Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Sio hongo, mimi bado ni Rais, natangaza tenda ya barabara za mjini Itigi KM 10

Hii tume ni kituko, haina uwezo hats kidogo wa kumdhibiti jpm.Anavunja kanuni, sheria apendavyo
 
View attachment 1577338
Mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. Magufuli

Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni na leo yuko Itigi mkoani Singida.

View attachment 1577339
Magufuli akiwa na Mwigulu na wanaCCM wakiserebuka

Akiwa huko akaongelea uzuri wa nyumba za Singida na kusikitika zinavyopigwa vumbi ndipo ghafla akaitwa meneja wa Tanroad mkoa wa Singida mbele ya hadhara ya kampeni.​


Mazungumzo yao yalikuwa hivi.
=======
View attachment 1577341
“Nyomi” ya CCM Itigi

Dkt Magufuli: Ahadi yangu ya mjini ilikuwa kilomita 8 sasa ntatengeneza 10 pamoja na hii barabara niliyokuja nayo, nasema kwa dhati, sisemi kwa sababu ya kura. Nasema kwa sababu hii ni haki yenu.

Huu mji umependeza sana, mmejenga nyumba nzuri sana. Haiwezekani nyumba nzuri nzuri ziwe zinaendelea kupigwa mavumbi, nasema hapana kabisa lazima tutengeneze lami na mimi lazima niwaahidi ukweli. Mheshimiwa mkuu wa mkoa sijui yuko wapi? Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Singida hili ndio liwe la kwanza kushughulikiwa, asante sana.

Na regional manager wa Tanroads yupo au msaidizi wake? Njoo hapa, chukua mic

Dkt. Magufuli: Regional manager

Regional manager: Ndio mheshimiwa

Dkt. Magufuli: Pamoja na wa Tarura, nataka mkae hapa, kuanzia leo sisi tukiondoka.

Regional manager: Ndio mheshimiwa

Dkt. Magufuli: Mchague baadhi ya barabara zitakazotosha kwenye KM 10(Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais).

Dkt Magufuli: Tangaza tenda mwezi huu, pesa usiulize, mimi nitatoa pesa kwa ajili ya kutengeza barabara hii. Itigi Oyee, (Wananchi: Oyee kwa shangwe). Kwa hiyo mjulishe chief executive wa Tanroard, mjulishe na waziri wa ujenzi, tunaanza mara moja, wala tusichelewe na hii wala sio hongo, mimi bado ni Rais kwa hiyo natoa maagizo. Tangaza tenda ya barabara za mjini Itigi kilomita 10, zitengenezwe kwa kiwango cha lami.

Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais.

View attachment 1577336
Magufuli akinadi sera za CCM Itigi, Singida

Dkt. Magufuli alifunga suala hilo na kuendelea na kampeni kwa kuelezea ubaya wa kugawa nchi katika majimbo na kuwataka wana-Itigi wawafundishe kwa kuwanyima kura wanaotaka kufanya hivyo.

Anyway; wacha raia wafaidi ingawa ni pigo kwa ambao hawajashika dola
 
Asante Mh Rais JPM, mzalendo wa kweli mpenda maendeleo. TZ umeifanya imara umeleta maendeleo yanaonekana, umeboresha mifumo mbalimbali iliyokua inalegalega. watanzania tunakuamini tunakupa miaka mitano mingine uzidi kuiboresha nchi. JPM 2020
 
CCM mpumzisheni huyu mzeee! Aiseee anaharibu zaidi 😂😂😂😂😂

Aisee how comes anafanya makosa ya wazi namna hii????😂😂😂😂


Kweli dozi za Lissu zimezidi jamani!!! Magu keshaelekea kibra!!! Dadeki 😂😂😂😂
Tunataka barabara sio ahadi
Halafu nyie si hamtakagi mabarabara😆😆😆
 
View attachment 1577338
Mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. Magufuli

Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni na leo yuko Itigi mkoani Singida.

View attachment 1577339
Magufuli akiwa na Mwigulu na wanaCCM wakiserebuka

Akiwa huko akaongelea uzuri wa nyumba za Singida na kusikitika zinavyopigwa vumbi ndipo ghafla akaitwa meneja wa Tanroad mkoa wa Singida mbele ya hadhara ya kampeni.​


Mazungumzo yao yalikuwa hivi.
=======
View attachment 1577341
“Nyomi” ya CCM Itigi

Dkt Magufuli: Ahadi yangu ya mjini ilikuwa kilomita 8 sasa ntatengeneza 10 pamoja na hii barabara niliyokuja nayo, nasema kwa dhati, sisemi kwa sababu ya kura. Nasema kwa sababu hii ni haki yenu.

Huu mji umependeza sana, mmejenga nyumba nzuri sana. Haiwezekani nyumba nzuri nzuri ziwe zinaendelea kupigwa mavumbi, nasema hapana kabisa lazima tutengeneze lami na mimi lazima niwaahidi ukweli. Mheshimiwa mkuu wa mkoa sijui yuko wapi? Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Singida hili ndio liwe la kwanza kushughulikiwa, asante sana.

Na regional manager wa Tanroads yupo au msaidizi wake? Njoo hapa, chukua mic

Dkt. Magufuli: Regional manager

Regional manager: Ndio mheshimiwa

Dkt. Magufuli: Pamoja na wa Tarura, nataka mkae hapa, kuanzia leo sisi tukiondoka.

Regional manager: Ndio mheshimiwa

Dkt. Magufuli: Mchague baadhi ya barabara zitakazotosha kwenye KM 10(Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais).

Dkt Magufuli: Tangaza tenda mwezi huu, pesa usiulize, mimi nitatoa pesa kwa ajili ya kutengeza barabara hii. Itigi Oyee, (Wananchi: Oyee kwa shangwe). Kwa hiyo mjulishe chief executive wa Tanroard, mjulishe na waziri wa ujenzi, tunaanza mara moja, wala tusichelewe na hii wala sio hongo, mimi bado ni Rais kwa hiyo natoa maagizo. Tangaza tenda ya barabara za mjini Itigi kilomita 10, zitengenezwe kwa kiwango cha lami.

Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais.

View attachment 1577336
Magufuli akinadi sera za CCM Itigi, Singida

Dkt. Magufuli alifunga suala hilo na kuendelea na kampeni kwa kuelezea ubaya wa kugawa nchi katika majimbo na kuwataka wana-Itigi wawafundishe kwa kuwanyima kura wanaotaka kufanya hivyo.



A dictator in action without reasoning. What when it fires back against him in the court of law?
 
Nawakumbusha tena JPM bado ni Rais wa TZ mpaka muda huu tunavyochat hapa, ana uwezo wa kutekeleza jambo lolote la maendeleo muda wowote.
 
Hii tume ni kituko, haina uwezo hats kidogo wa kumdhibiti jpm.Anavunja kanuni, sheria apendavyo
Chadema mmekuwa wapumbavu ndo maana mbowe amekuwa ni ndugu mtazamaji tuu , yani watu wanafanyiwa maendeleo mnakuja kubwabwaja kama vile rais kawabaka.
 
Hata kama ni nje ya utaratibu lakini umuhimu wa siasa za upinzani ndiyo kama huu.

Hii nchi ina fedha, hawa watawala bila ya kuwekwa kwenye presha hawawezi leta maendeleo.
 
Kampen zikianza hatakiwi kufnya hivi na sheria
JPM bado ni Rais mpaka muda huu ana mamlaka ya kufanya jambo lolote la maendeleo kwa taifa, so kutangaza hiyo tenda ya barabara amefanya kama Rais na si mgombea. Tambua JPM mpaka muda huu ana kofia mbili 1. Rais wa TZ 2. Mgombea, so lazima ujue kutofautisha position zake hizi. Sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom