DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Tundu Lissu alikuwa na tabia ya kujikamatisha kwa polisi? Hebu tupe hata mfano mmoja tu unaoonyesha alijikamatisha kwa polisi, otherwise wewe utakuwa ni mpuuzi tu na itabidi nikupuuze!
 
Siku Tundu Lisu aliyopigwa risasi ndiyo siku ambayo Serikali yetu pmj na Bunge lote kwa maana ya Spika na kamati yake walikuwa Ikulu Dar kupokea ripoti iliyohusu Madini yetu (Almasi, Tanzanite &Co.), hivyo masikio na macho ya Watanzania wote yalikuwa Ikulu na (kwa kawaida) Serikali yetu ilitaka iwe hivyo, lkn baada ya Tundu Lisu kupigwa risasi kila kitu kilibadilika hkn aliyesikiliza wala kujadili tena kilichoendelea Ikulu, sasa swali langu kama Serikali yetu ilihusika ni kwa nini wachague siku hiyo ambayo walitaka attention ya nchi nzima hasa kwenye hii ripoti?

Hapa ndipo wasi wasi wangu ulipo, hivyo theory/hypothesis yangu mimi ni hii, aidha waliompiga Tundu lisu risasi ni watu wa Serikali ambao walitaka kuihujumu Serikali yetu, au ni chadema au sehemu ya chadema ambao walitaka kuondoa publicity ambayo Raisi Magufuli angeipata lkn mipango yao ilivurugika na kwamba walishindwa kupanga vizuri labda walitaka kulipiga risasi gari la Tundu Lisu kama assassination attempt lkn kwa bahati mbaya hitman wao alichemka, ikumbukwe hii siyo mara ya kwanza Tundu Lisu amekuwa na tabia ya kukamatwa/kujikamatisha na Askari wetu wkt tukio fulani ambalo lingeipaisha Serikali yetu lingetokea, hapo ndipo alipoitibua Serikali ili kuhamisha mjadala.

Na siku zote Tundu Lisu alipokinukisha kwa makusudi wa kwanza kuongea huwa ni Zito Kabwe, kulaani na kwenda Mahakamani hata hili la kupigwa risasi halikuwa tofauti!

Upinzani wamekuwa na hii tabia hata Zito Kabwe alikimbia na kumwambia dereva wake aseme anatafutwa na Askari wetu akaibukia Uingereza akipiga picha na Muzungu alivyorudi akagoma kutoka Bungeni akasema anaogopa kukamatwa, najaribu tu kuunganisha matukio, kuna mengi ambayo hatuyajui na nina uhakika ndani ya chadema, upinzani na hata labda sehemu ya CCM kuna fraction ya watu wanaohusika, lkn siyo Serikali yetu, hilo haliingii akilini!

Hata kulipuliwa kwa ofisi za Immmmma, pia kulizima tuliokuwa tunayajadili, ilianza na Tundu lisu kukinukisha khs kukamatwa kwa ndege, F.Karume akaandamana, ikaja bavicha kufanya kikao kusema kuna Mtanzania anataka kumuua Tundu Lisu, ikaja kulipuliwa kwa Ofisi za immmmma, na baadaye Tundu Lisu kupigwa risasi, hivyo siamini kama hii ni bahati mbaya, ...
Ni Bashite, wewe ndiye bshite ni wewe
 
Hivi kweli kama waliompiga risasi Lisu ni chadema wenzie mpaka leo wasingekamatwa?!!!.. Ndani ye eneo la mawaziri kuna ulinzi masaa 24 milio ya risasi 38 isisikike kweli?!!!.. Kwanini itumike Nissan nyeupe?!!!..
 
Siku Tundu Lisu aliyopigwa risasi ndiyo siku ambayo Serikali yetu pmj na Bunge lote kwa maana ya Spika na kamati yake walikuwa Ikulu Dar kupokea ripoti iliyohusu Madini yetu (Almasi, Tanzanite &Co.), hivyo masikio na macho ya Watanzania wote yalikuwa Ikulu na (kwa kawaida) Serikali yetu ilitaka iwe hivyo, lkn baada ya Tundu Lisu kupigwa risasi kila kitu kilibadilika hkn aliyesikiliza wala kujadili tena kilichoendelea Ikulu, sasa swali langu kama Serikali yetu ilihusika ni kwa nini wachague siku hiyo ambayo walitaka attention ya nchi nzima hasa kwenye hii ripoti?

Hapa ndipo wasi wasi wangu ulipo, hivyo theory/hypothesis yangu mimi ni hii, aidha waliompiga Tundu lisu risasi ni watu wa Serikali ambao walitaka kuihujumu Serikali yetu, au ni chadema au sehemu ya chadema ambao walitaka kuondoa publicity ambayo Raisi Magufuli angeipata lkn mipango yao ilivurugika na kwamba walishindwa kupanga vizuri labda walitaka kulipiga risasi gari la Tundu Lisu kama assassination attempt lkn kwa bahati mbaya hitman wao alichemka, ikumbukwe hii siyo mara ya kwanza Tundu Lisu amekuwa na tabia ya kukamatwa/kujikamatisha na Askari wetu wkt tukio fulani ambalo lingeipaisha Serikali yetu lingetokea, hapo ndipo alipoitibua Serikali ili kuhamisha mjadala.

Na siku zote Tundu Lisu alipokinukisha kwa makusudi wa kwanza kuongea huwa ni Zito Kabwe, kulaani na kwenda Mahakamani hata hili la kupigwa risasi halikuwa tofauti!

Upinzani wamekuwa na hii tabia hata Zito Kabwe alikimbia na kumwambia dereva wake aseme anatafutwa na Askari wetu akaibukia Uingereza akipiga picha na Muzungu alivyorudi akagoma kutoka Bungeni akasema anaogopa kukamatwa, najaribu tu kuunganisha matukio, kuna mengi ambayo hatuyajui na nina uhakika ndani ya chadema, upinzani na hata labda sehemu ya CCM kuna fraction ya watu wanaohusika, lkn siyo Serikali yetu, hilo haliingii akilini!

Hata kulipuliwa kwa ofisi za Immmmma, pia kulizima tuliokuwa tunayajadili, ilianza na Tundu lisu kukinukisha khs kukamatwa kwa ndege, F.Karume akaandamana, ikaja bavicha kufanya kikao kusema kuna Mtanzania anataka kumuua Tundu Lisu, ikaja kulipuliwa kwa Ofisi za immmmma, na baadaye Tundu Lisu kupigwa risasi, hivyo siamini kama hii ni bahati mbaya, ...
Sababu ripoti ya bunge kwa Mara ya kwanza ilipokelewa nje ya bunge, DAB alikua Dom Ku supervise mambo
 
Mtoa mada hembu jiulize, yule jamaa kimbelembele asiekosekana kwenye hafla za Rais pale Ikulu, kwa mara ya kwanza siku ile hakuwepo, alikuwa wapi? Je, huoni kuwa inawezekana serikali ilipanga shambulio hilo siku ya hafla hiyo ili kulifunika, lakini mambo yaka backfire?
 
Siku ya tukio Lissu ulikuwa ameshaanza kazi kwanza Alianza kuuliza kwani ripoti imeenda kwa raisi kabla ya kupita mbungeni, Pia Lissu anajua sana kuhusu mambo ya madini angekosoa sana , walizani wakiziba Lissu mdomo watu wakomalia Ripoti ya madini, kumbe upepo ukahamia kwake Naukifatilia sana Lissu ulikuwa ameshasema watu wanaomfatilia sana ,Naamini wanaweza kupona nakusema tena ile ripoti ulikuwa rabbish maana anaulewa mkubwa sana wa hizi issue MTU aliyekwambia eti wakati anaongia madarakani sukari ilikuwa 5000 unaweza kumuani kweli , Time will tell
 
Hivi kweli kama waliompiga risasi Lisu ni chadema wenzie mpaka leo wasingekamatwa?!!!.. Ndani ye eneo la mawaziri kuna ulinzi masaa 24 milio ya risasi 38 isisikike kweli?!!!.. Kwanini itumike Nissan nyeupe?!!!..
kwa kuongezea Chadema wanataka uchunguzi huru,ccm hawataki uchunguzi huru nini jibu lake hapo?
 
Siku ya tukio Lissu ulikuwa ameshaanza kazi kwanza Alianza kuuliza kwani ripoti imeenda kwa raisi kabla ya kupita mbungeni, Pia Lissu anajua sana kuhusu mambo ya madini angekosoa sana , walizani wakiziba Lissu mdomo watu wakomalia Ripoti ya madini, kumbe upepo ukahamia kwake Naukifatilia sana Lissu ulikuwa ameshasema watu wanaomfatilia sana ,Naamini wanaweza kupona nakusema tena ile ripoti ulikuwa rabbish maana anaulewa mkubwa sana wa hizi issue MTU aliyekwambia eti wakati anaongia madarakani sukari ilikuwa 5000 unaweza kumuani kweli , Time will tell
Jamaa naona kichwa yake ni empty,raisi wa kuwait sadam hussein
 
Siku Tundu Lisu aliyopigwa risasi ndiyo siku ambayo Serikali yetu pmj na Bunge lote kwa maana ya Spika na kamati yake walikuwa Ikulu Dar kupokea ripoti iliyohusu Madini yetu (Almasi, Tanzanite &Co.), hivyo masikio na macho ya Watanzania wote yalikuwa Ikulu na (kwa kawaida) Serikali yetu ilitaka iwe hivyo, lkn baada ya Tundu Lisu kupigwa risasi kila kitu kilibadilika hkn aliyesikiliza wala kujadili tena kilichoendelea Ikulu, sasa swali langu kama Serikali yetu ilihusika ni kwa nini wachague siku hiyo ambayo walitaka attention ya nchi nzima hasa kwenye hii ripoti?

Hapa ndipo wasi wasi wangu ulipo, hivyo theory/hypothesis yangu mimi ni hii, aidha waliompiga Tundu lisu risasi ni watu wa Serikali ambao walitaka kuihujumu Serikali yetu, au ni chadema au sehemu ya chadema ambao walitaka kuondoa publicity ambayo Raisi Magufuli angeipata lkn mipango yao ilivurugika na kwamba walishindwa kupanga vizuri labda walitaka kulipiga risasi gari la Tundu Lisu kama assassination attempt lkn kwa bahati mbaya hitman wao alichemka, ikumbukwe hii siyo mara ya kwanza Tundu Lisu amekuwa na tabia ya kukamatwa/kujikamatisha na Askari wetu wkt tukio fulani ambalo lingeipaisha Serikali yetu lingetokea, hapo ndipo alipoitibua Serikali ili kuhamisha mjadala.

Na siku zote Tundu Lisu alipokinukisha kwa makusudi wa kwanza kuongea huwa ni Zito Kabwe, kulaani na kwenda Mahakamani hata hili la kupigwa risasi halikuwa tofauti!

Upinzani wamekuwa na hii tabia hata Zito Kabwe alikimbia na kumwambia dereva wake aseme anatafutwa na Askari wetu akaibukia Uingereza akipiga picha na Muzungu alivyorudi akagoma kutoka Bungeni akasema anaogopa kukamatwa, najaribu tu kuunganisha matukio, kuna mengi ambayo hatuyajui na nina uhakika ndani ya chadema, upinzani na hata labda sehemu ya CCM kuna fraction ya watu wanaohusika, lkn siyo Serikali yetu, hilo haliingii akilini!

Hata kulipuliwa kwa ofisi za Immmmma, pia kulizima tuliokuwa tunayajadili, ilianza na Tundu lisu kukinukisha khs kukamatwa kwa ndege, F.Karume akaandamana, ikaja bavicha kufanya kikao kusema kuna Mtanzania anataka kumuua Tundu Lisu, ikaja kulipuliwa kwa Ofisi za immmmma, na baadaye Tundu Lisu kupigwa risasi, hivyo siamini kama hii ni bahati mbaya, ...


Yaani niache kulala nisikilize utumbo wa makininikia si bora nikapige puli kuliko kusikiliza utumbo
 
Kila mtu angekuwa na mawazo km yangu thread km hizi zisingepata comment yoyote kwa mwaka mzima. Nmekoment maana nmekuta mmeshacoment
 
Siku Tundu Lisu aliyopigwa risasi ndiyo siku ambayo Serikali yetu pmj na Bunge lote kwa maana ya Spika na kamati yake walikuwa Ikulu Dar kupokea ripoti iliyohusu Madini yetu (Almasi, Tanzanite &Co.), hivyo masikio na macho ya Watanzania wote yalikuwa Ikulu na (kwa kawaida) Serikali yetu ilitaka iwe hivyo, lkn baada ya Tundu Lisu kupigwa risasi kila kitu kilibadilika hkn aliyesikiliza wala kujadili tena kilichoendelea Ikulu, sasa swali langu kama Serikali yetu ilihusika ni kwa nini wachague siku hiyo ambayo walitaka attention ya nchi nzima hasa kwenye hii ripoti?

