Prof. Kitila Mkumbo ashambuliwa vikali na wanafunzi wake mtandaoni

Tulimumu

JF-Expert Member
Mar 11, 2013
14,305
12,968
Katika ukurasa wake wa Face Book, Julius Mtatiro ambaye alikuwa mwanafunzi wa Prof Mkumbo pale chuo kikuu Dsm ameandika mada kali sana kumhusu Mwl wake huyo na ukigeu geu wake ambayo imechangiwa na wanafunzi wake wengi sana wa Prof huyo huku wengi wakimshambulia vikali kwa kuwa kigeu geu tofauti na jinsi alivyo wafundisha na kuwaaminisha wanafunzi hao wakati akiwafundisha darasani. Mimi ni mmojawapo wa wanafunzi wake ambaye kwakweli huwa namshangaa Prof huyo jinsi alivyopiga U turn.

Nilichokiona katika maoni tofauti ya wachangiaji ni kuwa watu wengi wamekata tamaa sana na kuwadharau wasomi wa ngazi ya Phd na Uprofesa kutokana na wao kudhalilisha taaluma hizo kwa kutokuwa na misimamo na kulainika ghafla na woga mwingi miongoni mwao ingawa wapo wasomi wa wachache wa ngazi hizo wenye misimamo. Hii ndiyo mada yenyewe:


Julius S. Mtatiro
13 hrs ·
PROF. KITILA (PhD), MWALIMU ALIYEMSALITI MWANAFUNZI WAKE!

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J

Nimeiona taarifa kwamba Prof. Kitila Mkumbo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji amemuandikia Barua Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT ambapo pamoja na mambo mengine amemueleza kuwa kitendo cha maaskofu wa kanisa kutoa waraka wa kichungaji ambao unaionya na kuikosoa serikali kinashusha hadhi na misingi ya kanisa.

Mimi namheshimu sana Mwalimu Kitila, ni Mwalimu aliyenifundisha Chuo Kikuu lakini hakunifundisha uoga na unafiki. Wanafunzi waliopita mikononi mwa Mwalimu Kitila wanajua kuwa siku zote alihubiri uthubutu, uchukuaji wa hatua, umoja, kutokukaa kimya, kupambana na udhalimu, kulinda misingi ya haki, demokrasia, utu na uwazi. Sehemu kubwa ya mambo aliyoyasimamia Mwalimu Kitila ni yale yale ambayo yanajenga taifa lililo kwenye ndoto ya watanzania wengi.

Lakini maoni ya sasa ya Prof. Kitila juu ya mwenendo wa nchi ni maoni potofu, yaliyojaa unafiki, woga, uongo na hayaakisi hali halisi na imani ya Mwalimu Kitila tumjuaye na aliyetujaza na kutushibisha imani hiyo. Mwalimu Kitila hata kama analinda kitumbua chake ni bora angelikaa kimya.

Watu wakubwa sana ndani ya CCM wanaamini mwenendo wa uongozi wa Rais Magufuli una matatizo makubwa na ya hatari kwenye maeneo mengi, maeneo ambayo ni moyo wa nchi. Suala la demokrasia ni moyo wa nchi yetu, mtu anayejaribu kutupeleka kwenye udikteta anagusa na kuchoma moyo wa nchi.

Suala la kuheshimu katiba na sheria za nchi na mgawanyo wa madaraka ya bunge, serikali na mahakama ni MOYO wa nchi. Mtu anayejaribu kuendesha nchi kibabe, kwa mkono wa chuma na kwa matamko na kauli binafsi zisizoheshimu katiba na sheria, mtu huyo anapasua moyo wa nchi.

Suala la kuheshimu haki za lazima za wananchi kama vile KUISHI, kutoa maoni, kukosoa, kukusanyika, kuandamana, kuhoji n.k. haliwezi kuwa na mjadala. Mtu anayepuuza haki hizo na katika utawala wake kumekithiri matukio makubwa ya mauaji ya kinyama, kunyamazisha wakosoaji, kuzuia shughuli za taasisi zingine halali za kisiasa n.k. Mtu huyo anapasua moyo wa nchi yetu, moyo huu unaitwa AMANI na msingi wa uwepo wake kwanza ni HAKI, Bila Haki hakuna Amani.

Mwalimu Kitila hata kama anaona madaraka yake ya sasa ni matamu sana, namshauri aachane na mikakati yoyote ya kutetea maovu na waovu. Kitila ana uhuru wa kutoa maoni yake lakini mimi nina uhuru mkubwa sana wa kuyakosoa waziwazi kwa sababu yeye ni mwalimu wangu. Mambo aliyonifundisha na kuniaminisha leo hii anayakana hadharani, kama Petro alivyomkana Yesu.

Wakati Maaskofu wa Makanisa mbalimbali wanainuka na kupaza sauti za kutetea haki na utu na umoja na misingi ya nchi yetu, sikumtegemea Mwalimu Kitila kuibuka na kuwaambia kuwa "..maoni yao hayaakisi hadhi na misingi ya kanisa."

Kwa tafsiri ya Kitila hadhi na misingi ya Kanisa ni kukalia kimya uovu. Kwamba, enzi za Dikteta Adolf Hitler, maaskofu na papa walipokaa kimya na mamilioni ya watu wakauawa huko ndiko kulinda hadhi na misingi ya kanisa. Ni kanisa lipi ambalo linalinda mauaji na kupora haki za watu. Hilo ni kanisa la shetani peke yake, Kanisa la wanaokunywa damu za watu wao.

Yani leo Mwalimu Kitila Mkumbo anapinga waraka wa maaskofu ambao unaionya serikali kuhusu mwenendo wake wa kukandamiza demokrasia na uhuru wa watu, bunge na mahakama.

Kitila anasema onyo la maaskofu kwa serikali kuwa inatuhumiwa kuhusika moja kwa moja au kufumbia macho mauaji ya raia wasio na hatia - ni jambo lisiloakisi hali halisi ya nchi yetu na linavunja misingi na hadhi ya kanisa!

Kwamba, Kitila anamaanisha kuwa maaskofu hawana uhalali wa kuzungumzia mwenendo mbovu wa nchi. Kwamba Kitila anamaanisha kuwa maaskofu wanapaswa kukaa kimya kwa sababu mambo ni SAFI sana nchini.

Kwamba Mwalimu Kitila anasema Maaskofu hawapaswi kuhoji chochote juu ya dola kununua madiwani na wabunge kama vile enzi za utumwa zimerudi na tena dola hiyo hiyo ikijitangaza kuwa inapiga vita rushwa na ufisadi.

Kwamba Mwalimu Kitila anasema makanisa yanapoteza hadhi na misingi yake ikiwa yanahoji juu ya kushuka na kuporomoka kwa uchumi.

Kweli aliyesema madaraka yanalevya sana hakukosea. Asante sana Mwalimu Kitila, historia ni mwalimu mkuu wa shule zote. Lakini nataka kuweka rekodi sahihi kuwa Mwalimu Kitila aliyekuwa GREAT THINKER si huyu wa sasa. Huyu ni mtetezi wa STATUS QUO na yuko tayari kusema na kusimamia uongo ilimradi tu mipango yake inyooke.

Mwalimu Kitila alinifundisha kushambulia hoja, nimezishambulia kupitia somo la Prof. Lwaitama "Critical Thinking and Argumentation", kama kuna mahali nimemgusa Mwalimu Kitila, at personal level, anisamehe sana. Ntakuwa nimefanya hivyo si kwa kumdharau bali kwa kumshangaa Mwalimu aliyemsaliti mwanafunzi wake na kumuacha kwenye mataa ya ubungo.

Shikamoo MADARAKA YA KULEVYA!

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J



Comments

Kitila Mkumbo
Umesoma maudhui ya barua yangu au unareact kwenye dondoo tu za Breaking News za Mwananchi? Tunapigania demokrasia lakini wenye mawazo tusiyoyapenda tunawaita wasaliti, wanafiki, waoga, ndio demokrasia hiyo?


Julius S. Mtatiro
Profesa Kitila Mkumbo, unafiki si tusi, usaliti si tusi, uoga si tusi...ulinifundisha kutotukana na huwa situkani. Lipumba alivyoondoka na kubwaga manyanga mwaka 2015 alitusaliti. Definition ya usaliti ni kuyageuka yale uliyoyaamini mwanzoni au kuwageuka wale uliokuwa ulipigana nao upande mmoja, yani kama vile mko vitani, wewe ni askari wa Marekani ghafla unahamia jeshi la Urusi. Na unajenga hoja, offcourse tutaziheshimu lakini utakuwa umetusaliti na jina lako ni msaliti.

Kuhusu woga, woga si tusi, woga ni ile hali ya mtu kuujua ukweli na asiusimamie kwa sababu ana hofu kuwa wapo watu au mtu au taasisi hazitapendezwa na msimamo wa ukweli wa mhusika. Mtu akikuita wewe ni mwoga hajakutukana, amekueleza hali inayokukabili tu.

Na unafiki si tusi, unafiki ni ile hali ya mtu kuujua ukweli na kisha kuusimamia uongo. Au kumueleza mtu A kuwa hili na kumueleza mtu B lile kwenye muktadha huo huo mmoja.

Unafiki si tusi Prof unless kama umeamua kuachana na hoja na maswali yote niliyokuuliza na kuhamia kwenye maneno machache hayo.

Katika andiko langu nimekuhoji mambo mengi ya msingi. Yanahitaji majibu mwalimu. Kama mambo niliyohoji hayana majibu basi, siyo mbaya.

Wewe umetufundisha kujenga hoja na kutomshambulia mtoa hoja. Na kwenye hoja yangu kukuita msaliti, mwoga au mnafiki sijakutukana, nimeeleza mambo hayo ili kuyahusianisha na Kitila wa mwaka 2015 back na Kitila wa mwaka 2016 kwenda mbele - Hawa ni Vi-tila wawili tofauti kabisa.

Kitila wa 2015 back alikuwa thabiti na msema kweli na bado alikuwa mtumishi wa serikali lakini hakuogopa kusimamia ukweli. Kitila wa sasa hasemi ukweli tena, hasimamii ukweli.

Kitila wa sasa ni mwoga, ni mnafiki na ni msaliti.

Lakini huyu ni Kitila ambaye amekuwa mwalimu wangu.

Nasisitiza kuwa dhana za uoga, unafiki na usaliti si matusi. Matusi sote tunayajua.

Ni sawa na kumuita mtu "dikteta", udikteta si tusi, ni dhana tu.

Mtu akiniambia Mtatiro wewe ni mnafiki, sikasiriki. Wewe ni mwoga sikasiriki. Wewe ni mnafiki, sikasiriki. Hayo ni maneno yanayohusu muktadha na dhana za ni namna gani mhusika anajaribu kukurejesha kwenye misingi na kukuuliza kwa nini jana ulikuwa baridi kesho u moto.

Mimi nilipokwenda kuonana na RC Paul Makonda kujadili mambo ya wana CUF waliokamatwa MKIRU na kuletwa Dar, watu walinishambulia. Wakaniita msaliti, mnafiki n.k.

Niliyachukulia maneno hayo kama changamoto tu, nikajua with time watajua nini kilinipeleka ofisini kwa RC.

Kwa hiyo mwalimu wangu sasa jibu hoja zangu kama unaziona, na kama huzioni na kwa sababu unasema sijaisoma barua yako kwenda kwa Askofu Mkuu, iweke hadharani ili tuichambue neno kwa neno, mkato kwa mkato, kituo kwa kituo.

Tukikuta haijajaa uongo, unafiki, usaliti na woga, ntafuta maneno yangu na kukuomba RADHI.

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J
-Mh Mtatiro God bless you! Kama prof. aliweza kukisaliti chama cha akina Zitto, na kabla ta hapo chama cha akina Lema unategemea nini kutoka kwa the learnt prof wakati sasa ana landcruza ambalo full time wese alikatiki, coach , house girl, umeme, maji, magodoro n.k vyote vinagharimikiwa na paymaster general?
- Prof Kitila Mkumbo ni mtu mwenye akili nyingi ambaye amechagua kuziweka kando kwa muda sijui ni ndiyo maana ya uzalendo sielewi, sijui ndiyo umri sijui amechoka kutumia akili sasa anyway kiukweli Mimi ni CCM haswaa zaidi ya CCM lakini profesa kitila amenifundisha somo jipya kwangu " TRUST NO BODY " brother Julius S. Mtatiro Mimi nimesoma bachelor of education in psychology 2010- 2013 (udsm) huyu mkuu Ndiye alinifanya nipende psychology kiasi cha kuanza kumuishi kweli kweli ni mtu ambaye amenifanya nipende facts kuliko ushabiki lakini sasa nimeamini kila mtu ni yeye na malengo yake.....

