Hakuna mahala nilipomtetea Pengo mie napinga matusi ya Gwajima.Ukiona mpaka wakina Ritz na wenzake wanamtetea Pengo wakati sisi Wakatoriki tunapingana haye jua kuna kitu sio bure hata kidogo. Leo mfumo kristo unatetewa?
Hakuna mahala nilipomtetea Pengo mie napinga matusi ya Gwajima.
Namsubiri aje ajibu....
Nani aliyefungulia wahuni lango la ikulu kuchezea rasilimali zetu....
Namsubiri anijibu Kati ya JK na Nyerere nani alifungulia fisi na mafisadi milango ya ofisi zetu za umma.
Atuambie nani muasisi Wa kashfa na mtetezi mkuu Wa MEREMETA...EPA...RICHMOND....ESCROW n.k n.k
FaizaFoxy kati ya Nyerere na JK nani kashindwa kuongoza nchi?
Masheikh gani hao tena!Labda wameshamfira kama walivowafanyia wale masheikh wetu. Ccm ni sheeedah!
Mmoja alikuwa "haambiliki" lakini mwingine anaambilika na kila mtu, Lowasa, Rostam, mkewe, wanae, wauza madawa, wezi wa mali ya umma, majangili, waganga wa kienyeji.............
Wote ni wa dini moja wakristo tunamwabudu Mungu ktk utatu. Vp hali ya sheikh Ponda
Ukiona mpaka wakina Ritz na wenzake wanamtetea Pengo wakati sisi Wakatoriki tunapingana haye jua kuna kitu sio bure hata kidogo. Leo mfumo kristo unatetewa?
Satanic verses zimehifadhiwa
Kabisa kabisa Slaa anataka mfumokristu nchini
Naamini kuna watu wengi tu humu wanaongea bila ya kuangalia alichosema Pengo.
Kwani kunani huko au ndo chimbuko la IS,Boko H ,Alshabab na wenye itikadi kama hizo?:heh:Thubutu! Slaa akanyage Mtambani 😡
Katika kuandikisha maelezo police, kama unaweza, nenda na mwanasheria ili akuongoze. Hayo maelezo yanaweza tumika kukutetea au kukuangamiza. Kuhusu CDM hilo ni chaguo la mtuGwajima aliongozana makao makuu ya polisi,ili kuhojiwa akiambatana na John Mallya wakili wa chadema,hii inachanganya kidogo.
Kuna unshetani zaidi ya kuabudu mwansesere wa kizungu mliyemvesha nepi?
Jisomee: Woman Claims Time In Vatican Dungeon Satanic Rituals
Naam, ni raisi wa wote hao, na wewe pia umo. Lakini ukijidai kwenda na magunia hakupokei, sijuwi nani aliwadanganya mkienda mmevaa magunia mtapokewa haraka haraka Ikulu? watu wengine akili zao sijuwi wameziacha wapi, kwenye viroba, no doubt.
Misukule ni misukule tu hata uifanye nini haielekei, eti bangi zao zimewatuma wakienda na magunia ndiyo watapokewa, wakaishia lupango, unaleta ujinga na Ikulu?
Vipi Slaa, aliwatembelea wale chadema waliopo jela kwa kumminya kende Khalid?