Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,115
Mnafukua makaburi tu
Dah kweli aisee it is Thursday and it was ThursdaySiku ya alhamisi bado inatenda miujiza
Acheni ndoto za alinacha. Uchochezi usiokuwa na tija. Tujaribu kuwa wazalendo. Watanzania hatuna tabia hiyo PERIOD!! tungoje vyombo vyetu vituhabarishe sio kurukia treni kwa mbele.Dah kweli aisee it is Thursday and it was Thursday
Whatever. You should get well soon from your comma!Get Well Soon
Nilimwambia jamaa Fulani akanipuuza, just see , it is Thursday againDah kweli aisee it is Thursday and it was Thursday
Ni No au MoNo naye katekwa tena
Dah kweli aisee it is Thursday and it was Thursday
Punguani youAcheni ndoto za alinacha. Uchochezi usiokuwa na tija. Tujaribu kuwa wazalendo. Watanzania hatuna tabia hiyo PERIOD!! tungoje vyombo vyetu vituhabarishe sio kurukia treni kwa mbele.
Lini wamewahi kutuabarisha? Mawazo, Bensa8, Roma, Nape, Lisu, Azory, n.k? Wahusika hawawezi kujichunguza. Jiongeze mkuu.Acheni ndoto za alinacha. Uchochezi usiokuwa na tija. Tujaribu kuwa wazalendo. Watanzania hatuna tabia hiyo PERIOD!! tungoje vyombo vyetu vituhabarishe sio kurukia treni kwa mbele.
We na jicho lako utangoja siku yakikukutaAcheni ndoto za alinacha. Uchochezi usiokuwa na tija. Tujaribu kuwa wazalendo. Watanzania hatuna tabia hiyo PERIOD!! tungoje vyombo vyetu vituhabarishe sio kurukia treni kwa mbele.
Le mutuz ndiyo mratibu wa Tukio la Uvamizi wa Tundu Lisu ambapo Heri kisanduku alimtandika Risasi za kutosha lakini mpaka leo waziri jafo hajahojiwa ni kwa nini aling’oa cctvWe na jicho lako utangoja siku yakikukuta
Nilimwambia jamaa Fulani akanipuuza, just see , it is Thursday again
Yapi? Acha wanga wa mchana!We na jicho lako utangoja siku yakikukuta
You, punguani.Punguani you
Mwenye chuki binafsi, hangoji sababuLe mutuz ndiyo mratibu wa Tukio la Uvamizi wa Tundu Lisu ambapo Heri kisanduku alimtandika Risasi za kutosha lakini mpaka leo waziri jafo hajahojiwa ni kwa nini aling’oa cctv