Pesa na vyeo ni zaidi ya elimu hakuna msomi mwenye akili kuliko vyeo na pesa

PESA NI BORA KULIKO ELIMU

Ili msomi abaki na uwezo wake kwa Tanzania inapaswa ajiweke kando na siasa , naandaa ujumbe mzito kwa wasomi wa Tanzania Mungu akitupa afya before June utakuwa tayari

- Kaka nimechoka kabisa aiseee
- Ili msomi abaki na uwezo wake kwa Tanzania inapaswa ajiweke kando na siasa.
Hongera sana.Binafsi huwa nashangaa sana pale Prof.anapokubali kuteuliwa kuwa Waziri.Anaenda bungeni kufanya nini?.Hebu ona wale maprofesa ambao ni mawazir mwisho wao kwenye siasa unavyowaacha uchi,ni aibu tupu

- Fact kk ili udumu kwenye siasa lzm ukubali utakuwa Muongo Muongo,mnafki nk sasa interlectuals na hizo tabia ni tofauti kbs na Ukiwa prof au dr wa ukweli kwenye siasa hutadumu tazama Muhongo anavyopata ugumu kwenye Siasa
-Kitila mkumbo na Kabudi, hawa kwa sasa wanakula matapishi yao.......na haiwezi kuamini kama hawa jamaa ni maprofesa. Na alichofanya Rais magufuli ni kuteua baadhi ya watu wenye njaa na ambao kimsingi ni waoga wa maisha.

Kwa bahati mbaya wanadhalilisha taaluma zao ili kutetea tu matumbo yao.

Siku za baadae naamini watakuja tu kutujibu na muda huo naamini watakuwa wamechelewa.
-Ulitufundisha kutokuwa vuguvugu kwa hali ilivo prof Kitila Mkumbo utagombana sana na sie wanafunzi wako... Kwa hali hii iliyopo hapa kwetu kuwa upande wa Maaskofu ni kuwa upande wa wanyonge na wazalendo wa kweli
-Hawa ndio waalimu wetu, wanasimama majukwaani kusisitiza vijana / wasomi wajiajiri ila wao kutwa /kucha ni kujikomba kwa wanasiasa. Kuna msomi mwingine aliwahi kububujikwa machozi hadharani mbele ya waandishi kisa aliachwa uteuzi ukuu wa mkoa, acheni vijana waendelee ku-beti Kuna siku wataibuka. Hawa ni wasomi wanaoliingizia taifa hasara kubwa
-Labda toka kaingia serikalini hajapata kiki sasa kaamua kuipatia kwa njia hii,kuna watu tungewaelewa kwa kuwaandikia maaskofu barua ila siyo wewe prof,hii kazi waachie akina polepole
-Nakumbuka ule mgomo mkubwa pale UDSM alitusaliti na kukimbia. Zitto akiwa PM wa Daruso alikuja, pamoja na hasira tulokuwa nazo alivimba hadi akaongea tukanywea. Si cha kushangaa hicho
-Jamani wengine UDSM tunapita tu kwenye daladala.Kumbe Prof.Mkumbo alianza kitambo?.
-Kumbe niprohovyo kiasi hicho,huyo nishetani,maana anatetea maovu yanayo fanywa watawala,
Manage

-Umahiri wa mtu unatokana na sehemu aliyosimamia na lile analolisimamia. Pro according to position uliyopo huwezi funga goli abadan. Halafu we Julius S. Mtatiro Mungu anakuona haki ya nani.

-Kikao cha Bakwata Dodoma kimezimwa tena na kihoja cha Profesa Kitila. Hawa watu ni kama wamerogwa.. Wanabuni mbinu za kuzima mjadala halafu hapo hapo wanaufufua na kuupambisha moto. Inamaana Prof Kitila aliamini kabisa ataandika aliyoyaandika na watu wasome tu na kumeza upotofu?
Manage

-Watakuwa labda wanafanana tu, kwani huyu ndiye Prof. Kitila wa UDSM wa psychology? Hamna bwana....atakuwa mwingine
-Huyo mchumia tumbo nisawa na yule Dr aliye mwambia makufuri kuwa cna Kazi sasa huyo sindio wameingia mikataba ya mlimani city mibovu na wao ni bord member hawana kitu Hao wezi tu .
-Madaraka ni Matamu sana, Hupofusha na Kulewesha kabisa! Mtu akiyapata, husahau kila kitu! na wala hawezi kukumbuka Misimamo yake ya kabla ya kuyapata hayo Madaraka! huwa hakumbuki alikoanzia wala anakokwenda kumalizia Madaraka na ama Maisha yake!
Manage

-Mwingine ni Prof.Paramagamba Kabudi,
Anasema katiba yetu ya Tz na ile ya Zanzibar hazina mgongano,
Akiwa kwenye tume ya warioba kuna clip unaonyesha akiongoea mpaka mate yanakauka akisema tofauti na anavyosema sasa hivi akiwa mezani anakula!
-Mwacheni askofu atoe ya rohoni jamanii... Hali c nzuri tz Amani inatakiwa sana pia maombi ya ukweli... Asante kiongozi wetu
-Kitila Mkumbo hana hoja yoyote kwa sasa. Amebaki kuwa kibaraka na mnafiki mbele ya chui katili...

- Nilijuaga njaa huteka akili tu, kumbe na roho tena! Nakupa pole mwalimu
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-We were born intelligent but artificial education ruined our intelligence!

Manage


-Usimjibu mpumbavu sawsawa na upumbavu wake mithali 26:4 kwa hyo bro wangu mtatiro bora uwe kimya usimjibu huyu kilaza aliyejivika nguo za uprofesaManage

-We Mh. Julius S. Mtatiro kweli "&$(#$^@*" sio tusi? Mwalimu anakuelewa:)
Manage

-Sio usaliti kwa watanzania pekee bali hata kwa rais magufuli kwa jinsi ya kumshauri vibaya mwenye kunyooshewa kidole ni mteuzi na sio mteuliwa na bahati mbaya hata wanaccm wanamchekea tu they're voiceless so let it go sir

-Najivunia Sana elimu niliyonayo kwa maana hainitoi ufahamu hata kidogo! Hawa jamaa wanaoitwa wasomi hata hawafanani na kiwango Chao cha elimu, kweli nimeamini hakuna mkate mgumu mbele ya Chai.
-Kama nabii alisalitiwa na mtu wake wa karibu, sishangai huyu kuwasaliti asiowajua. It is dangerous when you think using your stomach instead of your brain. We,ve got a long way to go.
-Hapa Mimi namkumbuka prof.Lipumba,kwa hiyo sishangai wala sioni jipya,si kila wanachosema hawa wasomi wetu wanakuwa wamemaanisha wasemacho na si kila wasemacho ndicho waaminicho.Fungu jema na LA busara lilikuwa kunyamaza.
-Ma Professor uchwara,wanachofundisha sicho wanacho kiishi.Julius Mtatilo anaonekana kuwa na uwezo mkubwa wa AKILI na uelewa kuliko hata mwalimu wake.nimeamini unaweza kuwa intelligent likini usiwe Smart.

Mungu ubariki Tanzania.Manage

-Nachoshindwa kuelewa ni kwamba wale waliohamia chambani ndiyo waongeaji na wateteaji wa mambo ya ajabu kuliko wenye chama yaani mgeni anafahamu sana kuliko wenyeji hii ni aibu
-Huyo ni professor kama Lipumba, yaani akili zao ni zilezile tu za kujipendekeza.
-Unavunja Nyumba uliyoijenga kwa mikono yako mwenyewe? Wewe ndiye ulikuwa Mwl wetu wa demokrasia leo wanaolalamikia kuminywa kwa demokrasia unawapinga.
-Kwa hali ilivyo hivi sasa ni kwamba akili ndogo inaongoza akili kubwa.... ili maprofesa mbaki na heshima zenu kipindi hiki ni either uhongee ukweli umuudhi mtukufu rais kama ilivyo kwa wachungaji na maaskofu au unyamaze kimya kama kina Shivji na wengine mpaka upepo mbaya huu utakapopita.... otherwise utafanya wananchi tuwe na mashaka na uprofesa wako ama kuidharau kabisa elimu hii ya juu.
-All in all Mungu hadhihakiwi ,,
yeye ndiye anayeandaa mazingira tofauti ili kupima uhalisia wa kile tunachoamini..
Ndiye aliyegawa karama mbalimbali ili tuvitumie kwa haki na busara..
Ndiye aliewaumba wenye uwezo wa chini kifikra, wa kati na wenye fikra kubwa.
Lakini wote katuweka kwa terget maalum.
Sasa ole wao wanaotumia karama na vipaji walivyonavyo kinyume na mapenzi ya Mwenyenzi Mungu.
Nasema Mungu hadhihakiwi..
vyoooooooooooote vyapita lakin haki ya Mungu itadumu daima.
Njaa za wasomi kama hawa ni kipimo tu kupima msimamo ktk kile anachokiamini lakini kumbe shibe wakati mwingine ni kweli ni mwana malevya...
-Hakuna haja ya kusoma hadi kuwa prof kama utaamini cheo ndio uhai wako. Niliamini ma prof hujiamini kwamba wataishi kutokana na elimu waliyo nayo na wala sio nafasi ya madaraka. Najiuliza kama prof ni muoga kupoteza cheo kiasi hicho, mimi std 7 naweza kumuita muajiri wangu Mungu. Kwani muumini asipoonesha hadharani kutofautiana na kiongozi wake wa kiroho anatenda dhambi ipi?
Manage

-Siku hizi naona wasomi watanzania ndo wanakuwa wajinga kuliko tulioishia darasa la 7 tunaonekana kuwana welewa wa kutasha, unakuta msomi tena amemaliza chuo kabisa anasema maaskofu msichanganye dini na siasa , anashindwa kujua siasa ndo maisha , ukitaja shule, maji, hospitar, kilimo, barabara, vyote hivyo ni siasa, sasa maaskofu watajitenga vipi na siasa wakati wamezungukwa na hivyo vyote,

-Dah.. Kwa haya yanayotokea kwa kweli trust no body... Inawezekana kabisa na ndugu yetu @julius_mtatiro nawewe ukipewa madaraka ipo siku utasaliti kile unachosimamia.. Ila anyway ngoja nijipe moyo kwamba hutoweza badilika kutokana na historia yako.. Mana iko tofauti na huyu prof wetu.https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Mimi niliwambia hali ikisha kua hivi, hapakosi wanaonufaika ni hali hiyo. Na pia hapakosekani wanaoathirika na hali hiyo. Kwahiyo katika hali ya nivute nikuvute ndio unawatambua nani ni akina nani, na nani ni akina nani. Pale inavyo anza kusikika s...See More
-Power tends to corrupt; absolute power corrupts absolutely.

An observation that a person's sense of morality lessens as his or her power increases. (Lord Acton, a British historian of the late nineteenth and early twentieth centuries).
Manage

-Inawezekana kabisa prof hii ndio tabia yake , ndivyo alivyo kipindi kile hatukumjua ila kwa sasa muda ndio huu. Muda unanjia ya pekee katika kutueleza ukweli mambo. Ndio muda sasa wakumjua Kitila Mkumbo

-Mtatiro umemshona kitila mkumbo mdomo kama kweli sio mnafiki mbona Hakuzungumzia hoja za maasikofu kuhusu watu kutekwa Uhuru wakujieleza kuminywa kwa demokrasia wanawashambulia maaskofu bila kujali hoja zao niunfiki

Manage


-Kweli Nikki wa Pili hakukosea kuimba wimbo wa Madaraka ya kulevya.
-najivunia elimu yangu yadarasa la pili
-kitila mkumbo we ni bendera fata upepo nawe unabidi ukatubu sababu unatenda dhambi kwa kunena yani unataka kusema nchi hii ina democrasia kaa ujitafakari kiundan nn kilichopo moyon mwako najua cheo kitam
-There are three things in the world that deserve no mercy, hypocrisy, fraud and tyranny: By Frederi

-Hata PhD zao zingechunguzwa zingekuwa na mambo mengi sana japo hayo yamepelekea wengne kupotea
-Mm nilidhani ungeandika barua kwenda kwa mkuu ila akutane na viongozi wa dini, kuwaandikia viongozi wa dini barua haitasaidia kwenda mbele, ila cha msingi boss akae nao
-Unafki ni zambi isiyo sameeka kabisa professor kweli unawasaliti wa tz?
-Mwingine Dr.Harrison G.Mwakyembe akiwa anatafuta PhD yake aliandika kuhusu umhimu wa serikali3 lakini 2014 akaikataa kwa nguvu zote katiba ya warioba!
Ama nchi yetu ni miongoni mwa nchi zenye watu wa hovyo sana dunian

-Alikuwa na njaa wakati huo sasa anaanza kushiba madaraka ya muda ya kupita tu hayo...walikuwepo wangapi nyadhifa km hizo leo wako wapi wanaadhirika mitaani .Asijisahau kiasi hicho nae ni mwalimu zumbukuku kulewa tu cheo lkn njia ni moja tu waliosema Maaskofu ni njia na muono halisi ya matukio ya UDIKTETA UNAOPENDA SIFA NA USIFIWE . lkn wa kuogopwa ni Mungu na sio binaadam.
-kitila huna maana ya hata huo upro wako msiba anatukana anaongea maneno ya hovyo lakin hatusikii mkisemea hilo hivi hayo maneno angeliongea mpizani leo angekuwa wapi maaskofu wanaongea vitu vya kujenga misingi ya kuheshimiana na kuheshim wengine eti unaandika barua tuta kuelewa kama msiba walio mtuma hawatasema mchochez
- Alishasema wenye akili walishaondoka ccm na waliopo kule ni kwasababu ya maslahi tu!
-Njaa ni mbaya haswa ukiwa upande ambao ndo kula yako ipo hyu pr wako naona sasa yupo mezani anakula akimsema boss wake vibya bakuli linabutuliwa
- Kaka mtatiro hakika wewe ni mwl mzuri pengine kuliko walimu wenyewe
-Njaa humtoa MTU ufahamu na kuwa Zuzu
-Kitila wasasa anafanana nalipumba.
-Huyu ndie Mtatiro ninaemjua,HANA UNAFIKI,UJUMBE UTAKUWA UMEMFIKIA PROFESA ALIELEWA MADARAKA.
-Njaa ni shida ata ndgu yako unaweza muuza ata ndgu yako
-Wewe kitila !! Sisi yetu macho

-Analinda kitumbua chake
-Hiv ndiyo yule akiongea povu tu, sasa napata picha hawa watu shida sana hawasimamii ukweli, si mnakumbuka hata wa katiba nae kakataa mawazo yake, nae akiongea povu tu.
-Mwe!hatari sana.

