Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Sio hongo, mimi bado ni Rais, natangaza tenda ya barabara za mjini Itigi KM 10

Ndo maana tunataka tumpate kiongozi Mpya abadilishe huu uchafu katiba ya zamani,tupate katiba Mpya, sa hizi ilitakiwa madaraka yakabidhiwe judge mkuu,ye aombe kura Mpya..
 
Akitoa pesa kwa Tume na kusema , Mpango uko wapi, peleka pesa tume haraka Kaijage anataka kuchapisha karatasi za kura.


Bado chadema watasema Rushwa wakati ni utekelezaji wa bajeti waliyokimbia kuipitisha
Ndiyo hayo tunayoyakataa ... Nchi haitakiwi kuendeshwa kama familia. Bajeti ikishapitishwa kila fungu linajulika linakwenda wapi na lufanya nini. Siyo hii ya mpaka fulani atambelee ndiyo pesa ipelekwe. Sasa kule kwetu Koromije ambako hakupita inakuwaje?
 
Hi nidalili tosha kabsa kuwa mjomba amepoteza dira na anahofu kubwa Sana juu ya oct28.Nikwel anakofia2 lakini je nisawa kufanyia maamuz kwenye hadhara yawatu?

Kipindi cha kampeni...huwa anasema anajfunza kwawatangulz wake.....Je kunamtangulizi wake ata mmoja Alisha wahi fanya iv........?;Ivi angefanya ayo maamuzi kimyakimya kuwajulsha wasaidz wake wafanye alaka kutangaza tenda Asinge sikilizwa?

Kuna haja gani yakuwa nakiongoz ambae watendaji wake hawawez kazi paka yeye afike. Amesema bajeti ilikuwa yakm8 ila Sasa ameongeza adi km10. Je, izi2 bajeti yake ilikaa bunge gani?;Mwenye majbu anisaidie maana me mgen uku,Tafadhali matusi staki Kama unajbu pta iv
 
😂😂😂😂

Mzee Hadi tarh 28 atakuwa ameahidi kujenga barabara za nchi nzima kwa kwa kiwango cha Lami, yasije yakamshinda akaanza kunyang'anya Wafanyabiashara hela zao
 
Safi bajeti ya mwaka huu hiyo inatekelezwa

Hujaona huo ni mkutano wa kampeni? Kwani waziri angetoa tenda bila kutajwa na mgombea katika jukwaa la kampeni isingejengwa??

Kwa mtazamo huu unaweza kuona ni sawa kwa Rais kutumia rasilimali za nchi badala ya CCM katika kampeni eti kwa kuwa bado ni Rais. Halafu ukaita hiyo level playing field na akina Lipumba Rungwe.

Tuna safari ndefu sana bado!!
 
Akiwa Itigi rais Magufuli ilibidi aache kampeni kidogo na kutoa elimu ya uraia kuhusu mambo kadhaa hasa hasa suala nyeti la "serikali ya majimbo " iloyopendekezwa na mgombea wa Chadema.

Baada ya dk 3 ya elimu hiyo wananchi wengi walishindwa kujizuia kutokwa na machozi yafuraha baada ya kufahamu ukweli.

Watu kadhaa niliofanikiwa kuongea nao walisema hawawezi kufanya makosa tarehe 28 kwa vizazi vyao vijavyo.
 
J
Jiwe tangu lini likasikia
 
Reactions: BAK
kwadalili hizi huenda kesho au keshokutwa mshahara wa wafanyakazi ukaongezwa maradufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…