Dodoma: Rais Samia anazindua Mkakati wa Uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi 2022

Nchi inahitaji pesa kwa ajili ya mambo mengi muhimu, sensa siyo ya muhimu sana kwa sasa.
Lakini pia inawezekana kutrack idadi ya watu kwa ufanisi bila kulazimika kufanya zoezi ghali la sensa kila baada ya muda fulani
Viongozi wa vitongoji, Clinic etc wanatosha kuripoti watu wapya
 
Fedha ya sensa iko ila inapotakiwa ya kujengea madarasa, vituo vya afya inabidi twende kwa wananchi tuwakamue kupitia t.ozo. Kama taifa sijui vipaumbele vyetu ni nini? Tulichoma mabillioni ya shilingi kuendesha mchakato wa Katiba mpya ukafia njiani.

Bora tungepiga kura kujua mitazamo ya watanzania kuhusu serikali hii inavyo jiendesha.
 
Fedha ya sensa iko ila inapotakiwa ya kujengea madarasa, vituo vya afya inabidi twende kwa wananchi tuwakamue kupitia t.ozo. Kama taifa sijui vipaumbele vyetu ni nini? Tulichoma mabillioni ya shilingi kuendesha mchakato wa Katiba mpya ukafia njiani.

Bora tungepiga kura kujua mitazamo ya watanzania kuhusu serikali hii inavyo jiendesha.
Sensa ni muhimu kwani inasaidia serikali kupanga maendeleo kutokana na idadi ya watu. Hata kama hakuna hela mikopo unaweza kupatikana ili zoezi kifanyike.
 
Tukio liko mubashara ITV, TBC na Channel ten

Rais Samia anazindua zoezi la uelimishaji na uhamasishaji wa sensa ya watu na makazi 2022 katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.

=====

View attachment 1937255

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema bila kuwa na hesabu au takwimu sahihi, haiwezekani kugawa rasilimali na kutoa huduma kwa Haki na uwiano

Amesema hayo leo Jijini Dodoma katika uzinduzi wa Mkakati wa Uelishaji na Uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022

Amesema, "Huwezi kushughulikia changamoto ya Ajira endapo hujui watu wasio na Ajira. Huwezi kupelekea huduma na kushughulikia matatizo ya watu wenye mahitaji maalum kama Wazee na wenye Ulemavu"

Rais ametoa wito kwa Watanzania wote kujiandaa kuhesabiwa zoezi la Sensa litakapoanza akisema, ili mchakato huo uweze kukidhi mahitaji ya kufanikisha malengo ni lazima watu wote washirikishwe

Kuhusu hoja za kwanini Tanzania iingie kwenye zoezi hilo na kutumia fedha zilizopangwa amesema "Nimekuwa nikiona hoja hizo zikipita na kuulizwa. Sababu ni kwamba kama tunaweza kufanya wenyewe na kupata idadi yetu kwanini tutumie idadi inayotolewa na Vyombo vingine vya Kimataifa?"

Pia amesema zoezi hilo likifanyika taarifa za majengo, nyumba na hesabu ya watu katika kila Kitongoji
Hawa watu hata haya hawana. Wanasema kuna corona na wanapiga marufuku mikusanyiko huku wenyewe wakiendelea kukusanya watu bila ulazima wowote. Hivi angekaa kwenye tv na kutoa hotuba yake huku luninga na online media zote zikionyesha asingesikika?
 
Back
Top Bottom