-
Kitila Mkumbo nau amekfaa kiakli xohawezii kjb hoja anakmbilia kuangalia maneno mabaya alyo semwa nayo,nafsi yako kitila inatambua kbsaa ww n mnafiki na mtetea kitii chako,

-Namkumbuka Kitila Mkumbo wa UDASA , ama kweli pata madaraka /pesa tujue tabia yako....
1f914.png

-hiv ni prof ana phd au whitch dr?au maana sijamwelewa vizur
-Uprofesa wa kibongo bongo asilimia kubwa ni wa mabox!!
Ukitaka kuamini watoe maprofesa wote kwenye system za Kisiasa muone kama hawatakula chawa kwa kukosa vyakula.
-Mr Mtatiro keep it up!!!! You have done a very nice job!!
-Watanzania wengi sana hasa walioko madarakan wamegubikwa na wimbi la unafiki na ubinafsi Kitila Mkumbo ni prof lakn anagangamiza jamii ya wat kisa amenunuliwa ujinga mtupu
-umesalit wanafunzi wako je mkeo akikusalit utajiskiaje ww mkumbo?prof uchwara
-Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa huu uprofesa ni mauzauza matupu
-Hahaa Mbona Shikamoo Madaraka Ya Kulevya.
-Cha msingi atuambie je walichosema maaskofu ni uongo au kweli mambo hayo yapo?
-Huyo angekuwa kweli anafundisha hyo PL asingekengeuka na kuwa kila uchwao yuko huku na kule wasomi wetu shikamoo.
-Ashaonja damu huyo ko kuua kwake ndo kazi iliyobak. Sitamsahau tulpokuwa nae akiwa amevaa Gwanda. Snitch
-Kwa kawaida za kibantu firigisi ya kuku hupewa baba,na huwa haturuhusiwi kuongea wakati wa kula ,@ Julius Mtatiro
-Msomi wa Tanzania ili abaki na akili yake inabidi hasishibe( njaa) ndio nusra yake.Shibe ndiyo zao la Prof. Lipumba,Prof.Kabudi,Prof.Kitilya nk

-Haya yote yanatokea kwa sababu serikali imewekeza zaidi kwenye siasa badala ya kwenye taaluma ili iweze kuleta maandeleo. Matokeo yake kilichobaki wanataaluma wanaacha fani zao na kukimbilia kwenye siasa na kwenda kinyume na mafundisho yao.
-Msingi wa uongozi bora ktk nyanja yoyote ile Upo ktk elimu mkiwa na viongozi waliopata elimu Nzr ni wazi mambo yatakuwa mazuri lkn km walimu wenyewe ni wa aina hii wala sishangai kinachoendelea kwa sasa.

-Kuna ule usemi wetu mnapaswa muuelewe usemao,imetupasa kutokufuata mkumbo,tusimfwate mkumbo,zingatia "mkumbo"
-hahahaha atari sana ni aibu tupu.
-Kuna Watu Nchi hiii
Wakisikia Fulani katekwa
Amekutwa kwenye kiroba
Na ameacha Watoto kadhaa
Wanafurahi kweli kweli

-Katika hii nchi mura mtatiro usije ukaamini makabira mawili,wanyamwezi na wanyiramba ni watu hatari,wao kusema ukweli ni kitu adimu

-Professor
Kitila Mkumbo, Professor Lipumba, Professor Kabudi naomba mnishawishi na Mimi nataka kuwa maprofesa kama nyinyi, maaana mmm si kwa uprofesa huo

-Bado natafakari na natamani nitoe ht robo tu ya nukuu zk ktk kongamano la kiroho pl chuo kikuu 2013 jinsi ulivyo nisisimua na kunitia moyo na nguvu ya kupambana kumbe ilikua ni maigizo tu Mungu anakuona mkumbo!
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Umepata kibarua hata uovu ni lazima autetee lakini ole wao wanaoshiba sasa
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Viongozi wageni ccm ndio wanaomwaribu raisi wetu kwa maslahi yao,raisi magufuli,heri wapatanishi kuliko wenye njaa zao mungu akupe macho ya kuona njaa zao ili heshima irudi kwa chama na serekali.maonyo kwa maaskofu minimum,biblia imeandika maonyo cio maombi,utaomba vizuri baada ya kuonywa,hata mfalme daudi alionywa kuhusu mke wa uria akaelewa. Hujui miongozo ya kimungu mzee,tubu maana unamwaribu mfalme wetu.
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Kweli watanzania ni wapole sana. Ndo maana tunaitwa wanyonge nimehundua kitu.
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Mtani wangu tata Mula @Julius S. Mtatiro Mungu akutunze, najivunia kuwa mtani wako, andiko la Kiume saana barikiwa saana.
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Nampataga sana,mtatiro ingawa mkono wa chuma haufurahi hata kidogo jinsi unavyosema ukweIi.
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Jamani naomba kuulza hv ckuna madiwani walijiuzuru kumuunga mkulu mguu mbona cjacikia tume inatangaza uchaguzi au wameona pipo hawana muda na uchaguzi?
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Ni prf ambae ana maradhi ya BT yaani bora tumbo nasio yeye tu ana wenzake wengi sana
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Ndio asili ya binadamu, hubadilika kulingana na mazingira
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-nani atanipa maana ya mkumbo?
-PHDs+politics= professorial rubbish
-Teacher Vs students, silaha hizi kaziandaa mwenyewe acha apambane nazo
-Ni heri kukaa kimya kuliko kuropoka, walimu tutunze heshima zetu
-Wakati wa kula ni mwendo wa kimya kimya
-Wengine sio maprofesa ni mapropesaaaaaa Kitila'Lipumbavu nawengineo ambao bado hawajajitokeza hazarani hawa ni mapropesa sio maprofesa
Manage

-Shikamoo pesa na madaraka
-Pro kajitoa akili jamani wanafunzi wake msameheni tu no ibilisi kampitia

-Njaa haina adabu, watu waliokua na uthubutu sasa wamegeuka vinyonga

Manage


Like
· Reply · 2h

Mwl Magabe Joseph
Ukiamua kuunga mkono unakua DISKILLED.

-Daaaaah MADARAKA YA KULEVYAAAA
https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

-Tcha Vs Dent...,Prof aliziandaa AK47 alijua zitachagua wakumtandika https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10209190094509791#

- lazima aufyate ...chezea njaa ww

- Bwege tu

-Hivi huyu jamaa ni professor kweli? Na mashaka na uprofessor wake
1f602.png
1f602.png
1f602.png

-Njaa mbaya jamani

-Hujakosea mtatiro

-Ananjaa Kali anatetea unga wa watoto

-Prof. Uchwarwa huyu.
 
Kumshambulia sio njia sahihi

Kila mtu anamtanzamo wake na ana maoni yake

Hata kama huyakubaliani na mtazamo wako na hili ndo kosa La tuliowengi .

Ukiwa hukubaliani na mawazo ya mwenzako unayaheshimu na kuto kuyazingatia.
 
.........In Africa when we are eating, we don't talk! Kitila ale chakula yake bila kupiga kelele. Tena yeye ana bahati ni 'mtumishi wa umma'. So amfurahishe JPM kwa kuchapa kazi maji yapatikane vijijini. Hizi vita na vijembe vya Maaskofu awaachie akina Polepole na Makonda. Wao mdomo wao ndo mtaji wao.

Zaidi Kitila anazidi kuji-expose kwa unafiki wake.....Hakuna Msomi wala vyeti mbele ya pesa na madaraka....Tatizo ni kwamba watu kama Kitila..CCM haiwaamini (maana si mwenzao) na upande mwingine hawawaamini (maana ni msaliti). By the time wanatupwa gizani baada ya kutumiwa......wanakuja kuishi mtaani kama frustrated people....
 
Hu
Katika ukurasa wake wa Face Book, Julius Mtatiro ambaye alikuwa mwanafunzi wa Prof Mkumbo pale chuo kikuu Dsm ameandika mada kali sana kumhusu Mwl wake huyo na ukigeu geu wake ambayo imechangiwa na wanafunzi wake wengi sana wa Prof huyo huku wengi wakimshambulia vikali kwa kuwa kigeu geu tofauti na jinsi alivyo wafundisha na kuwaaminisha wanafunzi hao wakati akiwafundisha darasani. Mimi ni mmojawapo wa wanafunzi wake ambaye kwakweli huwa namshangaa Prof huyo jinsi alivyopiga U turn.

Nilichokiona katika maoni tofauti ya wachangiaji ni kuwa watu wengi wamekata tamaa sana na kuwadharau wasomi wa ngazi ya Phd na Uprofesa kutokana na wao kudhalilisha taaluma hizo kwa kutokuwa na misimamo na kulainika ghafla na woga mwingi miongoni mwao ingawa wapo wasomi wa wachache wa ngazi hizo wenye misimamo. Hii ndiyo mada yenyewe:


Julius S. Mtatiro
13 hrs ·
PROF. KITILA (PhD), MWALIMU ALIYEMSALITI MWANAFUNZI WAKE!

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J

Nimeiona taarifa kwamba Prof. Kitila Mkumbo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji amemuandikia Barua Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT ambapo pamoja na mambo mengine amemueleza kuwa kitendo cha maaskofu wa kanisa kutoa waraka wa kichungaji ambao unaionya na kuikosoa serikali kinashusha hadhi na misingi ya kanisa.

Mimi namheshimu sana Mwalimu Kitila, ni Mwalimu aliyenifundisha Chuo Kikuu lakini hakunifundisha uoga na unafiki. Wanafunzi waliopita mikononi mwa Mwalimu Kitila wanajua kuwa siku zote alihubiri uthubutu, uchukuaji wa hatua, umoja, kutokukaa kimya, kupambana na udhalimu, kulinda misingi ya haki, demokrasia, utu na uwazi. Sehemu kubwa ya mambo aliyoyasimamia Mwalimu Kitila ni yale yale ambayo yanajenga taifa lililo kwenye ndoto ya watanzania wengi.

Lakini maoni ya sasa ya Prof. Kitila juu ya mwenendo wa nchi ni maoni potofu, yaliyojaa unafiki, woga, uongo na hayaakisi hali halisi na imani ya Mwalimu Kitila tumjuaye na aliyetujaza na kutushibisha imani hiyo. Mwalimu Kitila hata kama analinda kitumbua chake ni bora angelikaa kimya.

Watu wakubwa sana ndani ya CCM wanaamini mwenendo wa uongozi wa Rais Magufuli una matatizo makubwa na ya hatari kwenye maeneo mengi, maeneo ambayo ni moyo wa nchi. Suala la demokrasia ni moyo wa nchi yetu, mtu anayejaribu kutupeleka kwenye udikteta anagusa na kuchoma moyo wa nchi.

Suala la kuheshimu katiba na sheria za nchi na mgawanyo wa madaraka ya bunge, serikali na mahakama ni MOYO wa nchi. Mtu anayejaribu kuendesha nchi kibabe, kwa mkono wa chuma na kwa matamko na kauli binafsi zisizoheshimu katiba na sheria, mtu huyo anapasua moyo wa nchi.

Suala la kuheshimu haki za lazima za wananchi kama vile KUISHI, kutoa maoni, kukosoa, kukusanyika, kuandamana, kuhoji n.k. haliwezi kuwa na mjadala. Mtu anayepuuza haki hizo na katika utawala wake kumekithiri matukio makubwa ya mauaji ya kinyama, kunyamazisha wakosoaji, kuzuia shughuli za taasisi zingine halali za kisiasa n.k. Mtu huyo anapasua moyo wa nchi yetu, moyo huu unaitwa AMANI na msingi wa uwepo wake kwanza ni HAKI, Bila Haki hakuna Amani.

Mwalimu Kitila hata kama anaona madaraka yake ya sasa ni matamu sana, namshauri aachane na mikakati yoyote ya kutetea maovu na waovu. Kitila ana uhuru wa kutoa maoni yake lakini mimi nina uhuru mkubwa sana wa kuyakosoa waziwazi kwa sababu yeye ni mwalimu wangu. Mambo aliyonifundisha na kuniaminisha leo hii anayakana hadharani, kama Petro alivyomkana Yesu.

Wakati Maaskofu wa Makanisa mbalimbali wanainuka na kupaza sauti za kutetea haki na utu na umoja na misingi ya nchi yetu, sikumtegemea Mwalimu Kitila kuibuka na kuwaambia kuwa "..maoni yao hayaakisi hadhi na misingi ya kanisa."

