Mungu ibariki JFKila Ubaya utalipwa
Ukisoma upuuzi wako huu leo unajionaje? Wakati mwingine usikubali kuendeshwa na fikra za kinazi hadi zinakutoa kwenye utuAmekula kona sasa hivi anaishi Ubelgiji. Halafu kalenga kiwanja poa, kwasababu kwa michongo ya kujilipua kwenye nchi Ulaya, Ubelgiji ndo kiwanja oyaoya kilichobaki
HakikaLissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe .
Weeeee !!!Amekula kona sasa hivi anaishi Ubelgiji. Halafu kalenga kiwanja poa, kwasababu kwa michongo ya kujilipua kwenye nchi Ulaya, Ubelgiji ndo kiwanja oyaoya kilichobaki
Na tutawatwanga risasi za moto mpaka mjiharishie shwain nyie hamjui hili taifa limetoka wapi.Mungu ni mwema kila wakati, siku kama ya leo miaka 6 iliyopita, maharamia yalitumwa kumuua Tundu lakini kwa uwezo wa Mungu yalishindwa. Kila wakati Mungu ni mwema.
Sidhani kama kuna shwain kukuzidi wewe unayeishi kwa kutegemea damu za watu. Na sasa bwawa linakauka washenzi wakubwa nyie.Na tutawatwanga risasi za moto mpaka mjiharishie shwain nyie hamjui hili taifa limetoka wapi.
Inasikitisha sanaHow time flies my friends,
6 years later... lots of suspected perpetrators are nowhere on the face of the earth.... naturally.....
Yule muuaji alishangiliwa na kila mjinga wa Taifa hili, Hata wale tuliodhani watasimama na haki walisombwa na na mafuriko ya woga, teuzi au chukiNawashangaa sana wanaosema huyu mzee jpm alikuwa mzalendo au uzalendo ndio huu kumfyatulia mwenzako risasi?
Acheni Mungu aitwe MunguNawashangaa sana wanaosema huyu mzee jpm alikuwa mzalendo au uzalendo ndio huu kumfyatulia mwenzako risasi?
That was trueTunakuombea Kwa Mungu upone Mapema Mh.Tundu Lissu
Bila wewe Tanzania..tutaendelea kubakia Gizanii..
Roma alitoa Song baada ya hii akauliza Bunduki za nini? Kilichofuata ....mmmh sasa bastora ya nini tena
We Did and Our Almighty God Responded to Our Prayers.Tundu Lissu amemiminiwa risasi nyingi subiri mtasikia tu, jambo moja kuu ni kumuombea
Hii itabaki kwenye Rekodi za Dunia kwa miaka 1000 ijayo.Utaratibu wetu wa kibunge wa matibabu ambao ndiyo utaratibu wa Watanzania wote, baada ya mwenzetu kupata tatizo hili tulikuwa tumeshaagiza ndege kumpeleka Muhimbili,” amesema.
Amesema ingekuwa anatakiwa kusafirishwa nje, Serikali ina mkataba na Hospitali ya Apollo ya India na kwamba, Lissu amepelekwa Nairobi kwa sababu familia imeomba.