Magu anaweza Fanya chochote na wale makada wa tume wasifanye chochoteDuu, halafu kaijage kimya
Anyway; wacha raia wafaidi ingawa ni pigo kwa ambao hawajashika dolaView attachment 1577338
Mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. Magufuli
Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni na leo yuko Itigi mkoani Singida.
View attachment 1577339
Magufuli akiwa na Mwigulu na wanaCCM wakiserebuka
Akiwa huko akaongelea uzuri wa nyumba za Singida na kusikitika zinavyopigwa vumbi ndipo ghafla akaitwa meneja wa Tanroad mkoa wa Singida mbele ya hadhara ya kampeni.
Mazungumzo yao yalikuwa hivi.
=======
Dkt Magufuli: Ahadi yangu ya mjini ilikuwa kilomita 8 sasa ntatengeneza 10 pamoja na hii barabara niliyokuja nayo, nasema kwa dhati, sisemi kwa sababu ya kura. Nasema kwa sababu hii ni haki yenu.
Huu mji umependeza sana, mmejenga nyumba nzuri sana. Haiwezekani nyumba nzuri nzuri ziwe zinaendelea kupigwa mavumbi, nasema hapana kabisa lazima tutengeneze lami na mimi lazima niwaahidi ukweli. Mheshimiwa mkuu wa mkoa sijui yuko wapi? Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Singida hili ndio liwe la kwanza kushughulikiwa, asante sana.
Na regional manager wa Tanroads yupo au msaidizi wake? Njoo hapa, chukua mic
Dkt. Magufuli: Regional manager
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Pamoja na wa Tarura, nataka mkae hapa, kuanzia leo sisi tukiondoka.
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Mchague baadhi ya barabara zitakazotosha kwenye KM 10(Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais).
Dkt Magufuli: Tangaza tenda mwezi huu, pesa usiulize, mimi nitatoa pesa kwa ajili ya kutengeza barabara hii. Itigi Oyee, (Wananchi: Oyee kwa shangwe). Kwa hiyo mjulishe chief executive wa Tanroard, mjulishe na waziri wa ujenzi, tunaanza mara moja, wala tusichelewe na hii wala sio hongo, mimi bado ni Rais kwa hiyo natoa maagizo. Tangaza tenda ya barabara za mjini Itigi kilomita 10, zitengenezwe kwa kiwango cha lami.
Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais.
View attachment 1577336
Magufuli akinadi sera za CCM Itigi, Singida
Dkt. Magufuli alifunga suala hilo na kuendelea na kampeni kwa kuelezea ubaya wa kugawa nchi katika majimbo na kuwataka wana-Itigi wawafundishe kwa kuwanyima kura wanaotaka kufanya hivyo.
Tunataka barabara sio ahadiCCM mpumzisheni huyu mzeee! Aiseee anaharibu zaidi 😂😂😂😂😂
Aisee how comes anafanya makosa ya wazi namna hii????😂😂😂😂
Kweli dozi za Lissu zimezidi jamani!!! Magu keshaelekea kibra!!! Dadeki 😂😂😂😂
Mkuu Mh Rais amevunja kanuni gani?Hii tume ni kituko, haina uwezo hats kidogo wa kumdhibiti jpm.Anavunja kanuni, sheria apendavyo
Watu wasifanyiwe maendeleo kisa sheria zako za kipuuzi kwani uliambiwa magufuli amestaafu urais au yupo likizo?Huyu mzee keshapoteana dadeki
CCM mko wapi jamani??? Mzee anawavua nguo huku
Anavunja sheria za uchaguzi waziwazi
View attachment 1577338
Mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. Magufuli
Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni na leo yuko Itigi mkoani Singida.
View attachment 1577339
Magufuli akiwa na Mwigulu na wanaCCM wakiserebuka
Akiwa huko akaongelea uzuri wa nyumba za Singida na kusikitika zinavyopigwa vumbi ndipo ghafla akaitwa meneja wa Tanroad mkoa wa Singida mbele ya hadhara ya kampeni.