Kwa tafsiri ya Kitila hadhi na misingi ya Kanisa ni kukalia kimya uovu. Kwamba, enzi za Dikteta Adolf Hitler, maaskofu na papa walipokaa kimya na mamilioni ya watu wakauawa huko ndiko kulinda hadhi na misingi ya kanisa. Ni kanisa lipi ambalo linalinda mauaji na kupora haki za watu. Hilo ni kanisa la shetani peke yake, Kanisa la wanaokunywa damu za watu wao.

Yani leo Mwalimu Kitila Mkumbo anapinga waraka wa maaskofu ambao unaionya serikali kuhusu mwenendo wake wa kukandamiza demokrasia na uhuru wa watu, bunge na mahakama.

Kitila anasema onyo la maaskofu kwa serikali kuwa inatuhumiwa kuhusika moja kwa moja au kufumbia macho mauaji ya raia wasio na hatia - ni jambo lisiloakisi hali halisi ya nchi yetu na linavunja misingi na hadhi ya kanisa!

Kwamba, Kitila anamaanisha kuwa maaskofu hawana uhalali wa kuzungumzia mwenendo mbovu wa nchi. Kwamba Kitila anamaanisha kuwa maaskofu wanapaswa kukaa kimya kwa sababu mambo ni SAFI sana nchini.

Kwamba Mwalimu Kitila anasema Maaskofu hawapaswi kuhoji chochote juu ya dola kununua madiwani na wabunge kama vile enzi za utumwa zimerudi na tena dola hiyo hiyo ikijitangaza kuwa inapiga vita rushwa na ufisadi.

Kwamba Mwalimu Kitila anasema makanisa yanapoteza hadhi na misingi yake ikiwa yanahoji juu ya kushuka na kuporomoka kwa uchumi.

Kweli aliyesema madaraka yanalevya sana hakukosea. Asante sana Mwalimu Kitila, historia ni mwalimu mkuu wa shule zote. Lakini nataka kuweka rekodi sahihi kuwa Mwalimu Kitila aliyekuwa GREAT THINKER si huyu wa sasa. Huyu ni mtetezi wa STATUS QUO na yuko tayari kusema na kusimamia uongo ilimradi tu mipango yake inyooke.

Mwalimu Kitila alinifundisha kushambulia hoja, nimezishambulia kupitia somo la Prof. Lwaitama "Critical Thinking and Argumentation", kama kuna mahali nimemgusa Mwalimu Kitila, at personal level, anisamehe sana. Ntakuwa nimefanya hivyo si kwa kumdharau bali kwa kumshangaa Mwalimu aliyemsaliti mwanafunzi wake na kumuacha kwenye mataa ya ubungo.

Shikamoo MADARAKA YA KULEVYA!

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J



Comments

Kitila Mkumbo
Umesoma maudhui ya barua yangu au unareact kwenye dondoo tu za Breaking News za Mwananchi? Tunapigania demokrasia lakini wenye mawazo tusiyoyapenda tunawaita wasaliti, wanafiki, waoga, ndio demokrasia hiyo?


Julius S. Mtatiro
Profesa Kitila Mkumbo, unafiki si tusi, usaliti si tusi, uoga si tusi...ulinifundisha kutotukana na huwa situkani. Lipumba alivyoondoka na kubwaga manyanga mwaka 2015 alitusaliti. Definition ya usaliti ni kuyageuka yale uliyoyaamini mwanzoni au kuwageuka wale uliokuwa ulipigana nao upande mmoja, yani kama vile mko vitani, wewe ni askari wa Marekani ghafla unahamia jeshi la Urusi. Na unajenga hoja, offcourse tutaziheshimu lakini utakuwa umetusaliti na jina lako ni msaliti.

Kuhusu woga, woga si tusi, woga ni ile hali ya mtu kuujua ukweli na asiusimamie kwa sababu ana hofu kuwa wapo watu au mtu au taasisi hazitapendezwa na msimamo wa ukweli wa mhusika. Mtu akikuita wewe ni mwoga hajakutukana, amekueleza hali inayokukabili tu.

Na unafiki si tusi, unafiki ni ile hali ya mtu kuujua ukweli na kisha kuusimamia uongo. Au kumueleza mtu A kuwa hili na kumueleza mtu B lile kwenye muktadha huo huo mmoja.

Unafiki si tusi Prof unless kama umeamua kuachana na hoja na maswali yote niliyokuuliza na kuhamia kwenye maneno machache hayo.

Katika andiko langu nimekuhoji mambo mengi ya msingi. Yanahitaji majibu mwalimu. Kama mambo niliyohoji hayana majibu basi, siyo mbaya.

Wewe umetufundisha kujenga hoja na kutomshambulia mtoa hoja. Na kwenye hoja yangu kukuita msaliti, mwoga au mnafiki sijakutukana, nimeeleza mambo hayo ili kuyahusianisha na Kitila wa mwaka 2015 back na Kitila wa mwaka 2016 kwenda mbele - Hawa ni Vi-tila wawili tofauti kabisa.

Kitila wa 2015 back alikuwa thabiti na msema kweli na bado alikuwa mtumishi wa serikali lakini hakuogopa kusimamia ukweli. Kitila wa sasa hasemi ukweli tena, hasimamii ukweli.

Kitila wa sasa ni mwoga, ni mnafiki na ni msaliti.

Lakini huyu ni Kitila ambaye amekuwa mwalimu wangu.

Nasisitiza kuwa dhana za uoga, unafiki na usaliti si matusi. Matusi sote tunayajua.

Ni sawa na kumuita mtu "dikteta", udikteta si tusi, ni dhana tu.

Mtu akiniambia Mtatiro wewe ni mnafiki, sikasiriki. Wewe ni mwoga sikasiriki. Wewe ni mnafiki, sikasiriki. Hayo ni maneno yanayohusu muktadha na dhana za ni namna gani mhusika anajaribu kukurejesha kwenye misingi na kukuuliza kwa nini jana ulikuwa baridi kesho u moto.

Mimi nilipokwenda kuonana na RC Paul Makonda kujadili mambo ya wana CUF waliokamatwa MKIRU na kuletwa Dar, watu walinishambulia. Wakaniita msaliti, mnafiki n.k.

Niliyachukulia maneno hayo kama changamoto tu, nikajua with time watajua nini kilinipeleka ofisini kwa RC.

Kwa hiyo mwalimu wangu sasa jibu hoja zangu kama unaziona, na kama huzioni na kwa sababu unasema sijaisoma barua yako kwenda kwa Askofu Mkuu, iweke hadharani ili tuichambue neno kwa neno, mkato kwa mkato, kituo kwa kituo.

Tukikuta haijajaa uongo, unafiki, usaliti na woga, ntafuta maneno yangu na kukuomba RADHI.

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J
-Mh Mtatiro God bless you! Kama prof. aliweza kukisaliti chama cha akina Zitto, na kabla ta hapo chama cha akina Lema unategemea nini kutoka kwa the learnt prof wakati sasa ana landcruza ambalo full time wese alikatiki, coach , house girl, umeme, maji, magodoro n.k vyote vinagharimikiwa na paymaster general?
- Prof Kitila Mkumbo ni mtu mwenye akili nyingi ambaye amechagua kuziweka kando kwa muda sijui ni ndiyo maana ya uzalendo sielewi, sijui ndiyo umri sijui amechoka kutumia akili sasa anyway kiukweli Mimi ni CCM haswaa zaidi ya CCM lakini profesa kitila amenifundisha somo jipya kwangu " TRUST NO BODY " brother Julius S. Mtatiro Mimi nimesoma bachelor of education in psychology 2010- 2013 (udsm) huyu mkuu Ndiye alinifanya nipende psychology kiasi cha kuanza kumuishi kweli kweli ni mtu ambaye amenifanya nipende facts kuliko ushabiki lakini sasa nimeamini kila mtu ni yeye na malengo yake.....

Pesa na vyeo ni zaidi ya elimu hakuna msomi mwenye akili kuliko vyeo na pesa

PESA NI BORA KULIKO ELIMU

Ili msomi abaki na uwezo wake kwa Tanzania inapaswa ajiweke kando na siasa , naandaa ujumbe mzito kwa wasomi wa Tanzania Mungu akitupa afya before June utakuwa tayari

- Kaka nimechoka kabisa aiseee
- Ili msomi abaki na uwezo wake kwa Tanzania inapaswa ajiweke kando na siasa.
Hongera sana.Binafsi huwa nashangaa sana pale Prof.anapokubali kuteuliwa kuwa Waziri.Anaenda bungeni kufanya nini?.Hebu ona wale maprofesa ambao ni mawazir mwisho wao kwenye siasa unavyowaacha uchi,ni aibu tupu

- Fact kk ili udumu kwenye siasa lzm ukubali utakuwa Muongo Muongo,mnafki nk sasa interlectuals na hizo tabia ni tofauti kbs na Ukiwa prof au dr wa ukweli kwenye siasa hutadumu tazama Muhongo anavyopata ugumu kwenye Siasa
-Kitila mkumbo na Kabudi, hawa kwa sasa wanakula matapishi yao.......na haiwezi kuamini kama hawa jamaa ni maprofesa. Na alichofanya Rais magufuli ni kuteua baadhi ya watu wenye njaa na ambao kimsingi ni waoga wa maisha.

Kwa bahati mbaya wanadhalilisha taaluma zao ili kutetea tu matumbo yao.

Siku za baadae naamini watakuja tu kutujibu na muda huo naamini watakuwa wamechelewa.
-Ulitufundisha kutokuwa vuguvugu kwa hali ilivo prof Kitila Mkumbo utagombana sana na sie wanafunzi wako... Kwa hali hii iliyopo hapa kwetu kuwa upande wa Maaskofu ni kuwa upande wa wanyonge na wazalendo wa kweli
-Hawa ndio waalimu wetu, wanasimama majukwaani kusisitiza vijana / wasomi wajiajiri ila wao kutwa /kucha ni kujikomba kwa wanasiasa. Kuna msomi mwingine aliwahi kububujikwa machozi hadharani mbele ya waandishi kisa aliachwa uteuzi ukuu wa mkoa, acheni vijana waendelee ku-beti Kuna siku wataibuka. Hawa ni wasomi wanaoliingizia taifa hasara kubwa
-Labda toka kaingia serikalini hajapata kiki sasa kaamua kuipatia kwa njia hii,kuna watu tungewaelewa kwa kuwaandikia maaskofu barua ila siyo wewe prof,hii kazi waachie akina polepole
-Nakumbuka ule mgomo mkubwa pale UDSM alitusaliti na kukimbia. Zitto akiwa PM wa Daruso alikuja, pamoja na hasira tulokuwa nazo alivimba hadi akaongea tukanywea. Si cha kushangaa hicho
-Jamani wengine UDSM tunapita tu kwenye daladala.Kumbe Prof.Mkumbo alianza kitambo?.
-Kumbe niprohovyo kiasi hicho,huyo nishetani,maana anatetea maovu yanayo fanywa watawala,
Manage

-Umahiri wa mtu unatokana na sehemu aliyosimamia na lile analolisimamia. Pro according to position uliyopo huwezi funga goli abadan. Halafu we Julius S. Mtatiro Mungu anakuona haki ya nani.

-Kikao cha Bakwata Dodoma kimezimwa tena na kihoja cha Profesa Kitila. Hawa watu ni kama wamerogwa.. Wanabuni mbinu za kuzima mjadala halafu hapo hapo wanaufufua na kuupambisha moto. Inamaana Prof Kitila aliamini kabisa ataandika aliyoyaandika na watu wasome tu na kumeza upotofu?
Manage

-Watakuwa labda wanafanana tu, kwani huyu ndiye Prof. Kitila wa UDSM wa psychology? Hamna bwana....atakuwa mwingine
-Huyo mchumia tumbo nisawa na yule Dr aliye mwambia makufuri kuwa cna Kazi sasa huyo sindio wameingia mikataba ya mlimani city mibovu na wao ni bord member hawana kitu Hao wezi tu .
-Madaraka ni Matamu sana, Hupofusha na Kulewesha kabisa! Mtu akiyapata, husahau kila kitu! na wala hawezi kukumbuka Misimamo yake ya kabla ya kuyapata hayo Madaraka! huwa hakumbuki alikoanzia wala anakokwenda kumalizia Madaraka na ama Maisha yake!
Manage

-Mwingine ni Prof.Paramagamba Kabudi,
Anasema katiba yetu ya Tz na ile ya Zanzibar hazina mgongano,
Akiwa kwenye tume ya warioba kuna clip unaonyesha akiongoea mpaka mate yanakauka akisema tofauti na anavyosema sasa hivi akiwa mezani anakula!
-Mwacheni askofu atoe ya rohoni jamanii... Hali c nzuri tz Amani inatakiwa sana pia maombi ya ukweli... Asante kiongozi wetu
-Kitila Mkumbo hana hoja yoyote kwa sasa. Amebaki kuwa kibaraka na mnafiki mbele ya chui katili...

- Nilijuaga njaa huteka akili tu, kumbe na roho tena! Nakupa pole mwalimu

-We were born intelligent but artificial education ruined our intelligence!

