Renegade
Platinum Member
- Mar 18, 2009
- 7,801
- 8,246
Hongera Assocaite Proffessor Kitila Mkumbo, umefika wakati wa kujitofautisha na Siasa sasa kama mwana taaluma, Fanya kazi yako ya taaluma zaidi achana na Siasa, Siasa za Bongo si za Wasomi bali wababaishaji ndio maana wasomi mkiingia kwenye siasa mnakuwa wababaishaji.