Dr. Isaack Ndodi: Hisia mchanganyiko

Dr. Isaack Ndodi: Hisia mchanganyiko

Ndugu wapendwa najua mbaya kuuliza lakini sikuapenda kabisa kabisa jinsi ya huyu bwana anavyotreat watu na huu ugonjwa,...nimeulizwa na watu sana kuhusu kisukari nikawaelekeza kwa huyu mh naishia kutukanwa na kulaumiwa pasipo na haki

Ndugu mpendwa kumwona huyu bwna ni sh 20,000 NILIMPELEKA mtu jana lakiini wakati anatoka wakaanza kulalamika waliomtangulia alipokuja yeye alisema yaani nimeshoka nimechoka kabisa
akasema ameonana na dk alipomwona akaanza kumwambia shida zake wakati akiwa anaendelea
kumeweleza jamaa akamweleza shida yako inaitaji sh million 3 ,...kwa kweli baada yaa hapo akabonyeza kidude akaitwa mwingine wakati akiwa ndani ...,akamwamba aunt muda umeisha ...kwa kweli hii si uungwana nhisi mtu akija kwko dk anataka umweleze na pia umsikilize ......,na si kuangalia wako wangapi nje wanakusubiri

Nakutakia kazi njema bosi
 
Kama unahitaji dawa au unawatu wanasumbuliwa na maradhi ya kisukari kuna mtu namfahamu anayo dawa ya kusaidia hilo tatizo na wapo waliobahatika. Huyo Ndodi anaonyesha si muungwana na yupo kibiashara zaidi sio kuokoa maisha ya watu.
 
Sasa huyo ndugu yako anataka kupona au abaki na 3M?
NINACHOJUA NI KWAMBA AKITOA HIYOFEDHA atapona BILA YA SHAKA...
Labda alijisikia duni kwa vile hana hiyo hela...
Mara ingine hata umasikini unasababisha ulalamiishi usiokuwa na sababu!
 
Ndugu wapendwa najua mbaya kuuliza lakini sikuapenda kabisa kabisa jinsi ya huyu bwana anavyotreat watu na huu ugonjwa,...nimeulizwa na watu sana kuhusu kisukari nikawaelekeza kwa huyu mh naishia kutukanwa na kulaumiwa pasipo na haki

Ndugu mpendwa kumwona huyu bwna ni sh 20,000 NILIMPELEKA mtu jana lakiini wakati anatoka wakaanza kulalamika waliomtangulia alipokuja yeye alisema yaani nimeshoka nimechoka kabisa
akasema ameonana na dk alipomwona akaanza kumwambia shida zake wakati akiwa anaendelea
kumeweleza jamaa akamweleza shida yako inaitaji sh million 3 ,...kwa kweli baada yaa hapo akabonyeza kidude akaitwa mwingine wakati akiwa ndani ...,akamwamba aunt muda umeisha ...kwa kweli hii si uungwana nhisi mtu akija kwko dk anataka umweleze na pia umsikilize ......,na si kuangalia wako wangapi nje wanakusubiri

Nakutakia kazi njema bosi


Pole sana!
Huyo dada ataona nawewe una 10%.
 
Napenda sana busara zako.
Sasa huyo ndugu yako anataka kupona au abaki na 3M?
NINACHOJUA NI KWAMBA AKITOA HIYOFEDHA atapona BILA YA SHAKA...
Labda alijisikia duni kwa vile hana hiyo hela...
Mara ingine hata umasikini unasababisha ulalamiishi usiokuwa na sababu!
 
Sasa huyo ndugu yako anataka kupona au abaki na 3M?
NINACHOJUA NI KWAMBA AKITOA HIYOFEDHA atapona BILA YA SHAKA...
Labda alijisikia duni kwa vile hana hiyo hela...
Mara ingine hata umasikini unasababisha ulalamiishi usiokuwa na sababu!

