DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Naona Albadili imeshaanza kufanya kazi waliohusika mnaanza kujitokeza wenyewe ni nani mwenye uwezo kumpiga risasi mtu mbele makazi ya viongozi waandamizi wa serikali akaondoka salama?
 
Wala Nyama wote wana sifa moja, nayo ni Ukatili, huwezi kukuta tunaokula Mboga za majani tukiuwa au kufanya ukatili wowote ule, hivyo laana ya kuchinja, kunywa Damu ya kiumbe inawaandama, mpaka muokoke na kuacha ukatili wa kuchinja Wanyama na kuwaning'iniza kwenye Mabucha bila ya huruma, laana ya kuuwana na kuchinjana bila huruma itabakia nanyi!

Acha kuuwa Wanyama na anza kula mboga ili kuondoa Ukatili Duniani!
Wenye ID hizi Barbarosa GENTAMYCINE yeriko Nyerere Deo Kisandu utafikiria ni mtu mmoja. Wote uwakilishaji wao wa mawazo ni kama wako dakika ''moja mbele''!
 
Wala Nyama wote wana sifa moja, nayo ni Ukatili, huwezi kukuta tunaokula Mboga za majani tukiuwa au kufanya ukatili wowote ule, hivyo laana ya kuchinja, kunywa Damu ya kiumbe inawaandama, mpaka muokoke na kuacha ukatili wa kuchinja Wanyama na kuwaning'iniza kwenye Mabucha bila ya huruma, laana ya kuuwana na kuchinjana bila huruma itabakia nanyi!

Acha kuuwa Wanyama na anza kula mboga ili kuondoa Ukatili Duniani!

Pinga Ukatili dhidi ya Wanyama!
Ngoja nikuambie humu ndani mina thread yako inasema lissu atauwawa.wewe unausika na mauaji ya lissu trust me.


Swissme
 
Wala Nyama wote wana sifa moja, nayo ni Ukatili, huwezi kukuta tunaokula Mboga za majani tukiuwa au kufanya ukatili wowote ule, hivyo laana ya kuchinja, kunywa Damu ya kiumbe inawaandama, mpaka muokoke na kuacha ukatili wa kuchinja Wanyama na kuwaning'iniza kwenye Mabucha bila ya huruma, laana ya kuuwana na kuchinjana bila huruma itabakia nanyi!

Acha kuuwa Wanyama na anza kula mboga ili kuondoa Ukatili Duniani!

Pinga Ukatili dhidi ya Wanyama!
Kazi ya albadir hiyo!
 
Back
Top Bottom