Manage

-Usimjibu mpumbavu sawsawa na upumbavu wake mithali 26:4 kwa hyo bro wangu mtatiro bora uwe kimya usimjibu huyu kilaza aliyejivika nguo za uprofesaManage

-We Mh. Julius S. Mtatiro kweli "&$(#$^@*" sio tusi? Mwalimu anakuelewa:)
Manage

-Sio usaliti kwa watanzania pekee bali hata kwa rais magufuli kwa jinsi ya kumshauri vibaya mwenye kunyooshewa kidole ni mteuzi na sio mteuliwa na bahati mbaya hata wanaccm wanamchekea tu they're voiceless so let it go sir

-Najivunia Sana elimu niliyonayo kwa maana hainitoi ufahamu hata kidogo! Hawa jamaa wanaoitwa wasomi hata hawafanani na kiwango Chao cha elimu, kweli nimeamini hakuna mkate mgumu mbele ya Chai.
-Kama nabii alisalitiwa na mtu wake wa karibu, sishangai huyu kuwasaliti asiowajua. It is dangerous when you think using your stomach instead of your brain. We,ve got a long way to go.
-Hapa Mimi namkumbuka prof.Lipumba,kwa hiyo sishangai wala sioni jipya,si kila wanachosema hawa wasomi wetu wanakuwa wamemaanisha wasemacho na si kila wasemacho ndicho waaminicho.Fungu jema na LA busara lilikuwa kunyamaza.
-Ma Professor uchwara,wanachofundisha sicho wanacho kiishi.Julius Mtatilo anaonekana kuwa na uwezo mkubwa wa AKILI na uelewa kuliko hata mwalimu wake.nimeamini unaweza kuwa intelligent likini usiwe Smart.

Mungu ubariki Tanzania.Manage

-Nachoshindwa kuelewa ni kwamba wale waliohamia chambani ndiyo waongeaji na wateteaji wa mambo ya ajabu kuliko wenye chama yaani mgeni anafahamu sana kuliko wenyeji hii ni aibu
-Huyo ni professor kama Lipumba, yaani akili zao ni zilezile tu za kujipendekeza.
-Unavunja Nyumba uliyoijenga kwa mikono yako mwenyewe? Wewe ndiye ulikuwa Mwl wetu wa demokrasia leo wanaolalamikia kuminywa kwa demokrasia unawapinga.
-Kwa hali ilivyo hivi sasa ni kwamba akili ndogo inaongoza akili kubwa.... ili maprofesa mbaki na heshima zenu kipindi hiki ni either uhongee ukweli umuudhi mtukufu rais kama ilivyo kwa wachungaji na maaskofu au unyamaze kimya kama kina Shivji na wengine mpaka upepo mbaya huu utakapopita.... otherwise utafanya wananchi tuwe na mashaka na uprofesa wako ama kuidharau kabisa elimu hii ya juu.
-All in all Mungu hadhihakiwi ,,
yeye ndiye anayeandaa mazingira tofauti ili kupima uhalisia wa kile tunachoamini..
Ndiye aliyegawa karama mbalimbali ili tuvitumie kwa haki na busara..
Ndiye aliewaumba wenye uwezo wa chini kifikra, wa kati na wenye fikra kubwa.
Lakini wote katuweka kwa terget maalum.
Sasa ole wao wanaotumia karama na vipaji walivyonavyo kinyume na mapenzi ya Mwenyenzi Mungu.
Nasema Mungu hadhihakiwi..
vyoooooooooooote vyapita lakin haki ya Mungu itadumu daima.
Njaa za wasomi kama hawa ni kipimo tu kupima msimamo ktk kile anachokiamini lakini kumbe shibe wakati mwingine ni kweli ni mwana malevya...
-Hakuna haja ya kusoma hadi kuwa prof kama utaamini cheo ndio uhai wako. Niliamini ma prof hujiamini kwamba wataishi kutokana na elimu waliyo nayo na wala sio nafasi ya madaraka. Najiuliza kama prof ni muoga kupoteza cheo kiasi hicho, mimi std 7 naweza kumuita muajiri wangu Mungu. Kwani muumini asipoonesha hadharani kutofautiana na kiongozi wake wa kiroho anatenda dhambi ipi?
Manage

-Siku hizi naona wasomi watanzania ndo wanakuwa wajinga kuliko tulioishia darasa la 7 tunaonekana kuwana welewa wa kutasha, unakuta msomi tena amemaliza chuo kabisa anasema maaskofu msichanganye dini na siasa , anashindwa kujua siasa ndo maisha , ukitaja shule, maji, hospitar, kilimo, barabara, vyote hivyo ni siasa, sasa maaskofu watajitenga vipi na siasa wakati wamezungukwa na hivyo vyote,

-Dah.. Kwa haya yanayotokea kwa kweli trust no body... Inawezekana kabisa na ndugu yetu @julius_mtatiro nawewe ukipewa madaraka ipo siku utasaliti kile unachosimamia.. Ila anyway ngoja nijipe moyo kwamba hutoweza badilika kutokana na historia yako.. Mana iko tofauti na huyu prof wetu.

-Mimi niliwambia hali ikisha kua hivi, hapakosi wanaonufaika ni hali hiyo. Na pia hapakosekani wanaoathirika na hali hiyo. Kwahiyo katika hali ya nivute nikuvute ndio unawatambua nani ni akina nani, na nani ni akina nani. Pale inavyo anza kusikika s...See More
-Power tends to corrupt; absolute power corrupts absolutely.

An observation that a person's sense of morality lessens as his or her power increases. (Lord Acton, a British historian of the late nineteenth and early twentieth centuries).
Manage

-Inawezekana kabisa prof hii ndio tabia yake , ndivyo alivyo kipindi kile hatukumjua ila kwa sasa muda ndio huu. Muda unanjia ya pekee katika kutueleza ukweli mambo. Ndio muda sasa wakumjua Kitila Mkumbo

-Mtatiro umemshona kitila mkumbo mdomo kama kweli sio mnafiki mbona Hakuzungumzia hoja za maasikofu kuhusu watu kutekwa Uhuru wakujieleza kuminywa kwa demokrasia wanawashambulia maaskofu bila kujali hoja zao niunfiki

Manage

-Kweli Nikki wa Pili hakukosea kuimba wimbo wa Madaraka ya kulevya.
-najivunia elimu yangu yadarasa la pili
-kitila mkumbo we ni bendera fata upepo nawe unabidi ukatubu sababu unatenda dhambi kwa kunena yani unataka kusema nchi hii ina democrasia kaa ujitafakari kiundan nn kilichopo moyon mwako najua cheo kitam
-There are three things in the world that deserve no mercy, hypocrisy, fraud and tyranny: By Frederi

-Hata PhD zao zingechunguzwa zingekuwa na mambo mengi sana japo hayo yamepelekea wengne kupotea
-Mm nilidhani ungeandika barua kwenda kwa mkuu ila akutane na viongozi wa dini, kuwaandikia viongozi wa dini barua haitasaidia kwenda mbele, ila cha msingi boss akae nao
-Unafki ni zambi isiyo sameeka kabisa professor kweli unawasaliti wa tz?
-Mwingine Dr.Harrison G.Mwakyembe akiwa anatafuta PhD yake aliandika kuhusu umhimu wa serikali3 lakini 2014 akaikataa kwa nguvu zote katiba ya warioba!
Ama nchi yetu ni miongoni mwa nchi zenye watu wa hovyo sana dunian

-Alikuwa na njaa wakati huo sasa anaanza kushiba madaraka ya muda ya kupita tu hayo...walikuwepo wangapi nyadhifa km hizo leo wako wapi wanaadhirika mitaani .Asijisahau kiasi hicho nae ni mwalimu zumbukuku kulewa tu cheo lkn njia ni moja tu waliosema Maaskofu ni njia na muono halisi ya matukio ya UDIKTETA UNAOPENDA SIFA NA USIFIWE . lkn wa kuogopwa ni Mungu na sio binaadam.
-kitila huna maana ya hata huo upro wako msiba anatukana anaongea maneno ya hovyo lakin hatusikii mkisemea hilo hivi hayo maneno angeliongea mpizani leo angekuwa wapi maaskofu wanaongea vitu vya kujenga misingi ya kuheshimiana na kuheshim wengine eti unaandika barua tuta kuelewa kama msiba walio mtuma hawatasema mchochez
- Alishasema wenye akili walishaondoka ccm na waliopo kule ni kwasababu ya maslahi tu!
-Njaa ni mbaya haswa ukiwa upande ambao ndo kula yako ipo hyu pr wako naona sasa yupo mezani anakula akimsema boss wake vibya bakuli linabutuliwa
- Kaka mtatiro hakika wewe ni mwl mzuri pengine kuliko walimu wenyewe
-Njaa humtoa MTU ufahamu na kuwa Zuzu
-Kitila wasasa anafanana nalipumba.
-Huyu ndie Mtatiro ninaemjua,HANA UNAFIKI,UJUMBE UTAKUWA UMEMFIKIA PROFESA ALIELEWA MADARAKA.
-Njaa ni shida ata ndgu yako unaweza muuza ata ndgu yako
-Wewe kitila !! Sisi yetu macho

-Analinda kitumbua chake
-Hiv ndiyo yule akiongea povu tu, sasa napata picha hawa watu shida sana hawasimamii ukweli, si mnakumbuka hata wa katiba nae kakataa mawazo yake, nae akiongea povu tu.
-Mwe!hatari sana.

-
Kitila Mkumbo nau amekfaa kiakli xohawezii kjb hoja anakmbilia kuangalia maneno mabaya alyo semwa nayo,nafsi yako kitila inatambua kbsaa ww n mnafiki na mtetea kitii chako,

-Namkumbuka Kitila Mkumbo wa UDASA , ama kweli pata madaraka /pesa tujue tabia yako....
1f914.png

-hiv ni prof ana phd au whitch dr?au maana sijamwelewa vizur
-Uprofesa wa kibongo bongo asilimia kubwa ni wa mabox!!
Ukitaka kuamini watoe maprofesa wote kwenye system za Kisiasa muone kama hawatakula chawa kwa kukosa vyakula.
-Mr Mtatiro keep it up!!!! You have done a very nice job!!
-Watanzania wengi sana hasa walioko madarakan wamegubikwa na wimbi la unafiki na ubinafsi Kitila Mkumbo ni prof lakn anagangamiza jamii ya wat kisa amenunuliwa ujinga mtupu
-umesalit wanafunzi wako je mkeo akikusalit utajiskiaje ww mkumbo?prof uchwara
-Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa huu uprofesa ni mauzauza matupu
-Hahaa Mbona Shikamoo Madaraka Ya Kulevya.
-Cha msingi atuambie je walichosema maaskofu ni uongo au kweli mambo hayo yapo?
-Huyo angekuwa kweli anafundisha hyo PL asingekengeuka na kuwa kila uchwao yuko huku na kule wasomi wetu shikamoo.
-Ashaonja damu huyo ko kuua kwake ndo kazi iliyobak. Sitamsahau tulpokuwa nae akiwa amevaa Gwanda. Snitch
-Kwa kawaida za kibantu firigisi ya kuku hupewa baba,na huwa haturuhusiwi kuongea wakati wa kula ,@ Julius Mtatiro
-Msomi wa Tanzania ili abaki na akili yake inabidi hasishibe( njaa) ndio nusra yake.Shibe ndiyo zao la Prof. Lipumba,Prof.Kabudi,Prof.Kitilya nk

-Haya yote yanatokea kwa sababu serikali imewekeza zaidi kwenye siasa badala ya kwenye taaluma ili iweze kuleta maandeleo. Matokeo yake kilichobaki wanataaluma wanaacha fani zao na kukimbilia kwenye siasa na kwenda kinyume na mafundisho yao.
-Msingi wa uongozi bora ktk nyanja yoyote ile Upo ktk elimu mkiwa na viongozi waliopata elimu Nzr ni wazi mambo yatakuwa mazuri lkn km walimu wenyewe ni wa aina hii wala sishangai kinachoendelea kwa sasa.

-Kuna ule usemi wetu mnapaswa muuelewe usemao,imetupasa kutokufuata mkumbo,tusimfwate mkumbo,zingatia "mkumbo"
-hahahaha atari sana ni aibu tupu.
-Kuna Watu Nchi hiii
Wakisikia Fulani katekwa
Amekutwa kwenye kiroba
Na ameacha Watoto kadhaa
Wanafurahi kweli kweli

-Katika hii nchi mura mtatiro usije ukaamini makabira mawili,wanyamwezi na wanyiramba ni watu hatari,wao kusema ukweli ni kitu adimu

-Professor
Kitila Mkumbo, Professor Lipumba, Professor Kabudi naomba mnishawishi na Mimi nataka kuwa maprofesa kama nyinyi, maaana mmm si kwa uprofesa huo

-Bado natafakari na natamani nitoe ht robo tu ya nukuu zk ktk kongamano la kiroho pl chuo kikuu 2013 jinsi ulivyo nisisimua na kunitia moyo na nguvu ya kupambana kumbe ilikua ni maigizo tu Mungu anakuona mkumbo!