mkuu PK
SABABU SIO HELA TU;ALIMUULIZA INCASE AKUPONA NA HIYO HELA INAKUWAJE AKASEMA
HOSPITALINI UNGEFANYAJE;AKASEMA TUNATAFUTA MBADALA WA DAWA NYINGINE AKAMUULIZA NTALIPIA AKASEMA OOOH YEAH TENA UKIJA UNAANZA NA HII 20 TENA AKAENDELEA AKIWA ANAMWELEZEA SHDA ZAKE AKAMKTAISHA NIMESHASEMA MAMA WE NENDA TAYARISHA MIL 3 WIKI KUMI MZIMA ASIPOPONA TUTAMWANGALIA TENA...PRBLM NI KWANZA AKUWA MSTAARABU KUMSIKILIZA MTU NA KUJALI WALIO NJE AKIINGIZA 20 ALFU NA KWELI KULIKUWA SI CHN YA 30..ANAYWA AWE ANASIKILIZA MAHTAJI YA WATU NIMEWAPELEKA WENGI SANA WAKALALAMIKA JINSI YA TREATMENT WANAYOPATA ACHILIA MBALI PESA ZIKO JUU ..INAUMIZA SANA SANA PK..POLE KAMA UKO KARIBU NAE LKN HATA M NILIKUWA MPENZI SANA WA VIPIND VYAKE
 
Napenda sana busara zako.

Hakuna busara kwenye maswala ya ugonjwa, wala kudhihakiana kwa kuitana masikini haya Pdiddy masikini wewe tajiri saidia kuokoa maisha ya huyo alietakiwa 3 mil na Mungu atakulipa kumbuka unaweka akiba ya mbinguni.
 
Samahani wakubwa, nina shida na wimbo wa mafumu bilali unaitwa maya, kuna mtu anaweza kunisaidia?
 
Hakuna busara kwenye maswala ya ugonjwa, wala kudhihakiana kwa kuitana masikini haya Pdiddy masikini wewe tajiri saidia kuokoa maisha ya huyo alietakiwa 3 mil na Mungu atakulipa kumbuka unaweka akiba ya mbinguni.
Ngoja nikufundishe wewe..sijui unaishi nchi gani, sidhani kama upo Tanzania..
Ni kwamba WATANZANIA wengi wanakufa kwa Magonjwa yanayotibika..Hii inatokana na umasikini...period!
Hujasikia Malaria inaua kuliko UKIMWI Tanzania?...Malaria si ni kukosa net?, na kushindwa kwa juhudi za kitaifa kuondoa ugonjwa huo(kama walivyofanya America) au kuishi kwenye mazingira hatarishi(madimbwi ya maji etc)...
Tusiogope kusema ukweli, kisa unauma!...Kwa tiba zetu za Bongo kama huna hela unakufa!....basi!
 
Napenda sana busara zako.
Ndugu pole sana kama kumdhihak mtu kwako busara nimeanza kukuogopa inshort alieenda yuko vyema sana kifedha one of CEO ktk shirika la umma na kwake kilichomsumbuani uhakika wa kupona kwa hiyo mil 3 ...na hapo ndipo alipopagawa na majibu ya dk ndodi ni dk mzuri sikatai ila nikwambie kama hizi 20 za kumwona nimewapeleka watu wengi sana kwake wengi..na mwisho kuishia maalalamiko mara gali sana ni ngumu kwa mtu wa MUNGU kuwa kibiashara zaidi badala ya kuangalia utasaidiaje kuwaponya kupitia kipaji MUNUG alichokupa...nahisi anaitaj kumuuliza MUNGU tena je hii huduma ametumwa na Mungu Ama lah....bado dk naitaji kuona ukienda mbali kwa huduma hii lakini nisingependa kuona ofisi zake zikihudhuriwa na MATAJIRI WENYE PESA ZO KAMA WAKINA
PAKAJIMMY NA SUMBALAWINO....KILA LA KHERI JAMANI MUNGU NDIE MWEZA YOTE
 
Sasa huyo ndugu yako anataka kupona au abaki na 3M?
NINACHOJUA NI KWAMBA AKITOA HIYOFEDHA atapona BILA YA SHAKA...
Labda alijisikia duni kwa vile hana hiyo hela...
Mara ingine hata umasikini unasababisha ulalamiishi usiokuwa na sababu!

