Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Unayo hapo?Katiba iliyopo ina tatizo gani?
Ngoswe akazama penzini kwa mtoto mazoea baba mkwe mzee mitomingi akamua kuchoma nyara za serikali.Sensa!!!!!!
Nimemkumbuka Mazoea wa Ngoswe😃😃😃
hahahahahahaWaislamu vipi mwaka huu? Tutahesabiwa au tunagoma tena?
Haa Una NongwaWaislamu vipi mwaka huu? Tutahesabiwa au tunagoma tena?
Mwambieni awe anavaa nguo za kubana kule juu anakuwa kama tembo😂😂😂Wewe una mvuto wa nini?
Na ninamuombea huyu bibi afeli hata kama ni kufa iwe kesho kutwa,uwezi kumuweka Mbowe gerezani kwa kuwa tu anadai katibaUhamasishaji utakuja kuwa mgumu kama walivyofell kwenye chanjo
Siyo poa.Mwambieni awe anavaa nguo za kubana kule juu anakuwa kama tembo😂😂😂
Yule Sheikh wa CCM Dar anasemaje kuhusu hili?Waislamu vipi mwaka huu? Tutahesabiwa au tunagoma tena?
Wewe huko chini uko kama fisi!!Mwambieni awe anavaa nguo za kubana kule juu anakuwa kama tembo😂😂😂
Kwani hiyo sensa ni ya kuhesabu watu au nguo?.Mwambieni awe anavaa nguo za kubana kule juu anakuwa kama tembo
Sensa ni muhimu kwani inasaidia serikali kupanga maendeleo kutokana na idadi ya watu. Hata kama hakuna hela mikopo unaweza kupatikana ili zoezi kifanyike.Fedha ya sensa iko ila inapotakiwa ya kujengea madarasa, vituo vya afya inabidi twende kwa wananchi tuwakamue kupitia t.ozo. Kama taifa sijui vipaumbele vyetu ni nini? Tulichoma mabillioni ya shilingi kuendesha mchakato wa Katiba mpya ukafia njiani.
Bora tungepiga kura kujua mitazamo ya watanzania kuhusu serikali hii inavyo jiendesha.
Hawa watu hata haya hawana. Wanasema kuna corona na wanapiga marufuku mikusanyiko huku wenyewe wakiendelea kukusanya watu bila ulazima wowote. Hivi angekaa kwenye tv na kutoa hotuba yake huku luninga na online media zote zikionyesha asingesikika?Tukio liko mubashara ITV, TBC na Channel ten
Rais Samia anazindua zoezi la uelimishaji na uhamasishaji wa sensa ya watu na makazi 2022 katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
=====
View attachment 1937255
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema bila kuwa na hesabu au takwimu sahihi, haiwezekani kugawa rasilimali na kutoa huduma kwa Haki na uwiano
Amesema hayo leo Jijini Dodoma katika uzinduzi wa Mkakati wa Uelishaji na Uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022
Amesema, "Huwezi kushughulikia changamoto ya Ajira endapo hujui watu wasio na Ajira. Huwezi kupelekea huduma na kushughulikia matatizo ya watu wenye mahitaji maalum kama Wazee na wenye Ulemavu"
Rais ametoa wito kwa Watanzania wote kujiandaa kuhesabiwa zoezi la Sensa litakapoanza akisema, ili mchakato huo uweze kukidhi mahitaji ya kufanikisha malengo ni lazima watu wote washirikishwe
Kuhusu hoja za kwanini Tanzania iingie kwenye zoezi hilo na kutumia fedha zilizopangwa amesema "Nimekuwa nikiona hoja hizo zikipita na kuulizwa. Sababu ni kwamba kama tunaweza kufanya wenyewe na kupata idadi yetu kwanini tutumie idadi inayotolewa na Vyombo vingine vya Kimataifa?"
Pia amesema zoezi hilo likifanyika taarifa za majengo, nyumba na hesabu ya watu katika kila Kitongoji