KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,291
Ndugu wapendwa najua mbaya kuuliza lakini sikuapenda kabisa kabisa jinsi ya huyu bwana anavyotreat watu na huu ugonjwa,...nimeulizwa na watu sana kuhusu kisukari nikawaelekeza kwa huyu mh naishia kutukanwa na kulaumiwa pasipo na haki
Ndugu mpendwa kumwona huyu bwna ni sh 20,000 NILIMPELEKA mtu jana lakiini wakati anatoka wakaanza kulalamika waliomtangulia alipokuja yeye alisema yaani nimeshoka nimechoka kabisa
akasema ameonana na dk alipomwona akaanza kumwambia shida zake wakati akiwa anaendelea
kumeweleza jamaa akamweleza shida yako inaitaji sh million 3 ,...kwa kweli baada yaa hapo akabonyeza kidude akaitwa mwingine wakati akiwa ndani ...,akamwamba aunt muda umeisha ...kwa kweli hii si uungwana nhisi mtu akija kwko dk anataka umweleze na pia umsikilize ......,na si kuangalia wako wangapi nje wanakusubiri
Nakutakia kazi njema bosi
Mkuu, kabla hata sijamaliza kusoma ulichoandika,,mi pia ni mhanga wa huyu bwana.
Mwaka juzi nilienda kwake kwa lengo la kununua dawa ya allergy, akaniambia akanitajia kiwango,,actually sikuwa na uwezo huo. Nikawa namwomba anipunguzie,,akanijibu kama huna hela niondoke kwani kuna lundo la watu wanamsubiri.
Nilisikitika sana,,na tangu siku hiyo nilisusia hata kuangalia vipindi vyake vya tv.