Bro unajua tunapoenda kwa Dr tunahitaji ile attention yake, na ninadhani Pdidy anachoongelea hapo ni ule umakini wa Dr anapokua na mgonjwa, je anamtreat inavyotakiwa? unajua unapoenda hospital halafu unakuta Dr hajali inakatisha sana tamaa.Yawezekana huyo mgonjwa hizo 3M sio issue kwake anaweza kuzitoa ila sasa tatizo ni kwamba Dr hayuko makini.
 
ngoja nikufundishe wewe..sijui unaishi nchi gani, sidhani kama upo tanzania..
Ni kwamba watanzania wengi wanakufa kwa magonjwa yanayotibika..hii inatokana na umasikini...period!
Hujasikia malaria inaua kuliko ukimwi tanzania?...malaria si ni kukosa net?, na kushindwa kwa juhudi za kitaifa kuondoa ugonjwa huo(kama walivyofanya america) au kuishi kwenye mazingira hatarishi(madimbwi ya maji etc)...
Tusiogope kusema ukweli, kisa unauma!...kwa tiba zetu za bongo kama huna hela unakufa!....basi!

ngoja nikufndishe wewe ulie bongo na utajiri wako
si wote wanaotibu kama dk ndodi wako gali kama unavyofikiri,sikatai ni kweliw engin wanakufa kutokana na umsakini na hilo alikuwa hoja nilioandika kama ulivyoiwakilisha kwetu...swala kama anakipaji cha kutibu basi anaouwezo wa kushauriwa kupunguza bei na watu wakaenda kupata msaada wa kupona na sema hilo si kwangu ni kwa kila mtanzania kaka...pili swala la kukaa tanzania na nje ya tanzania sijui limeingiaje..nahisi punguza jazbaunapotakiwa kutoa mawazo yatakayosaidia jamii
Tatu;Nimeongelea swala la kumtreat mgonjwa soma uelewe then ujibu na kama uko internet omba ushauri inapokuja swala la jamii tofauti na unapofungua mambo ya kikubwa nimeumia zaidi jinsi alivyokuwa akimweleza na kuanza kubonyeza kuita mwingine hata ajamaliza shida aliomwita..nahisi ni vizuri kuangalia busara zaidi najua angekuwa dk wa shulen ningesema potelea mbali .,,pole sana kama nimekugusa

WANA AMANI WAIPENDAO SHERIA YA BWANA AKUNA LITAKALO WAKWAZA@@
 
yanini malumbano......
kama kuna mtu mwenye kufahamu tiba yeyote inayoweza msaidia muanzisha mada amshauri
 
PDIDY...UMETUMIA BUSARA NA HEKIMA KUWAKILISHA UJUMBE WAKO WENYE UCHINGU MWINGI NA MAUMIVU YA NDANI......nakutume kawafundishe vyama fulani kuwakilisha ujumbe bila kuleta madhara
 
mkuu PK
SABABU SIO HELA TU;ALIMUULIZA INCASE AKUPONA NA HIYO HELA INAKUWAJE AKASEMA
HOSPITALINI UNGEFANYAJE;AKASEMA TUNATAFUTA MBADALA WA DAWA NYINGINE AKAMUULIZA NTALIPIA AKASEMA OOOH YEAH TENA UKIJA UNAANZA NA HII 20 TENA AKAENDELEA AKIWA ANAMWELEZEA SHDA ZAKE AKAMKTAISHA NIMESHASEMA MAMA WE NENDA TAYARISHA MIL 3 WIKI KUMI MZIMA ASIPOPONA TUTAMWANGALIA TENA...PRBLM NI KWANZA AKUWA MSTAARABU KUMSIKILIZA MTU NA KUJALI WALIO NJE AKIINGIZA 20 ALFU NA KWELI KULIKUWA SI CHN YA 30..ANAYWA AWE ANASIKILIZA MAHTAJI YA WATU NIMEWAPELEKA WENGI SANA WAKALALAMIKA JINSI YA TREATMENT WANAYOPATA ACHILIA MBALI PESA ZIKO JUU ..INAUMIZA SANA SANA PK..POLE KAMA UKO KARIBU NAE LKN HATA M NILIKUWA MPENZI SANA WA VIPIND VYAKE
Labda tuwekane sawa kwa haya kwanza:
1: Ukiingia gharama kwa dawa za Ndodi (na kufuata Masharti vyema)UNAPONA!..guaranteed!
2:Yule jamaa ana watu wengi mno, kiasi ukianza kubembeleza bei pale ndani hutakuwa entertained...utamchukia!. Ukitaka saundi ya bei za dawa umtafute akiwa nyumbani au nje ya pale ofisini...naongea kwa uzoefu!
3:Ndodi ana uzoefu na kazi ile sana, anachukulia kwamba akikwambia kitu mara moja utaelewa, vinginevyo kama unauliza sana tafuta muda private, si wakati akiwa na foleni ya watu nje!(Najua hii ni unprofessional kidogo, lakini na tukumbuke kuwa anahitaji kuzingatia muda ili aweze kufidia gharama za kupata dawa na kulipia kodi zote zinazomwangukia).
4:Hiyo 20K ni consultation fee kama ilivyo kwa hospitali zingine unapotaka kumwona specialist mazee!...Tuangalie zaidi Gravity ya ugonjwa!
5.Sina uhusiano wa kinasaba na Ndodi, ila nimetokea kumwelewa, na nina shuhuda za 100% za walioenda kwake kupona magonjwa ambayo hayatibiki hospitali..
Aksante.
 
Ngoja nikufundishe wewe..sijui unaishi nchi gani, sidhani kama upo Tanzania..
Ni kwamba WATANZANIA wengi wanakufa kwa Magonjwa yanayotibika..Hii inatokana na umasikini...period!
Hujasikia Malaria inaua kuliko UKIMWI Tanzania?...Malaria si ni kukosa net?, na kushindwa kwa juhudi za kitaifa kuondoa ugonjwa huo(kama walivyofanya America) au kuishi kwenye mazingira hatarishi(madimbwi ya maji etc)...
Tusiogope kusema ukweli, kisa unauma!...Kwa tiba zetu za Bongo kama huna hela unakufa!....basi!

Maisha na mali za wananchi wote katika taifa la Kiislamu huchukuliwa kuwa ni vitukufu, iwe mtu huyo ni Muislamu ama la, Uislamu unalinda heshima pia. Hivyo, katika Uislamu, jambo la kuwatukana wengine na kuwakejeli haliruhusiwi. Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Hakika damu zenu, mali zenu na hadhi zenu ni tukufu.)) [100]


My Take.

Ukishasema ukweli toa ufumbuzi au njia ya kuweza kutatua tatizo la mtu na sio kumkejeli "masikini" hakuna tajiri duniani yote haya tunayaona mwenyewe ni Mungu dakika tu unaweza kufilisika.
 
Hakuna huduma makini huko kwenu.
Kila mtu anatafuta kujaza mfuko(tumbo) lake.
Huo ndio ukweli.
pole zenu!.
 
Ndugu pole sana kama kumdhihak mtu kwako busara nimeanza kukuogopa inshort alieenda yuko vyema sana kifedha one of CEO ktk shirika la umma na kwake kilichomsumbuani uhakika wa kupona kwa hiyo mil 3 ...na hapo ndipo alipopagawa na majibu ya dk ndodi ni dk mzuri sikatai ila nikwambie kama hizi 20 za kumwona nimewapeleka watu wengi sana kwake wengi..na mwisho kuishia maalalamiko mara gali sana ni ngumu kwa mtu wa MUNGU kuwa kibiashara zaidi badala ya kuangalia utasaidiaje kuwaponya kupitia kipaji MUNUG alichokupa...nahisi anaitaj kumuuliza MUNGU tena je hii huduma ametumwa na Mungu Ama lah....bado dk naitaji kuona ukienda mbali kwa huduma hii lakini nisingependa kuona ofisi zake zikihudhuriwa na MATAJIRI WENYE PESA ZO KAMA WAKINA
PAKAJIMMY NA SUMBALAWINO....KILA LA KHERI JAMANI MUNGU NDIE MWEZA YOTE

Pdidy haueleweki! Kwanza unamlalamikia Dr Ndodi, Pili unaendelea kupeleka watu kwake; we ni mtu wa aina gani?

Hao unaowapeleka wanapona au ...? Kama yeye amekaa kibiashara hilo ndio jambo la muhimu. tatizo waTZ hatujali muda wa mtu. Inawezekana jamaa yako alikuwa amepewa maelekezo yote lakini akawa mgumu wa kuelewa na akawa anapoteza muda kutaka jambo hilo hilo lirudiwe rudiwe na Dr akaona anampotezea muda wa kulamba 20K.

Tujali muda, kila mtu ana 24hrs per day na usipotumia vizuri uta-lost
 
PDIDY...UMETUMIA BUSARA NA HEKIMA KUWAKILISHA UJUMBE WAKO WENYE UCHINGU MWINGI NA MAUMIVU YA NDANI......nakutume kawafundishe vyama fulani kuwakilisha ujumbe bila kuleta madhara


nTAJITAHDI MPENDWA UJUMBE UMEFIKA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom