Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Safi.Wamedhihirisha uadilifu na uaminifu
Safi.Wamedhihirisha uadilifu na uaminifu
Nje ya madaWewe siku usipoitaja chadema kwa masaa 24 unaweza kuwa chizi aisee yani we ni CCM lakini muda wote ni chadema hivi chadema vile.
Hivi katika yote ya kujadili kuna kitu gani cha kujadili toka kwako mkuu? We lete nyimbo mpy za kumsifu mtukufu raisi hapa basi
Ila mwambie zile milion 50 kwa kila kijiji zimeyeyukoa wapi? Pia mwambie nyumba za serikali alizopiga mnada kwa bei cheee zinarudishwa lini! Kivuko je? Au ukikipeleka jeshini.ndo basi? Kisha twambie haya yanainufaisha vipi ccm
Jielekeze kwenye hoja....inahusu manufaa/hasara za madhila ya Lissu kwa Chadema.Wakati magufuli ananufaika na Rambirambi za waanga wa tetemeko mwana Ccm kama wewe ulinufaika na nini?
Na je gambo alivopiga za wanafunzi wewe ulipata mgao gani?
Mtatapatapa Baada ya kusomewa Albadirl.
Uchambuzi mzuri.Limewanufaisha lkn ni Viongozi (baadhi) na siyo chadema kama Chama, Mbowe kanufaika, Nyalundu kanufaika, Msigwa ingawaje yupo Lupango lkn kanufaika kuonyeshwa kwenye TV abroad, Mashinji ambaye ndiye evilman na mastermind wa game yote kanufaika, waliopoteza ni Mke wa Tundu Lisu na Familia yake kwa ujumla!
nje ya madaWaraka wa Yohana 3:35 inasema amchukiaye nduguye ni muuwaji. Ujinga wako wa kujadili upuzi peleka huko
nje ya madaMmeshindwa kumuua na sasa mnakuja na vihoroja vingine hapa..
Huna kazi nyingine ya kufanya? Na bado CCM watakulipa kwa utumbo huu?nje ya mada
Je kuhusu bashite anatolewa marinda na Johanna kumenufaisha sana kisiasaAmani iwe kwenu wana JF!
Kutokana na mjadala mkubwa ulioibuka baada ya Tundu Lissu kujeruhiwa kwa risasi tarehe 7/9/2017 tumeshuhudia vituko,mijadala mingi kwenye mitandao ya kijami,Tv, Redio na Magazeti. Kuna baadhi ya wanasiasa waliutumia mwanya huo wa kujeruhiwa kwa Lissu ''kufufuka'' kisiasa.
Mjadala wa leo unataka kuangazia maoni ya wanajamvi ili kupata tathmini ya kina itakayotoa majibu halisi ni kiasi gani sakata la kujeruhiwa Tundu Lissu limeinufaisha Chadema na viongozi wake au ni kwa kiasi gani sakata hili limewadharaulisha katika jamii ya watanzania. Kwa kuchokoza mada nitatupia maeneo machache ambayo yanaweza kutumika kama vigezo katika mada hii.
Kwa kuzingatia kwamba JF ni jukwaa huru ninakaribisha pia vigezo vingine na mjadala mzito zaidi katika vigezo nilivyoweka hapo juu.
- Ni kiasi gani Chadema na baadhi ya viongozi wamenufaika na hela za michango ya wasamaria? au michango ilikuwa hafifu?
- Je ni kwa kiasi ganiwamepata huruma ya wananchi? au ni kiasi gani wananchi wamewapuuza?
- Je dhamira yao kuichafua Tanzania katika anga za kimataifa imefanikiwa? au wameshindwa?
Hoja hujibiwa kwa hoja na so viroja.
Wakudadavua subiri matusi, kiukweli tukio la kujeruhiwa Tundu Lissu limewadhalaurisha Sana.Amani iwe kwenu wana JF!
Kutokana na mjadala mkubwa ulioibuka baada ya Tundu Lissu kujeruhiwa kwa risasi tarehe 7/9/2017 tumeshuhudia vituko,mijadala mingi kwenye mitandao ya kijami,Tv, Redio na Magazeti. Kuna baadhi ya wanasiasa waliutumia mwanya huo wa kujeruhiwa kwa Lissu ''kufufuka'' kisiasa.
Mjadala wa leo unataka kuangazia maoni ya wanajamvi ili kupata tathmini ya kina itakayotoa majibu halisi ni kiasi gani sakata la kujeruhiwa Tundu Lissu limeinufaisha Chadema na viongozi wake au ni kwa kiasi gani sakata hili limewadharaulisha katika jamii ya watanzania. Kwa kuchokoza mada nitatupia maeneo machache ambayo yanaweza kutumika kama vigezo katika mada hii.
Kwa kuzingatia kwamba JF ni jukwaa huru ninakaribisha pia vigezo vingine na mjadala mzito zaidi katika vigezo nilivyoweka hapo juu.
- Ni kiasi gani Chadema na baadhi ya viongozi wamenufaika na hela za michango ya wasamaria? au michango ilikuwa hafifu?
- Je ni kwa kiasi ganiwamepata huruma ya wananchi? au ni kiasi gani wananchi wamewapuuza?
- Je dhamira yao kuichafua Tanzania katika anga za kimataifa imefanikiwa? au wameshindwa?
Hoja hujibiwa kwa hoja na so viroja.
UnalemewaUpo nje ya mada.
Siku Tundu Lisu aliyopigwa risasi ndiyo siku ambayo Serikali yetu pmj na Bunge lote walikuwa Ikulu Dar kupokea ripoti ya iliyohusu Madini yetu (Almasi, Tanzanite &Co.), hivyo masikio na macho ya Watanzania wote yalikuwa Ikulu na (kwa kawaida) Serikali yetu ilitaka iwe hivyo, lkn baada ya Tundu Lisu kupigwa risasi kila kitu kilibadilika hkn aliyesikiliza wala kujadili tena kilichoendelea Ikulu, sasa swali langu kama Serikali yetu ilihusika ni kwa nini wachague siku hiyo ambayo walitaka attention ya nchi nzima hasa kwenye hii ripoti?
Hapa ndipo wasi wasi wangu ulipo, hivyo theory/hypothesis yangu mimi ni hii, aidha waliompiga Tundu lisu risasi ni watu wa Serikali ambao walitaka kuihujumu Serikali yetu, au ni chadema au sehemu ya chadema ambao walitaka kuondoa publicity ambayo Raisi magudfuli angeipata, ikumbukwe hii siyo mara ya kwanza Tundu Lisu amakuwa na tabia ya kukamatwa na Askari wetu wkt tukio fulani mabalo lingeipaisha Serikali yetu lingetokea, hapo ndipo alipoitibua Serikali ili kuhamisha mjadala.
Hata kulipuliwa kwa osifi za Immmmma, pia kulizima tuliokuwa tunayajadili, ...
Albadir hiyo, ndo wanaweweseka. Taratiiibu watatajana tu na karibia watasema kwanini mtu fulani huwa hakosekani kwenye matukio ya ripoti lakini siku hiyo hakuwepo.Tutaona Mengi awamu hii. Ila tukumbuke wote tutakufa