Hapa ndipo wasi wasi wangu ulipo, hivyo theory/hypothesis yangu mimi ni hii, aidha waliompiga Tundu lisu risasi ni watu wa Serikali ambao walitaka kuihujumu Serikali yetu, au ni chadema au sehemu ya chadema ambao walitaka kuondoa publicity ambayo Raisi Magufuli angeipata lkn mipango yao ilivurugika na kwamba walishindwa kupanga vizuri labda walitaka kulipiga risasi gari la Tundu Lisu kama assassination attempt lkn kwa bahati mbaya hitman wao alichemka, ikumbukwe hii siyo mara ya kwanza Tundu Lisu amekuwa na tabia ya kukamatwa/kujikamatisha na Askari wetu wkt tukio fulani ambalo lingeipaisha Serikali yetu lingetokea, hapo ndipo alipoitibua Serikali ili kuhamisha mjadala.

Na siku zote Tundu Lisu alipokinukisha kwa makusudi wa kwanza kuongea huwa ni Zito Kabwe, kulaani na kwenda Mahakamani hata hili la kupigwa risasi halikuwa tofauti!

Upinzani wamekuwa na hii tabia hata Zito Kabwe alikimbia na kumwambia dereva wake aseme anatafutwa na Askari wetu akaibukia Uingereza akipiga picha na Muzungu alivyorudi akagoma kutoka Bungeni akasema anaogopa kukamatwa, najaribu tu kuunganisha matukio, kuna mengi ambayo hatuyajui na nina uhakika ndani ya chadema, upinzani na hata labda sehemu ya CCM kuna fraction ya watu wanaohusika, lkn siyo Serikali yetu, hilo haliingii akilini!

Hata kulipuliwa kwa ofisi za Immmmma, pia kulizima tuliokuwa tunayajadili, ilianza na Tundu lisu kukinukisha khs kukamatwa kwa ndege, F.Karume akaandamana, ikaja bavicha kufanya kikao kusema kuna Mtanzania anataka kumuua Tundu Lisu, ikaja kulipuliwa kwa Ofisi za immmmma, na baadaye Tundu Lisu kupigwa risasi, hivyo siamini kama hii ni bahati mbaya, ...
Swali la kujiuliza kwanini hadi leo hakuna taarifa ya kukamatwa kwa mtu anaeshukiwa suala hili, swali la kujiuliza kwanini CCM wanapinga uchunguzi huru kutoka nnje? Jambo la kuzingatia, wale wanao ituhumu serekali au CCM hawamaanishi serekali mzima, au CCM mzima. Bali ni kajikundi kadogo tu ndani ya serekali, au ndani ya CCM, ila ni wale wenye nguvu.
 
Wala Nyama wote wana sifa moja, nayo ni Ukatili, huwezi kukuta tunaokula Mboga za majani tukiuwa au kufanya ukatili wowote ule, hivyo laana ya kuchinja, kunywa Damu ya kiumbe inawaandama, mpaka muokoke na kuacha ukatili wa kuchinja Wanyama na kuwaning'iniza kwenye Mabucha bila ya huruma, laana ya kuuwana na kuchinjana bila huruma itabakia nanyi!

Acha kuuwa Wanyama na anza kula mboga ili kuondoa Ukatili Duniani!

Pinga Ukatili dhidi ya Wanyama!
 
Semeni yote lakini hamuchomoki kwa hili mliolifanya.

Mungu hadhihakiwi
 
Biblia inaruhusu ulaji wa nyama na wala hakuna laana iwayo yoyote itakayomkumba mlaji.

Labda utwambie ni Mungu yupi huyo wa kwako!
 
Wala Nyama wote wana sifa moja, nayo ni Ukatili, huwezi kukuta tunaokula Mboga za majani tukiuwa au kufanya ukatili wowote ule, hivyo laana ya kuchinja, kunywa Damu ya kiumbe inawaandama, mpaka muokoke na kuacha ukatili wa kuchinja Wanyama na kuwaning'iniza kwenye Mabucha bila ya huruma, laana ya kuuwana na kuchinjana bila huruma itabakia nanyi!

Acha kuuwa Wanyama na anza kula mboga ili kuondoa Ukatili Duniani!
Una akili kama chakubanga aka polepole.
Kachukue buku saba zako
 
Back
Top Bottom