Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa Barabara ya urefu wa KM 56.9 kutoka Mkiwa-Itigi-Noranga

MANKA MUSA

JF-Expert Member
Jul 9, 2014
922
1,093
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan leo October 15,2023 ameweka Jiwe la Msingi kwenye Ujenzi Wa Barabara ya kiwango Cha lami kutoka Mkiwa-Itigi-Noranga yenye Urefu wa Km 56.9 inayojemgwa na Mkandarasi wa kampuni ya CHICO chini ya Usimamizi wa TANROAD ambapo ujenzi wake utagharimu Shilingi Bilion 67.2.

Mradi huo ni sehemu ya kilometer 413 kutoka Makongolosi-Rungwa-Mkiwa ambapo Serikali inajenga Barabara hiyo kwa awamu tofautitofauti Ili kuunganisha mikoa ya Singida, Tabora na Mbeya.
IMG-20231015-WA0050.jpg
IMG-20231015-WA0046.jpg
IMG-20231015-WA0045.jpg
IMG-20231015-WA0051.jpg
IMG-20231015-WA0049.jpg
IMG-20231015-WA0048.jpg
 
Mradi huo ni sehemu ya kilometer 413 kutoka Makongolosi-Rungwa-Mkiwa huu ni mradi muhimu sana utasaidia kuunganisha kanda ya nyanda za juu kusini na kanda ya kati na zingine.
Rai yangu ni kwa Serikali kukamilsha mradi kwa wakati.
 
Back
Top Bottom