Mwalimu guevala
New Member
- Sep 7, 2017
- 4
- 0
Ukamtaje acheni ujinga we are a nation kamtaje policeMhusika anajulikana
"mtapata" akina nani hao?Unafikiri akifa mtapata faida gani zaidi ya laana.
Ulafi, Kutotaka kukosolewa, ubinafsi, sifa na tamaa za madaraka.Inasikitisha ila inahitaji tufikiri zaidi, kwanini tufike hapa.
tumeambiwa muhimbili mara hii ghafla anapelekwa nairobi tena...anyway tunamuombea ahueni naimani Mungu ataeka mkono wake
ushabikii kweli huwezi kuwa serious kwa hayo maneno yakokwasababu zake na faida yake binafsi ..et sababu tu ninguli washeria ,, wakati ndio maana nahisi hata hizi sheria zetu nizakipuuzi kabisaaaaa .
Tundu lissu ,angekua CHINA TAYARI ANGEKUA AMENYONGWA .NAHUO NDO UKWELI.
N.B SISHABIKII TUKIO LILOMPATA MAANA NJE YASIASA NIBABA ANAMKE NAWATOTO NANDUGU.