Mazungumzo yao yalikuwa hivi.
=======
Dkt Magufuli: Ahadi yangu ya mjini ilikuwa kilomita 8 sasa ntatengeneza 10 pamoja na hii barabara niliyokuja nayo, nasema kwa dhati, sisemi kwa sababu ya kura. Nasema kwa sababu hii ni haki yenu.
Huu mji umependeza sana, mmejenga nyumba nzuri sana. Haiwezekani nyumba nzuri nzuri ziwe zinaendelea kupigwa mavumbi, nasema hapana kabisa lazima tutengeneze lami na mimi lazima niwaahidi ukweli. Mheshimiwa mkuu wa mkoa sijui yuko wapi? Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Singida hili ndio liwe la kwanza kushughulikiwa, asante sana.
Na regional manager wa Tanroads yupo au msaidizi wake? Njoo hapa, chukua mic
Dkt. Magufuli: Regional manager
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Pamoja na wa Tarura, nataka mkae hapa, kuanzia leo sisi tukiondoka.
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Mchague baadhi ya barabara zitakazotosha kwenye KM 10(Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais).
Dkt Magufuli: Tangaza tenda mwezi huu, pesa usiulize, mimi nitatoa pesa kwa ajili ya kutengeza barabara hii. Itigi Oyee, (Wananchi: Oyee kwa shangwe). Kwa hiyo mjulishe chief executive wa Tanroard, mjulishe na waziri wa ujenzi, tunaanza mara moja, wala tusichelewe na hii wala sio hongo, mimi bado ni Rais kwa hiyo natoa maagizo. Tangaza tenda ya barabara za mjini Itigi kilomita 10, zitengenezwe kwa kiwango cha lami.
Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais.
View attachment 1577336
Magufuli akinadi sera za CCM Itigi, Singida
Dkt. Magufuli alifunga suala hilo na kuendelea na kampeni kwa kuelezea ubaya wa kugawa nchi katika majimbo na kuwataka wana-Itigi wawafundishe kwa kuwanyima kura wanaotaka kufanya hivyo.
Takrima... law😂😂😂umenikumbusha mbali sanaaaHalafu Tume watasema ni Takrima ya Barabara?
Kampen zikianza hatakiwi kufnya hivi na sheriaMkuu Mh Rais amevunja kanuni gani?
Ana uhakika mpwa atatoa hela kule hazina..hiyo ni hongo ya uchaguzi, na ndiyo maana Magufuli anajaribu kujisafisha.
Huyu mzee keshapoteana dadeki 😂😂😂😂😂
CCM mko wapi jamani??? Mzee anawavua nguo huku😂😂😂😂😂😂
Anavunja sheria za uchaguzi waziwazi
Chadema mmekuwa wapumbavu ndo maana mbowe amekuwa ni ndugu mtazamaji tuu , yani watu wanafanyiwa maendeleo mnakuja kubwabwaja kama vile rais kawabaka.Hii tume ni kituko, haina uwezo hats kidogo wa kumdhibiti jpm.Anavunja kanuni, sheria apendavyo
Wait and seeand you can do nothing about it, lofa
Eti walimkataza mzee Rungwe asigawe x chakula kwenye mikutano yake,Halafu Tume watasema ni Takrima ya Barabara?
JPM bado ni Rais mpaka muda huu ana mamlaka ya kufanya jambo lolote la maendeleo kwa taifa, so kutangaza hiyo tenda ya barabara amefanya kama Rais na si mgombea. Tambua JPM mpaka muda huu ana kofia mbili 1. Rais wa TZ 2. Mgombea, so lazima ujue kutofautisha position zake hizi. Sawa mkuu.Kampen zikianza hatakiwi kufnya hivi na sheria
Mkuu naona unajihami mapema..Safi bajeti ya mwaka huu hiyo inatekelezwa