Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
ila Ali alikua na kijiba na Mond kitambo sana,cheki wenzake full tabasamu ila ye kakunja sura na roho,hapo anajilazimisha furaha kinafiki.
ila Ali alikua na kijiba na Mond kitambo sana,cheki wenzake full tabasamu ila ye kakunja sura na roho,hapo anajilazimisha furaha kinafiki.
kabisaa bro anaimba chochote ili mradi kinaleta pesaYule mtu sk hizi hana identity yake 'yeye kama yeye' kwenye fani. Mtu kama Vannyboy ka stick kwenye aina flani ya style yake.
Ww ni Team mondi nini?Watabaki hivyo hivyo. Diamond na azidi kushine
Hao wenye ubora katika muziki wao, mbona hawatoboi?Diamond sasa hivi hategemei ubora wa muziki au ngoma zake kufanya vizuri.
Tegemeo lake kubwa sasa hivi ni vyombo vya propaganda alivyonavyo.
Kwanini wewe kazini kwako mbona mnalipwa mishahara sawa lakini wenzako wana maendeleo makubwa kuliko wewe ?Hao wenye ubora katika muziki wao, mbona hawatoboi?
Sina team, ni shabiki wa mziki wowote mzuri, kiba pia namkubali.Ww ni Team mondi nini?
Coz naona wamtetea saana
Sina team, ni shabiki wa mziki wowote mzuri, kiba pia namkubali.
Sikubaliani na mawazo finyu yasiyokuwa na tija
YesDemi
Miss you tooMissing you ,
Miss you too
Yes nashukuru mkuu, niko poaMatumaini yangu unaendelea vizuri
Yes nashukuru mkuu, niko poa
Halafu nyuzi kama hizi hapa jukwaani ni nyingi, zingine times 2011 ,mods inabidi waziunganishe nyuzi zote za namna hiiHv huu mwaka Diamond ametoa wimbo gani ambao inaonekana nyimbo zake hazieleweki? Inaonekana umemfahamu jamaa baada ya kubalehe , Huu ushauri Diamond alipewa 2010 miaka kumi sasa, majungu, fitina na wivu hujenga...mmeshindwa jamaa basi mnataka mumuombe aache Tu mziki sasa
Kea Nini na wewe usianzishe vyombo vya propaganda Ili upset hadi forbes wakujue? Unadhani kuanzisha vyombo ni sawa na genge la kuuzia kitimoto?Kwanini wewe kazini kwako mbona mnalipwa mishahara sawa lakini wenzako wana maendeleo makubwa kuliko wewe ?
What the fu..ck is Forbes Africa ?Kea Nini na wewe usianzishe vyombo vya propaganda Ili upset hadi forbes wakujue? Unadhani kuanzisha vyombo ni sawa na genge la kuuzia kitimoto?
Demi Jibu konki Sana Hili upewe mitano TenaSina team, ni shabiki wa mziki wowote mzuri, kiba pia namkubali.
Sikubaliani na mawazo finyu yasiyokuwa na tija