-Umepata kibarua hata uovu ni lazima autetee lakini ole wao wanaoshiba sasa

-Viongozi wageni ccm ndio wanaomwaribu raisi wetu kwa maslahi yao,raisi magufuli,heri wapatanishi kuliko wenye njaa zao mungu akupe macho ya kuona njaa zao ili heshima irudi kwa chama na serekali.maonyo kwa maaskofu minimum,biblia imeandika maonyo cio maombi,utaomba vizuri baada ya kuonywa,hata mfalme daudi alionywa kuhusu mke wa uria akaelewa. Hujui miongozo ya kimungu mzee,tubu maana unamwaribu mfalme wetu.

-Kweli watanzania ni wapole sana. Ndo maana tunaitwa wanyonge nimehundua kitu.

-Mtani wangu tata Mula @Julius S. Mtatiro Mungu akutunze, najivunia kuwa mtani wako, andiko la Kiume saana barikiwa saana.

-Nampataga sana,mtatiro ingawa mkono wa chuma haufurahi hata kidogo jinsi unavyosema ukweIi.

-Jamani naomba kuulza hv ckuna madiwani walijiuzuru kumuunga mkulu mguu mbona cjacikia tume inatangaza uchaguzi au wameona pipo hawana muda na uchaguzi?

-Ni prf ambae ana maradhi ya BT yaani bora tumbo nasio yeye tu ana wenzake wengi sana

-Ndio asili ya binadamu, hubadilika kulingana na mazingira


-nani atanipa maana ya mkumbo?
-PHDs+politics= professorial rubbish
-Teacher Vs students, silaha hizi kaziandaa mwenyewe acha apambane nazo
-Ni heri kukaa kimya kuliko kuropoka, walimu tutunze heshima zetu
-Wakati wa kula ni mwendo wa kimya kimya
-Wengine sio maprofesa ni mapropesaaaaaa Kitila'Lipumbavu nawengineo ambao bado hawajajitokeza hazarani hawa ni mapropesa sio maprofesa
Manage

-Shikamoo pesa na madaraka
-Pro kajitoa akili jamani wanafunzi wake msameheni tu no ibilisi kampitia

-Njaa haina adabu, watu waliokua na uthubutu sasa wamegeuka vinyonga

Manage

Like
· Reply · 2h

Mwl Magabe Joseph
Ukiamua kuunga mkono unakua DISKILLED.

-Daaaaah MADARAKA YA KULEVYAAAA


-Tcha Vs Dent...,Prof aliziandaa AK47 alijua zitachagua wakumtandika

- lazima aufyate ...chezea njaa ww

- Bwege tu

-Hivi huyu jamaa ni professor kweli? Na mashaka na uprofessor wake
1f602.png
1f602.png
1f602.png

-Njaa mbaya jamani

-Hujakosea mtatiro

-Ananjaa Kali anatetea unga wa watoto

-Prof. Uchwarwa huyu.
Hutu profess .amewahi kuandika vitabu gani? Na vinasomwa na akina nani?
 
Sio wanafunzi wake tuu Bali huyu mtu anajipa mamlaka isiyo yake yy katibu wa wizari ni lazima afike mahali ajue ya kuwa sasa hivi mchango wake una makengeza.Akatoe ushauri ktk familia sio ktk chama kwani haaminiki ni mtu mwenye ndimi mbili asiyeaminika kuanzia vyama alikokuwa.
Si kwamba wanaccm hawana uwezo wa kuongea laa ila wanajitafakari kuhusu yy kusema ametoa ushauri kama mwana Kkkt kwani Ccm inawaumini wengi na ni viongozi kama yy ila wao hawana tabia ya kujiona wanajua ila malezi yao yako tofauti na yy.
 
sasa hivi propesa ni mgonjwa,kapigwa ganzi ya madaraka...hahisi chochote,japo anaona kwa macho

Huu ugonjwa unamtafuna pia propesa kabudi na lipumba

Professor mhongo na mama Tibaijuka wenyewe wameshapona ile radiation baada ya kufanyiwa 'themo therapy'

Professor Issa Shivji,mzee baba...aliyebakia
 
Kama Mtatiro anaamini mwalimu wake ni kilaza je mwalimu kilaza anaweza kutoa mwanafunzi bora, Mtatiro sidhani kama yupo sawa ningemuelewa pale angesema waifute degree yake kwa kuwa alipewa kimakosa kwani mwalimu aliyemfundisha hakustahili.
Hivi wao na Lipumba nani msaliti, anajua ukawa ni nini na kisa cha kuanzishwa kwake sasa leoyule mtu aliyekuwa anawapinga mpaka mnaanzisha ukawa ndiye mnamchukua na kumpa uongozi nani aitwe msaliti.
Au anasahau maneno ya Joseph Butiku aliyesema wanaopinga rasimu ya Warioba ni wakina Lowassa kwa sababu wanaamini kuwa katiba hiyo itawapunguzia nguvu pale watakapokuwa madarakani
Kuhusu Kabudi na Kitilya kubadili mtazamo wao inaonyesha jinsi gani alivyo mchanga kwenye siasa kwani serikali ni system ambayo kama ulikuwa ukiipinga nje ukiingia ndani yake lazima ukubaliane nayo
 
Ninachoweza kukwambia Bw. Mtatiro ni hivii
Unafiki unalipa sana katika siasa za hapa kwetu Tanzania.

Nakuhakikishia endapo hutaweza kua mnafiki basi utafanya siasa miaka nenda rudi na hutapata mafanikio kisiasa, pengine hata kiuchumi hutapata mafanikio kivile, na hii ndio sababu matajiri na wafanyabiashara wakubwa hapa kwetu ni lazima wajiunge na chama tawala ili kulinda biashara zao.

Usipokua mnafiki kwa siasa zetu hautoboi.

Kiongozi gani sio mnafiki tuelezane ukweli?
Mpaka yule baba lao ni wale wale
 
Katika ukurasa wake wa Face Book, Julius Mtatiro ambaye alikuwa mwanafunzi wa Prof Mkumbo pale chuo kikuu Dsm ameandika mada kali sana kumhusu Mwl wake huyo na ukigeu geu wake ambayo imechangiwa na wanafunzi wake wengi sana wa Prof huyo huku wengi wakimshambulia vikali kwa kuwa kigeu geu tofauti na jinsi alivyo wafundisha na kuwaaminisha wanafunzi hao wakati akiwafundisha darasani. Mimi ni mmojawapo wa wanafunzi wake ambaye kwakweli huwa namshangaa Prof huyo jinsi alivyopiga U turn.

Nilichokiona katika maoni tofauti ya wachangiaji ni kuwa watu wengi wamekata tamaa sana na kuwadharau wasomi wa ngazi ya Phd na Uprofesa kutokana na wao kudhalilisha taaluma hizo kwa kutokuwa na misimamo na kulainika ghafla na woga mwingi miongoni mwao ingawa wapo wasomi wa wachache wa ngazi hizo wenye misimamo. Hii ndiyo mada yenyewe:


Julius S. Mtatiro
13 hrs ·
PROF. KITILA (PhD), MWALIMU ALIYEMSALITI MWANAFUNZI WAKE!

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J

Nimeiona taarifa kwamba Prof. Kitila Mkumbo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji amemuandikia Barua Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT ambapo pamoja na mambo mengine amemueleza kuwa kitendo cha maaskofu wa kanisa kutoa waraka wa kichungaji ambao unaionya na kuikosoa serikali kinashusha hadhi na misingi ya kanisa.

Mimi namheshimu sana Mwalimu Kitila, ni Mwalimu aliyenifundisha Chuo Kikuu lakini hakunifundisha uoga na unafiki. Wanafunzi waliopita mikononi mwa Mwalimu Kitila wanajua kuwa siku zote alihubiri uthubutu, uchukuaji wa hatua, umoja, kutokukaa kimya, kupambana na udhalimu, kulinda misingi ya haki, demokrasia, utu na uwazi. Sehemu kubwa ya mambo aliyoyasimamia Mwalimu Kitila ni yale yale ambayo yanajenga taifa lililo kwenye ndoto ya watanzania wengi.

Lakini maoni ya sasa ya Prof. Kitila juu ya mwenendo wa nchi ni maoni potofu, yaliyojaa unafiki, woga, uongo na hayaakisi hali halisi na imani ya Mwalimu Kitila tumjuaye na aliyetujaza na kutushibisha imani hiyo. Mwalimu Kitila hata kama analinda kitumbua chake ni bora angelikaa kimya.

Watu wakubwa sana ndani ya CCM wanaamini mwenendo wa uongozi wa Rais Magufuli una matatizo makubwa na ya hatari kwenye maeneo mengi, maeneo ambayo ni moyo wa nchi. Suala la demokrasia ni moyo wa nchi yetu, mtu anayejaribu kutupeleka kwenye udikteta anagusa na kuchoma moyo wa nchi.

Suala la kuheshimu katiba na sheria za nchi na mgawanyo wa madaraka ya bunge, serikali na mahakama ni MOYO wa nchi. Mtu anayejaribu kuendesha nchi kibabe, kwa mkono wa chuma na kwa matamko na kauli binafsi zisizoheshimu katiba na sheria, mtu huyo anapasua moyo wa nchi.

Suala la kuheshimu haki za lazima za wananchi kama vile KUISHI, kutoa maoni, kukosoa, kukusanyika, kuandamana, kuhoji n.k. haliwezi kuwa na mjadala. Mtu anayepuuza haki hizo na katika utawala wake kumekithiri matukio makubwa ya mauaji ya kinyama, kunyamazisha wakosoaji, kuzuia shughuli za taasisi zingine halali za kisiasa n.k. Mtu huyo anapasua moyo wa nchi yetu, moyo huu unaitwa AMANI na msingi wa uwepo wake kwanza ni HAKI, Bila Haki hakuna Amani.

Mwalimu Kitila hata kama anaona madaraka yake ya sasa ni matamu sana, namshauri aachane na mikakati yoyote ya kutetea maovu na waovu. Kitila ana uhuru wa kutoa maoni yake lakini mimi nina uhuru mkubwa sana wa kuyakosoa waziwazi kwa sababu yeye ni mwalimu wangu. Mambo aliyonifundisha na kuniaminisha leo hii anayakana hadharani, kama Petro alivyomkana Yesu.

Wakati Maaskofu wa Makanisa mbalimbali wanainuka na kupaza sauti za kutetea haki na utu na umoja na misingi ya nchi yetu, sikumtegemea Mwalimu Kitila kuibuka na kuwaambia kuwa "..maoni yao hayaakisi hadhi na misingi ya kanisa."

Kwa tafsiri ya Kitila hadhi na misingi ya Kanisa ni kukalia kimya uovu. Kwamba, enzi za Dikteta Adolf Hitler, maaskofu na papa walipokaa kimya na mamilioni ya watu wakauawa huko ndiko kulinda hadhi na misingi ya kanisa. Ni kanisa lipi ambalo linalinda mauaji na kupora haki za watu. Hilo ni kanisa la shetani peke yake, Kanisa la wanaokunywa damu za watu wao.

Yani leo Mwalimu Kitila Mkumbo anapinga waraka wa maaskofu ambao unaionya serikali kuhusu mwenendo wake wa kukandamiza demokrasia na uhuru wa watu, bunge na mahakama.

Kitila anasema onyo la maaskofu kwa serikali kuwa inatuhumiwa kuhusika moja kwa moja au kufumbia macho mauaji ya raia wasio na hatia - ni jambo lisiloakisi hali halisi ya nchi yetu na linavunja misingi na hadhi ya kanisa!

Kwamba, Kitila anamaanisha kuwa maaskofu hawana uhalali wa kuzungumzia mwenendo mbovu wa nchi. Kwamba Kitila anamaanisha kuwa maaskofu wanapaswa kukaa kimya kwa sababu mambo ni SAFI sana nchini.

Kwamba Mwalimu Kitila anasema Maaskofu hawapaswi kuhoji chochote juu ya dola kununua madiwani na wabunge kama vile enzi za utumwa zimerudi na tena dola hiyo hiyo ikijitangaza kuwa inapiga vita rushwa na ufisadi.

Kwamba Mwalimu Kitila anasema makanisa yanapoteza hadhi na misingi yake ikiwa yanahoji juu ya kushuka na kuporomoka kwa uchumi.

Kweli aliyesema madaraka yanalevya sana hakukosea. Asante sana Mwalimu Kitila, historia ni mwalimu mkuu wa shule zote. Lakini nataka kuweka rekodi sahihi kuwa Mwalimu Kitila aliyekuwa GREAT THINKER si huyu wa sasa. Huyu ni mtetezi wa STATUS QUO na yuko tayari kusema na kusimamia uongo ilimradi tu mipango yake inyooke.

Mwalimu Kitila alinifundisha kushambulia hoja, nimezishambulia kupitia somo la Prof. Lwaitama "Critical Thinking and Argumentation", kama kuna mahali nimemgusa Mwalimu Kitila, at personal level, anisamehe sana. Ntakuwa nimefanya hivyo si kwa kumdharau bali kwa kumshangaa Mwalimu aliyemsaliti mwanafunzi wake na kumuacha kwenye mataa ya ubungo.

Shikamoo MADARAKA YA KULEVYA!

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J



Comments

Kitila Mkumbo
Umesoma maudhui ya barua yangu au unareact kwenye dondoo tu za Breaking News za Mwananchi? Tunapigania demokrasia lakini wenye mawazo tusiyoyapenda tunawaita wasaliti, wanafiki, waoga, ndio demokrasia hiyo?


Julius S. Mtatiro
Profesa Kitila Mkumbo, unafiki si tusi, usaliti si tusi, uoga si tusi...ulinifundisha kutotukana na huwa situkani. Lipumba alivyoondoka na kubwaga manyanga mwaka 2015 alitusaliti. Definition ya usaliti ni kuyageuka yale uliyoyaamini mwanzoni au kuwageuka wale uliokuwa ulipigana nao upande mmoja, yani kama vile mko vitani, wewe ni askari wa Marekani ghafla unahamia jeshi la Urusi. Na unajenga hoja, offcourse tutaziheshimu lakini utakuwa umetusaliti na jina lako ni msaliti.

Kuhusu woga, woga si tusi, woga ni ile hali ya mtu kuujua ukweli na asiusimamie kwa sababu ana hofu kuwa wapo watu au mtu au taasisi hazitapendezwa na msimamo wa ukweli wa mhusika. Mtu akikuita wewe ni mwoga hajakutukana, amekueleza hali inayokukabili tu.

Na unafiki si tusi, unafiki ni ile hali ya mtu kuujua ukweli na kisha kuusimamia uongo. Au kumueleza mtu A kuwa hili na kumueleza mtu B lile kwenye muktadha huo huo mmoja.

Unafiki si tusi Prof unless kama umeamua kuachana na hoja na maswali yote niliyokuuliza na kuhamia kwenye maneno machache hayo.

Katika andiko langu nimekuhoji mambo mengi ya msingi. Yanahitaji majibu mwalimu. Kama mambo niliyohoji hayana majibu basi, siyo mbaya.

Wewe umetufundisha kujenga hoja na kutomshambulia mtoa hoja. Na kwenye hoja yangu kukuita msaliti, mwoga au mnafiki sijakutukana, nimeeleza mambo hayo ili kuyahusianisha na Kitila wa mwaka 2015 back na Kitila wa mwaka 2016 kwenda mbele - Hawa ni Vi-tila wawili tofauti kabisa.

Kitila wa 2015 back alikuwa thabiti na msema kweli na bado alikuwa mtumishi wa serikali lakini hakuogopa kusimamia ukweli. Kitila wa sasa hasemi ukweli tena, hasimamii ukweli.

Kitila wa sasa ni mwoga, ni mnafiki na ni msaliti.

Lakini huyu ni Kitila ambaye amekuwa mwalimu wangu.

Nasisitiza kuwa dhana za uoga, unafiki na usaliti si matusi. Matusi sote tunayajua.

Ni sawa na kumuita mtu "dikteta", udikteta si tusi, ni dhana tu.

Mtu akiniambia Mtatiro wewe ni mnafiki, sikasiriki. Wewe ni mwoga sikasiriki. Wewe ni mnafiki, sikasiriki. Hayo ni maneno yanayohusu muktadha na dhana za ni namna gani mhusika anajaribu kukurejesha kwenye misingi na kukuuliza kwa nini jana ulikuwa baridi kesho u moto.

Mimi nilipokwenda kuonana na RC Paul Makonda kujadili mambo ya wana CUF waliokamatwa MKIRU na kuletwa Dar, watu walinishambulia. Wakaniita msaliti, mnafiki n.k.

Niliyachukulia maneno hayo kama changamoto tu, nikajua with time watajua nini kilinipeleka ofisini kwa RC.

Kwa hiyo mwalimu wangu sasa jibu hoja zangu kama unaziona, na kama huzioni na kwa sababu unasema sijaisoma barua yako kwenda kwa Askofu Mkuu, iweke hadharani ili tuichambue neno kwa neno, mkato kwa mkato, kituo kwa kituo.

Tukikuta haijajaa uongo, unafiki, usaliti na woga, ntafuta maneno yangu na kukuomba RADHI.

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J
-Mh Mtatiro God bless you! Kama prof. aliweza kukisaliti chama cha akina Zitto, na kabla ta hapo chama cha akina Lema unategemea nini kutoka kwa the learnt prof wakati sasa ana landcruza ambalo full time wese alikatiki, coach , house girl, umeme, maji, magodoro n.k vyote vinagharimikiwa na paymaster general?
- Prof Kitila Mkumbo ni mtu mwenye akili nyingi ambaye amechagua kuziweka kando kwa muda sijui ni ndiyo maana ya uzalendo sielewi, sijui ndiyo umri sijui amechoka kutumia akili sasa anyway kiukweli Mimi ni CCM haswaa zaidi ya CCM lakini profesa kitila amenifundisha somo jipya kwangu " TRUST NO BODY " brother Julius S. Mtatiro Mimi nimesoma bachelor of education in psychology 2010- 2013 (udsm) huyu mkuu Ndiye alinifanya nipende psychology kiasi cha kuanza kumuishi kweli kweli ni mtu ambaye amenifanya nipende facts kuliko ushabiki lakini sasa nimeamini kila mtu ni yeye na malengo yake.....

Pesa na vyeo ni zaidi ya elimu hakuna msomi mwenye akili kuliko vyeo na pesa

PESA NI BORA KULIKO ELIMU

Ili msomi abaki na uwezo wake kwa Tanzania inapaswa ajiweke kando na siasa , naandaa ujumbe mzito kwa wasomi wa Tanzania Mungu akitupa afya before June utakuwa tayari

- Kaka nimechoka kabisa aiseee
- Ili msomi abaki na uwezo wake kwa Tanzania inapaswa ajiweke kando na siasa.
Hongera sana.Binafsi huwa nashangaa sana pale Prof.anapokubali kuteuliwa kuwa Waziri.Anaenda bungeni kufanya nini?.Hebu ona wale maprofesa ambao ni mawazir mwisho wao kwenye siasa unavyowaacha uchi,ni aibu tupu

- Fact kk ili udumu kwenye siasa lzm ukubali utakuwa Muongo Muongo,mnafki nk sasa interlectuals na hizo tabia ni tofauti kbs na Ukiwa prof au dr wa ukweli kwenye siasa hutadumu tazama Muhongo anavyopata ugumu kwenye Siasa
-Kitila mkumbo na Kabudi, hawa kwa sasa wanakula matapishi yao.......na haiwezi kuamini kama hawa jamaa ni maprofesa. Na alichofanya Rais magufuli ni kuteua baadhi ya watu wenye njaa na ambao kimsingi ni waoga wa maisha.

Kwa bahati mbaya wanadhalilisha taaluma zao ili kutetea tu matumbo yao.

Siku za baadae naamini watakuja tu kutujibu na muda huo naamini watakuwa wamechelewa.
-Ulitufundisha kutokuwa vuguvugu kwa hali ilivo prof Kitila Mkumbo utagombana sana na sie wanafunzi wako... Kwa hali hii iliyopo hapa kwetu kuwa upande wa Maaskofu ni kuwa upande wa wanyonge na wazalendo wa kweli
-Hawa ndio waalimu wetu, wanasimama majukwaani kusisitiza vijana / wasomi wajiajiri ila wao kutwa /kucha ni kujikomba kwa wanasiasa. Kuna msomi mwingine aliwahi kububujikwa machozi hadharani mbele ya waandishi kisa aliachwa uteuzi ukuu wa mkoa, acheni vijana waendelee ku-beti Kuna siku wataibuka. Hawa ni wasomi wanaoliingizia taifa hasara kubwa
-Labda toka kaingia serikalini hajapata kiki sasa kaamua kuipatia kwa njia hii,kuna watu tungewaelewa kwa kuwaandikia maaskofu barua ila siyo wewe prof,hii kazi waachie akina polepole
-Nakumbuka ule mgomo mkubwa pale UDSM alitusaliti na kukimbia. Zitto akiwa PM wa Daruso alikuja, pamoja na hasira tulokuwa nazo alivimba hadi akaongea tukanywea. Si cha kushangaa hicho
-Jamani wengine UDSM tunapita tu kwenye daladala.Kumbe Prof.Mkumbo alianza kitambo?.
-Kumbe niprohovyo kiasi hicho,huyo nishetani,maana anatetea maovu yanayo fanywa watawala,
Manage

-Umahiri wa mtu unatokana na sehemu aliyosimamia na lile analolisimamia. Pro according to position uliyopo huwezi funga goli abadan. Halafu we Julius S. Mtatiro Mungu anakuona haki ya nani.

-Kikao cha Bakwata Dodoma kimezimwa tena na kihoja cha Profesa Kitila. Hawa watu ni kama wamerogwa.. Wanabuni mbinu za kuzima mjadala halafu hapo hapo wanaufufua na kuupambisha moto. Inamaana Prof Kitila aliamini kabisa ataandika aliyoyaandika na watu wasome tu na kumeza upotofu?
Manage

-Watakuwa labda wanafanana tu, kwani huyu ndiye Prof. Kitila wa UDSM wa psychology? Hamna bwana....atakuwa mwingine
-Huyo mchumia tumbo nisawa na yule Dr aliye mwambia makufuri kuwa cna Kazi sasa huyo sindio wameingia mikataba ya mlimani city mibovu na wao ni bord member hawana kitu Hao wezi tu .
-Madaraka ni Matamu sana, Hupofusha na Kulewesha kabisa! Mtu akiyapata, husahau kila kitu! na wala hawezi kukumbuka Misimamo yake ya kabla ya kuyapata hayo Madaraka! huwa hakumbuki alikoanzia wala anakokwenda kumalizia Madaraka na ama Maisha yake!
Manage

-Mwingine ni Prof.Paramagamba Kabudi,
Anasema katiba yetu ya Tz na ile ya Zanzibar hazina mgongano,
Akiwa kwenye tume ya warioba kuna clip unaonyesha akiongoea mpaka mate yanakauka akisema tofauti na anavyosema sasa hivi akiwa mezani anakula!
-Mwacheni askofu atoe ya rohoni jamanii... Hali c nzuri tz Amani inatakiwa sana pia maombi ya ukweli... Asante kiongozi wetu
-Kitila Mkumbo hana hoja yoyote kwa sasa. Amebaki kuwa kibaraka na mnafiki mbele ya chui katili...

- Nilijuaga njaa huteka akili tu, kumbe na roho tena! Nakupa pole mwalimu

-We were born intelligent but artificial education ruined our intelligence!

Manage

-Usimjibu mpumbavu sawsawa na upumbavu wake mithali 26:4 kwa hyo bro wangu mtatiro bora uwe kimya usimjibu huyu kilaza aliyejivika nguo za uprofesaManage

-We Mh. Julius S. Mtatiro kweli "&$(#$^@*" sio tusi? Mwalimu anakuelewa:)
Manage

-Sio usaliti kwa watanzania pekee bali hata kwa rais magufuli kwa jinsi ya kumshauri vibaya mwenye kunyooshewa kidole ni mteuzi na sio mteuliwa na bahati mbaya hata wanaccm wanamchekea tu they're voiceless so let it go sir

-Najivunia Sana elimu niliyonayo kwa maana hainitoi ufahamu hata kidogo! Hawa jamaa wanaoitwa wasomi hata hawafanani na kiwango Chao cha elimu, kweli nimeamini hakuna mkate mgumu mbele ya Chai.
-Kama nabii alisalitiwa na mtu wake wa karibu, sishangai huyu kuwasaliti asiowajua. It is dangerous when you think using your stomach instead of your brain. We,ve got a long way to go.
-Hapa Mimi namkumbuka prof.Lipumba,kwa hiyo sishangai wala sioni jipya,si kila wanachosema hawa wasomi wetu wanakuwa wamemaanisha wasemacho na si kila wasemacho ndicho waaminicho.Fungu jema na LA busara lilikuwa kunyamaza.
-Ma Professor uchwara,wanachofundisha sicho wanacho kiishi.Julius Mtatilo anaonekana kuwa na uwezo mkubwa wa AKILI na uelewa kuliko hata mwalimu wake.nimeamini unaweza kuwa intelligent likini usiwe Smart.

