Dhibiti muda anaospend mumeo kwa small house...

Dhibiti muda anaospend mumeo kwa small house...

Ndivo tunavojiambia Husninyo ili tuishi kwa amani hayo mambo ya kkukimbiza bendera sitaki na wala sitaki yafanyike kwangu.Hivi hujawahi sikia baba ambaye hatok nyumbani akitoka kazini straight home mwisho wa siku unaletewa watoto na familia iliyojitosheleza huko.kchunga binadamu kazi labda uamue kuwa wallet......

yaani wanakatisha tamaa kweli kweli ila maisha ya ndoa ni vile unataka yawe, ukitaka uishi kwa furaha na amani inawezekana sana tu, sio wanaume wote vitombi jamani.
 
Ndivo tunavojiambia Husninyo ili tuishi kwa amani hayo mambo ya kkukimbiza bendera sitaki na wala sitaki yafanyike kwangu.Hivi hujawahi sikia baba ambaye hatok nyumbani akitoka kazini straight home mwisho wa siku unaletewa watoto na familia iliyojitosheleza huko.kchunga binadamu kazi labda uamue kuwa wallet......

Mwanzo wa hesabu ni moja....

Ni vigumu kukuta mtu ni family man afu analeta watoto wa nje...na ndio maana inakuwa gumzo la jiji na kila mtu atamtumia yeye kama reference;kama ulivyofanya wewe....

Lakini mapepe wanaleta watoto home daily na wala sio issue wala news
 
Nyumba ndogo zingekuwa hazipo hata huu uzi usingekuwa na maana yeyote...

Zipo ndio maana mother house hatakiwi kubweteka

Natumia NK kwa sababu nataka ku declare interest...msishangae wakati mwingine na sound bias wakati nikichangia.


wewe mwenyewe unajiita nyumba kubwa huoni kama unaamini kuna ndogo?
 
Wanaume Hatuchungwi,utajiumiza bure"Vunja UKIMYA zungumza na mwenzio"
 
Wanaume wote baba yao na mama yao ni mmoja wanafanana kwa kila kitu kuanzia uongo mpaka tabia G3T tutaona nani mbabe hapa maana ukisitisha huduma small house si ipo pale pale nasepa tuu utakuwa unaniona home majogoo

MR. umenifanya nikose cha kukujibu maana nahisi nahasira hadi natetemeka.yani nyie wanaume ngojeni tu.
 
haya jamani.... kwa wale
waliiolewa na wanahisi wanaume zao wana nyumba ndogo, hii inawahusu,
siguarantee kuwa mmeo atamuacha huyo (kama anae) ila itasaidia kufanya
nyumba yako isitetereke.

1.dhibiti matumizi ya simu.

kiukweli mawasiliano ndio msingi imara wa mahusiano yoyote. mawasiliano
yanapokuwa lege lege hata penzi hufifia na linaweza kufa kabisa. hapa
cha kufanya ni kumdhibiti baba watoto, akishaingia nyumbani hakuna
kuchati chati tena, hakikisha hawi karibu na simu yake. sio mwanaume
mpaka mnapanda kitandani yeye anachati tu, sa tano za usiku anachati na
nani? hapo unaibiwa. akifika home ni muda wake yeye na familia tu,
kismol house kama kipo kisubiri text msg kesho.

2. dhibiti mapato na matumizi.
small house siku zote yupo kipesa zaidi, kama mmeo anamwaga madolari ya
kutosha si ajabu small house akang'ang'ania hapo mpaka azeekee kwa mmeo.
katika kudhibiti mapato yenu mnaweza mkawa mnaandaa budgets zenu
pamoja, mnapanga kiasi gani mnaiingiza kwa mwezi na vipi
mtatumia.kudhibiti mapato itasaidia kupunguza fungu analokabidhiwa bi
mdogo na si ajabu akakimbia mwenyewe baada ya kuona hakuna mavuno tena.
kama mna mapato makubwa na matumizi mengi mnaweza kuajiri financial
controller kabisa. lol.

3.verify safari zake za kikazi.

wanaume wenye vismall houses wakipata safari za kikazi unaweza kuta siku
tatu kazini siku nne kwa bi mdogo wewe nyumbani unaambiwa safari ya
siku saba kumbe mtu kasharudi amejichimbia sehemu wanakula bata. hapa
unatakiwa kukaba, hakikisha siku ya safari unamsindikiza uwanja wa ndege
au stand ya mkoa na siku ya kurudi ukampokee, hakikisha anarudi na
risiti ya hotel na tickets za bus/ndege (tena hapa tafuta na file kabisa
la kuwekea hizo receipts, mwambie umeanza utaratibu wa kutunza
kumbukumbu. lol).

4.dhibiti ratiba zake za weekend.

uwe unatoka nae weekend, mnaweza kuwa mnaenda tembelea shamba, shopping
na familia, beach, etc. jitahidi kuvurugua ratiba zake za weekend haswa
zile ambazo una mashaka nazo... nyumba ndogo akikosa muda wa kuspend na
mmeo ndio dalili nzuri la penzi lao kuchuja huku lako likishine.


5.timiza wajibu wako kama mke na ibada za pamoja.

hapa kila mtu anajua wajibu wake na anayoyafanya kudumisha furaha ya
ndoa. usihesabu mazuri unayomfanyia mwenzio. we endelea kufanya tu. pia
jiwekeni karibu na mungu kwa kusali pamoja na kufanya yale mema kwa
pamoja.

mwageni mambinu jamani hata kama ni ya kialshabab! hizi zinafaa kwa
mnaokaa nyumba moja.

sijaona njia mpya ya kudhibiti izi njia zina apply kwa michepuko vumbi tu. eti sim nani alikwambia michepuko rami wanachart?

mambo yote wanaongea akiwa getini na anakumbushwa kufuta kila kitu.

nani alikwambia michepuko rami wanakutana weekend?

labda umuombe mungu tuu yasikukute raha sivo labda umfungie uvunguni mwa kitanda.
 
Ah kwani kaoa afande, Mapenzi ni hiari kama yeye hawezi kuniheshimu basi, yanini kunyimana pumzi? Aende akafanye atakayo ila mwisho wa siku akumbuke ana mke home
 
usiku wa manane unachati nini? ina maana unaechati nae ni muhimu zaidi kuliko wife wako?
kua uyaone na lunch time mchana unakuwa nae,hujui one hour inatosha kupiga mbili bila naungana na boss hizo ni startegies za mwanamke mwenye gubu na mwisho wake ni ndoa kufa,
we timiza wajibu wako kama mama au mke mengine muachie Mungu
 
Unaweza kushinda kisimani na bado maji yakachotwa. Play your part usijaribu kuwa control freak.
 
Back
Top Bottom