati Waumini Wagomee kupiga kura bali waipigie kura ya HAPANA. Kwa maneno mengine baraza lilitumia busara sana tu.

Na tukitaka kuzungumza kwa mapana na kisheria zaidi ni kuwa hata hlo 'scenario' yako kuwa ya eti Baraza kushauri waumini wake wasichague mgombea au Chama fulani au Wagoomee kabisa kwenda kupiga "KURA" kituoni pia bado baraza lingekuwa limetimiza haki zake za kisheria, kidemokrasia na hata kikatiba pasipo kuingia matatani na jinai.

Imefika mahala WaTanzania tutafakari na tutambue mambo yanayo tukabili kwa mapana zaidi. Tujijengee uwezo wa kuzifahamu haki zetu na pia tuwajibike kwa haki zetu pia badala ya kukubali kiwepesi wepesi tu kukubali kuburizwa na watu wa tabaka fulani au serikali isiyowajibika kwa watu kama vile wao ndio pekee wenye haki fulani fulani. Ndio maana kuna usemi kuwa... "Haki bila ya wajibu bado haki hizo haziwezi kuwa haki"
 
Hata lugha (English) uliyotumia ni ya hao hao... Think big kibibi

Gwajima na Slaa kumbe English ni yao? usitakke kuchekesha watu saa hizi, umeshamuona Slaa au Gwajima akihutubia kondoo kwa English hata siku moja?
 
Ndivyo mnavyojazana ujinga huko makanisani siyo?

Sisi hatuabudu kitu chochote isipokuwa mungu mmoja tuh.

Nae ni yule muuumba wa mbingu na ardhi.

Makah tunaenda hijja kwa kuwa ni miongoni mwa nguzo kuu ya dini yetu tuliyoamrisha na mungu muumba.

1.shahada i.e kushuhudia kwamba hakuna apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mungu mmoja muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo na Muhammad ni mjumbe wake.

2.kuswali swala tano.

3.kufunga mwez wa Ramadhani.

4.Kutoa zaka.

5.kuhiji kwenye nyumba yake maka...i.e na huko ndiko ambako baba yetu nabiii ibrahim aliomba kwa Allah apafanye sehemu hiyo kuwa ni sehemu ya mkusanyiko wa watu ulimwenguni kote na mungu akamjibu dua hiyo.

Enhee tueleze sasa wewe lile Sanamu lililoveshwa chupi na kutundikwa msalabani nani kakuambia uliite mungu??

Makafiri tumieni akili japo kidogo.
Hakuna popote ambapo sanamu linapoabudiwa kama Mungu , jee wewe na wafuasi wako acheni kujazana ujinga huko kwenye nyumba za kuratibu ugaidi,uzinzi na uasherati.Huku mkiahidiwa kuua wasiomuamini yule mpenda mademu kuwa mtaandaliwa mabikira 7 hao wanawake zenu nao wameandaliwa nini kwa kutekeleza mauaji!Akili ipo kwenye uasherati tuuu ndo maana uhalali wa kuoa lundo la wanawake kama chombo cha starehe.
 
Naomba unipe ripoti nyerere alisafiri nchi zambali mara ngapi, na kikwete mara ngapi na enzi za mwalimu kulikuwa na mashamba makubwa na viwanda vikubwa vingapi na sasa vipo vingapi na enzi za mwalimu raslimal za nchi zilikuwa bado bkra na za kijani na sasa zipoje acha kupotosha historia inawahukumu.
Asiyejua maana haambiwi maana ,huyu mtu kabombe achana nae atakufujia muda wako na rasilimali zako,Yeye akili yake kaiweka kulee anakoangalia muda wa ibada yake.Yeye mwambie kajilipue utapata mabikira huko uendako wala hashirikishi halmashauri ya ubongo wake ..

 
Siyo rais wa wote. Ukiwa na fungu la kumpa utamwambia chochote kotokana na fungu lako, mradi na yeye ajinome. Mkono mtupu haulambwi, au vipi?

Hayo ni mawazo duni. Kikwete yuko juu sana na ni tofauti na fikra zako, utabaki kubwabwaja, kuhororoja na kuzuwa uongo kila kukicha lakini ukweli unabaki kuwa ukweli, mmejaribu mmemshindwa, anakata mbuga wala hana cha kumsimamisha.
 
Dah hili nalo neno lakini ni afadhali kuamini sanamu lenye umbo la binadamu kama wewe kuliko kutumia pesa ya kigeni kwenda kuabudu jiwe jeusi huku maelfu kila mwaka wanakufa kwa majanga mara kukanyagana,mara joto kali....Imani kubwa zaidi ikiwa kwenye mambo ya mwili kuliko roho ambako ndo imani iliko, anayetumia muda mwingi kueneza propaganda na ushetani kwa dini ya mwenzake kuliko hata ile inayomhusu!

Hapo ndipo mawazo yako yamefika mwisho.

Unaona ni bora kuabudu mwanasesere wa kizungu mliemvisha nepi? Pole sana.

Vipi Gwajima, hajambo?
 
Gwajima na Slaa kumbe English ni yao? usitakke kuchekesha watu saa hizi, umeshamuona Slaa au Gwajima akihutubia kondoo kwa English hata siku moja?

Kwasababu una ukoma kwenye ubongo wako ndiyo maana ukawaza hivyo... Namaanisha hao unaowakashifu kwa dini yao ndiyo wenye hiyo lugha unayojitapa nayo hapo... Think big Kibibi
 
Back
Top Bottom