Mungu ubariki Tanzania.Manage

-Nachoshindwa kuelewa ni kwamba wale waliohamia chambani ndiyo waongeaji na wateteaji wa mambo ya ajabu kuliko wenye chama yaani mgeni anafahamu sana kuliko wenyeji hii ni aibu
-Huyo ni professor kama Lipumba, yaani akili zao ni zilezile tu za kujipendekeza.
-Unavunja Nyumba uliyoijenga kwa mikono yako mwenyewe? Wewe ndiye ulikuwa Mwl wetu wa demokrasia leo wanaolalamikia kuminywa kwa demokrasia unawapinga.
-Kwa hali ilivyo hivi sasa ni kwamba akili ndogo inaongoza akili kubwa.... ili maprofesa mbaki na heshima zenu kipindi hiki ni either uhongee ukweli umuudhi mtukufu rais kama ilivyo kwa wachungaji na maaskofu au unyamaze kimya kama kina Shivji na wengine mpaka upepo mbaya huu utakapopita.... otherwise utafanya wananchi tuwe na mashaka na uprofesa wako ama kuidharau kabisa elimu hii ya juu.
-All in all Mungu hadhihakiwi ,,
yeye ndiye anayeandaa mazingira tofauti ili kupima uhalisia wa kile tunachoamini..
Ndiye aliyegawa karama mbalimbali ili tuvitumie kwa haki na busara..
Ndiye aliewaumba wenye uwezo wa chini kifikra, wa kati na wenye fikra kubwa.
Lakini wote katuweka kwa terget maalum.
Sasa ole wao wanaotumia karama na vipaji walivyonavyo kinyume na mapenzi ya Mwenyenzi Mungu.
Nasema Mungu hadhihakiwi..
vyoooooooooooote vyapita lakin haki ya Mungu itadumu daima.
Njaa za wasomi kama hawa ni kipimo tu kupima msimamo ktk kile anachokiamini lakini kumbe shibe wakati mwingine ni kweli ni mwana malevya...
-Hakuna haja ya kusoma hadi kuwa prof kama utaamini cheo ndio uhai wako. Niliamini ma prof hujiamini kwamba wataishi kutokana na elimu waliyo nayo na wala sio nafasi ya madaraka. Najiuliza kama prof ni muoga kupoteza cheo kiasi hicho, mimi std 7 naweza kumuita muajiri wangu Mungu. Kwani muumini asipoonesha hadharani kutofautiana na kiongozi wake wa kiroho anatenda dhambi ipi?
Manage

-Siku hizi naona wasomi watanzania ndo wanakuwa wajinga kuliko tulioishia darasa la 7 tunaonekana kuwana welewa wa kutasha, unakuta msomi tena amemaliza chuo kabisa anasema maaskofu msichanganye dini na siasa , anashindwa kujua siasa ndo maisha , ukitaja shule, maji, hospitar, kilimo, barabara, vyote hivyo ni siasa, sasa maaskofu watajitenga vipi na siasa wakati wamezungukwa na hivyo vyote,

-Dah.. Kwa haya yanayotokea kwa kweli trust no body... Inawezekana kabisa na ndugu yetu @julius_mtatiro nawewe ukipewa madaraka ipo siku utasaliti kile unachosimamia.. Ila anyway ngoja nijipe moyo kwamba hutoweza badilika kutokana na historia yako.. Mana iko tofauti na huyu prof wetu.

-Mimi niliwambia hali ikisha kua hivi, hapakosi wanaonufaika ni hali hiyo. Na pia hapakosekani wanaoathirika na hali hiyo. Kwahiyo katika hali ya nivute nikuvute ndio unawatambua nani ni akina nani, na nani ni akina nani. Pale inavyo anza kusikika s...See More
-Power tends to corrupt; absolute power corrupts absolutely.

An observation that a person's sense of morality lessens as his or her power increases. (Lord Acton, a British historian of the late nineteenth and early twentieth centuries).
Manage

-Inawezekana kabisa prof hii ndio tabia yake , ndivyo alivyo kipindi kile hatukumjua ila kwa sasa muda ndio huu. Muda unanjia ya pekee katika kutueleza ukweli mambo. Ndio muda sasa wakumjua Kitila Mkumbo

-Mtatiro umemshona kitila mkumbo mdomo kama kweli sio mnafiki mbona Hakuzungumzia hoja za maasikofu kuhusu watu kutekwa Uhuru wakujieleza kuminywa kwa demokrasia wanawashambulia maaskofu bila kujali hoja zao niunfiki

Manage

-Kweli Nikki wa Pili hakukosea kuimba wimbo wa Madaraka ya kulevya.
-najivunia elimu yangu yadarasa la pili
-kitila mkumbo we ni bendera fata upepo nawe unabidi ukatubu sababu unatenda dhambi kwa kunena yani unataka kusema nchi hii ina democrasia kaa ujitafakari kiundan nn kilichopo moyon mwako najua cheo kitam
-There are three things in the world that deserve no mercy, hypocrisy, fraud and tyranny: By Frederi

-Hata PhD zao zingechunguzwa zingekuwa na mambo mengi sana japo hayo yamepelekea wengne kupotea
-Mm nilidhani ungeandika barua kwenda kwa mkuu ila akutane na viongozi wa dini, kuwaandikia viongozi wa dini barua haitasaidia kwenda mbele, ila cha msingi boss akae nao
-Unafki ni zambi isiyo sameeka kabisa professor kweli unawasaliti wa tz?
-Mwingine Dr.Harrison G.Mwakyembe akiwa anatafuta PhD yake aliandika kuhusu umhimu wa serikali3 lakini 2014 akaikataa kwa nguvu zote katiba ya warioba!
Ama nchi yetu ni miongoni mwa nchi zenye watu wa hovyo sana dunian

-Alikuwa na njaa wakati huo sasa anaanza kushiba madaraka ya muda ya kupita tu hayo...walikuwepo wangapi nyadhifa km hizo leo wako wapi wanaadhirika mitaani .Asijisahau kiasi hicho nae ni mwalimu zumbukuku kulewa tu cheo lkn njia ni moja tu waliosema Maaskofu ni njia na muono halisi ya matukio ya UDIKTETA UNAOPENDA SIFA NA USIFIWE . lkn wa kuogopwa ni Mungu na sio binaadam.
-kitila huna maana ya hata huo upro wako msiba anatukana anaongea maneno ya hovyo lakin hatusikii mkisemea hilo hivi hayo maneno angeliongea mpizani leo angekuwa wapi maaskofu wanaongea vitu vya kujenga misingi ya kuheshimiana na kuheshim wengine eti unaandika barua tuta kuelewa kama msiba walio mtuma hawatasema mchochez
- Alishasema wenye akili walishaondoka ccm na waliopo kule ni kwasababu ya maslahi tu!
-Njaa ni mbaya haswa ukiwa upande ambao ndo kula yako ipo hyu pr wako naona sasa yupo mezani anakula akimsema boss wake vibya bakuli linabutuliwa
- Kaka mtatiro hakika wewe ni mwl mzuri pengine kuliko walimu wenyewe
-Njaa humtoa MTU ufahamu na kuwa Zuzu
-Kitila wasasa anafanana nalipumba.
-Huyu ndie Mtatiro ninaemjua,HANA UNAFIKI,UJUMBE UTAKUWA UMEMFIKIA PROFESA ALIELEWA MADARAKA.
-Njaa ni shida ata ndgu yako unaweza muuza ata ndgu yako
-Wewe kitila !! Sisi yetu macho

-Analinda kitumbua chake
-Hiv ndiyo yule akiongea povu tu, sasa napata picha hawa watu shida sana hawasimamii ukweli, si mnakumbuka hata wa katiba nae kakataa mawazo yake, nae akiongea povu tu.
-Mwe!hatari sana.

-
Kitila Mkumbo nau amekfaa kiakli xohawezii kjb hoja anakmbilia kuangalia maneno mabaya alyo semwa nayo,nafsi yako kitila inatambua kbsaa ww n mnafiki na mtetea kitii chako,

-Namkumbuka Kitila Mkumbo wa UDASA , ama kweli pata madaraka /pesa tujue tabia yako....
1f914.png

-hiv ni prof ana phd au whitch dr?au maana sijamwelewa vizur
-Uprofesa wa kibongo bongo asilimia kubwa ni wa mabox!!
Ukitaka kuamini watoe maprofesa wote kwenye system za Kisiasa muone kama hawatakula chawa kwa kukosa vyakula.
-Mr Mtatiro keep it up!!!! You have done a very nice job!!
-Watanzania wengi sana hasa walioko madarakan wamegubikwa na wimbi la unafiki na ubinafsi Kitila Mkumbo ni prof lakn anagangamiza jamii ya wat kisa amenunuliwa ujinga mtupu
-umesalit wanafunzi wako je mkeo akikusalit utajiskiaje ww mkumbo?prof uchwara
-Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa huu uprofesa ni mauzauza matupu
-Hahaa Mbona Shikamoo Madaraka Ya Kulevya.
-Cha msingi atuambie je walichosema maaskofu ni uongo au kweli mambo hayo yapo?
-Huyo angekuwa kweli anafundisha hyo PL asingekengeuka na kuwa kila uchwao yuko huku na kule wasomi wetu shikamoo.
-Ashaonja damu huyo ko kuua kwake ndo kazi iliyobak. Sitamsahau tulpokuwa nae akiwa amevaa Gwanda. Snitch
-Kwa kawaida za kibantu firigisi ya kuku hupewa baba,na huwa haturuhusiwi kuongea wakati wa kula ,@ Julius Mtatiro
-Msomi wa Tanzania ili abaki na akili yake inabidi hasishibe( njaa) ndio nusra yake.Shibe ndiyo zao la Prof. Lipumba,Prof.Kabudi,Prof.Kitilya nk

-Haya yote yanatokea kwa sababu serikali imewekeza zaidi kwenye siasa badala ya kwenye taaluma ili iweze kuleta maandeleo. Matokeo yake kilichobaki wanataaluma wanaacha fani zao na kukimbilia kwenye siasa na kwenda kinyume na mafundisho yao.
-Msingi wa uongozi bora ktk nyanja yoyote ile Upo ktk elimu mkiwa na viongozi waliopata elimu Nzr ni wazi mambo yatakuwa mazuri lkn km walimu wenyewe ni wa aina hii wala sishangai kinachoendelea kwa sasa.

-Kuna ule usemi wetu mnapaswa muuelewe usemao,imetupasa kutokufuata mkumbo,tusimfwate mkumbo,zingatia "mkumbo"
-hahahaha atari sana ni aibu tupu.
-Kuna Watu Nchi hiii
Wakisikia Fulani katekwa
Amekutwa kwenye kiroba
Na ameacha Watoto kadhaa
Wanafurahi kweli kweli

-Katika hii nchi mura mtatiro usije ukaamini makabira mawili,wanyamwezi na wanyiramba ni watu hatari,wao kusema ukweli ni kitu adimu

-Professor
Kitila Mkumbo, Professor Lipumba, Professor Kabudi naomba mnishawishi na Mimi nataka kuwa maprofesa kama nyinyi, maaana mmm si kwa uprofesa huo

-Bado natafakari na natamani nitoe ht robo tu ya nukuu zk ktk kongamano la kiroho pl chuo kikuu 2013 jinsi ulivyo nisisimua na kunitia moyo na nguvu ya kupambana kumbe ilikua ni maigizo tu Mungu anakuona mkumbo!

-Umepata kibarua hata uovu ni lazima autetee lakini ole wao wanaoshiba sasa

-Viongozi wageni ccm ndio wanaomwaribu raisi wetu kwa maslahi yao,raisi magufuli,heri wapatanishi kuliko wenye njaa zao mungu akupe macho ya kuona njaa zao ili heshima irudi kwa chama na serekali.maonyo kwa maaskofu minimum,biblia imeandika maonyo cio maombi,utaomba vizuri baada ya kuonywa,hata mfalme daudi alionywa kuhusu mke wa uria akaelewa. Hujui miongozo ya kimungu mzee,tubu maana unamwaribu mfalme wetu.

-Kweli watanzania ni wapole sana. Ndo maana tunaitwa wanyonge nimehundua kitu.

-Mtani wangu tata Mula @Julius S. Mtatiro Mungu akutunze, najivunia kuwa mtani wako, andiko la Kiume saana barikiwa saana.

-Nampataga sana,mtatiro ingawa mkono wa chuma haufurahi hata kidogo jinsi unavyosema ukweIi.

-Jamani naomba kuulza hv ckuna madiwani walijiuzuru kumuunga mkulu mguu mbona cjacikia tume inatangaza uchaguzi au wameona pipo hawana muda na uchaguzi?

-Ni prf ambae ana maradhi ya BT yaani bora tumbo nasio yeye tu ana wenzake wengi sana

-Ndio asili ya binadamu, hubadilika kulingana na mazingira


-nani atanipa maana ya mkumbo?
-PHDs+politics= professorial rubbish
-Teacher Vs students, silaha hizi kaziandaa mwenyewe acha apambane nazo
-Ni heri kukaa kimya kuliko kuropoka, walimu tutunze heshima zetu
-Wakati wa kula ni mwendo wa kimya kimya
-Wengine sio maprofesa ni mapropesaaaaaa Kitila'Lipumbavu nawengineo ambao bado hawajajitokeza hazarani hawa ni mapropesa sio maprofesa
Manage

-Shikamoo pesa na madaraka
-Pro kajitoa akili jamani wanafunzi wake msameheni tu no ibilisi kampitia

-Njaa haina adabu, watu waliokua na uthubutu sasa wamegeuka vinyonga

Manage

Like
· Reply · 2h

Mwl Magabe Joseph
Ukiamua kuunga mkono unakua DISKILLED.

-Daaaaah MADARAKA YA KULEVYAAAA


-Tcha Vs Dent...,Prof aliziandaa AK47 alijua zitachagua wakumtandika

- lazima aufyate ...chezea njaa ww

- Bwege tu

-Hivi huyu jamaa ni professor kweli? Na mashaka na uprofessor wake
1f602.png
1f602.png
1f602.png

-Njaa mbaya jamani

-Hujakosea mtatiro

-Ananjaa Kali anatetea unga wa watoto

-Prof. Uchwarwa huyu.


Am too woried na elimu yake. Kimsingi hana credibility yoyote ya kunshauri mtu, hana sifa ya kuitwa profesor, huyu n mganga njaa kama Lipumba, ujinga na upuzi unaondelea katika hii nchi kamwe mwenye akili yake hawez kusimama na kutetea ushenzi huu, only ADB na watu wenye carbre ya akili yake kama Mkumbo can do that.
 
Back
Top Bottom