Dhibiti muda anaospend mumeo kwa small house...

Dhibiti muda anaospend mumeo kwa small house...

Hata sie we need space.Yani nikimuona tu Habby haeleweki yani ctomuuliza na ctokagua cm yake,ila vitendo nyangu vitatosha kujieleza na huduma zote zitasitishwa mpaka atakapojilekebisha.
ivi nyie wanaume sijui mmeumbwaje?,

Wanaume wote baba yao na mama yao ni mmoja wanafanana kwa kila kitu kuanzia uongo mpaka tabia G3T tutaona nani mbabe hapa maana ukisitisha huduma small house si ipo pale pale nasepa tuu utakuwa unaniona home majogoo
 
Last edited by a moderator:
Small house oyeeeeeeeee aisee small house zinawakosesha usingizi eeeh
 
Hakuna raha kama kila mtu kuwa na uhuru wake....Mkiheshimiana na kupendana kwa dhati utashangaa mwanaume anawahi home bila hata kuulizwa..
 
Hakuna hata moja linasaidia hapo anagalau hilo no 5 linaweza fanya kazi na si kwa wote,Husninyo utakuwa huna kazi?
 
WE mama/dada unaleta prinsipo za kihasibu kwenye ndoa, kaolewe na mwingereza ndio mtawezana! Haya mambo practcally hayawezekani, haya twambie na sisi wanaume tufanyaje kuwadhibiti na nyie.
 
PIGA NUMBER 5 tu!
af wala usitegemee return kuuuubwa!
NUMBER MOJA WEKA DEAL ZINGINE ZA MAISHA ZIWE NDO KIPAUMBELE CHAKO
NUMBER 2 WEKA MASHOSTI WANAOKUPA STORY ZA MUJINI
NUMBER 3 PENDEZA TU KAMA FORM SIX LEAVER
NUMBER 4 KUWA NA VITU TOFAUTI VYA KUFANYA ZAID YA KUFIKIRIA HIZO NUMBER ZOTE HAPO JUU! EXCEPT NUMBER 5
 
LOL!!! Husninyo hahahaha.....dhibiti dhibiti dhibiti 🙂🙂 Kumchunga binadamu mwenye akili na miguu miwili na macho mawili ni kazi kubwa sana.



All fall down, all fall down
All fall down

I used to wake up at night
Feelin' so lonely
Before I knew you really loved me

I used to cry in my sleep
With tears on my pillow
I didn't think you wanted to know

But now you've change my world
I'm wondering how to keep myself from falling over
You're a special boy, my baby
And when you touch me

(All fall down)
Happy makes you feel that way
It's takin' me up to the highest
Love I've ever known
 
Last edited by a moderator:
Wapwa zangu wote, if your Man is a player will always be.....hata umgande kumkichwa. Nina mtu namfahamu sana na huwezi amini anamtumia mke wake kuwapata wanawake wengine pasipo yeye kuelewa. Kwa mfano juzi tulikua tumekaa mahali, basi Jamaa kakaa na mke wake na baada ya mke wake tulikua na mdada mmoja mzuri tu, alichokifanya alianzisha story weeeee halafu baadae akatoa simu yake akajifanya anatuma text or anasoma text halafu akamwambia mke wake, badilishaneni namba basi! Kumbe jamaaa yuko standby kuandika namba, the way yule dada anataja jamaa naye huku akawa anaiandika fasta na huwezi amni pale pale akaanza kuchati nae!!!!

Mi hua naona kikubwa ni kujenga namna fulani ya kuaminiana tu, the rest ni mbwembwe tu
huyo nae kazidi sasa. khaaa.
 
LOL!!! Husninyo hahahaha.....dhibiti dhibiti dhibiti 🙂🙂 Kumchunga binadamu mwenye akili na miguu miwili na macho mawili ni kazi kubwa sana.



All fall down, all fall down
All fall down

I used to wake up at night
Feelin' so lonely
Before I knew you really loved me

I used to cry in my sleep
With tears on my pillow
I didn't think you wanted to know

But now you've change my world
I'm wondering how to keep myself from falling over
You're a special boy, my baby
And when you touch me

(All fall down)
Happy makes you feel that way
It's takin' me up to the highest
Love I've ever known


hahaha, ahsante mzee wa youtube. mjue sometimes mnaanzisha vismol house kwa sababu tu mmekuwa huru kupitiliza. akili za wanaume wengi ni kama za watoto, ukimuachia nafasi zaidi unaweza kukuta amekuchanganyia mafuta kwenye unga.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Dawa ya mwanaume mwenye small hausi ni kutokuwa na time nae ila all bills lazma alipe. Hela ya change acha tugawane umaskini, kina lara 1 wataishije bwana? Ukiwa huna time nae anahisi na ww una small hausi, anaanza kukufukuzia.
 
Last edited by a moderator:
WE mama/dada unaleta prinsipo za kihasibu kwenye ndoa, kaolewe na mwingereza ndio mtawezana! Haya mambo practcally hayawezekani, haya twambie na sisi wanaume tufanyaje kuwadhibiti na nyie.

hahahahaha, mambo ya kukeep source documents. lol, kuna watu washanunua mafaili ujue. lol
 
Dawa ya mwanaume mwenye small hausi ni kutokuwa na time nae ila all bills lazma alipe. Hela ya change acha tugawane umaskini, kina lara 1 wataishije bwana? Ukiwa huna time nae anahisi na ww una small hausi, anaanza kukufukuzia.
mkwe hizo mambo zenu za married but available sijui married bachelors vitawaponza. utaolewaje halafu usiwe na time na mmeo. khaaaa!!! kuolewa si kazi kazi kulea hilo jitu zima lenye midevu yake.
 
PIGA NUMBER 5 tu!
af wala usitegemee return kuuuubwa!
NUMBER MOJA WEKA DEAL ZINGINE ZA MAISHA ZIWE NDO KIPAUMBELE CHAKO
NUMBER 2 WEKA MASHOSTI WANAOKUPA STORY ZA MUJINI
NUMBER 3 PENDEZA TU KAMA FORM SIX LEAVER
lol! kwa namna hiyo ndio maana ndoa za wengi zinakuwa chungu.
 
Hakuna hata moja linasaidia hapo anagalau hilo no 5 linaweza fanya kazi na si kwa wote,Husninyo utakuwa huna kazi?

kwani ni lipi hapo linalochukua masaa mengi kulitekeleza mpaka ushindwe fanya kazi zako?
 
Hakuna raha kama kila mtu kuwa na uhuru wake....Mkiheshimiana na kupendana kwa dhati utashangaa mwanaume anawahi home bila hata kuulizwa..

ukishaolewa jua kabisa umeuza sehemu ya uhuru wako, kuna mambo huwezi kujiamulia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom