Dhibiti muda anaospend mumeo kwa small house...

Dhibiti muda anaospend mumeo kwa small house...

usiku wa manane unachati nini? ina maana unaechati nae ni muhimu zaidi kuliko wife wako?
Husninyo deal za hela hazina usiku wala mchana muda wowote natumiwa email au natumiwa sms za deal so nixziache kisa mke amebania simu yangu
Muda wako wa kukupa attention upo na nikiwa sina issue utaupata sana ila na mimi nipe muda wa kufanya mambo yangu
 
Last edited by a moderator:
Sintokaa nifanye hivyo hasa katika swala la sim........U will end up hurting yourself...........

Vitu vingine are more theoretical unlike what we are thinking.......
hivi husikii raha mmeo anaconcetrate kwako tu kwa wakati huo badala ya kuhangaika na simu? huoni raha umeshuka kwa fast jet mbebi amekuja kukupokea? tusizitame kwa mtazamo hasi tu, kuchungwa kwa namna ya kujaliwa kunavutia zaidi. lol
 
usiku wa manane unachati nini? ina maana unaechati nae ni muhimu zaidi kuliko wife wako?

Na mwanaume smart anafanya mambo yake mchana,akikaribia hm tu anakua hana ushirikiano na simu yake na sms na call zote kafuta...huyo anaechat ucku hawez kua serious kwanza wanaotembea na waume za watu wanajua sana kua karud kwa mkewe ivo nao hawamtafut,ivo kikubwa ni uheshimiwe tu
 
Mh!! Mambo ya ngoswe!!! Wanaume ni watu makini sana, waweza fanya yote hayoo lakini waaapi utaambulia mastress tu !! Tena simuu heeee ye achatii hata alfajiri za ucku lakini haki zangu za msingi kama mkewe anipatieee!! Otherwise ni kumuweka mungu karibu amuepushie na hao vidudu watuu!
 
My dear Husninyo......binafsi namba 1 na 3 kwangu ni ngumu.....ninachokifanya huwa ni kuongea nae taratibu na kumkumbusha hali halisi ilivyo.......kuna aina nyingine za kazi......wanazofanya waume zetu......inabidi tu umuombee arudi salama nyumbani........
 
Last edited by a moderator:
Wapwa zangu wote, if your Man is a player will always be.....hata umgande kumkichwa. Nina mtu namfahamu sana na huwezi amini anamtumia mke wake kuwapata wanawake wengine pasipo yeye kuelewa. Kwa mfano juzi tulikua tumekaa mahali, basi Jamaa kakaa na mke wake na baada ya mke wake tulikua na mdada mmoja mzuri tu, alichokifanya alianzisha story weeeee halafu baadae akatoa simu yake akajifanya anatuma text or anasoma text halafu akamwambia mke wake, badilishaneni namba basi! Kumbe jamaaa yuko standby kuandika namba, the way yule dada anataja jamaa naye huku akawa anaiandika fasta na huwezi amni pale pale akaanza kuchati nae!!!!

Mi hua naona kikubwa ni kujenga namna fulani ya kuaminiana tu, the rest ni mbwembwe tu
 
hata ufanyaje ku cheat kutakuwepo tu na kuko rohoni kwa mwanaume,kumbuka mwanaume si mwanafunzi aliye boarding kwamba utam control timetable zake
 
haya jamani.... kwa wale waliiolewa na wanahisi wanaume zao wana nyumba ndogo, hii inawahusu, siguarantee kuwa mmeo atamuacha huyo (kama anae) ila itasaidia kufanya nyumba yako isitetereke.

1.dhibiti matumizi ya simu.

2. dhibiti mapato na matumizi.

3.verify safari zake za kikazi.

4.dhibiti ratiba zake za weekend.

5.timiza wajibu wako kama mke na ibada za pamoja.


Haya yote yafanywe kwa mapenzi, heshima, akili na busara ya hali ya juu. Usisahau KIASI. Usimfanye ahisi/ajione anathibitiwa tofauti na hivyo umebugi girlllllllll
 
Rafiki yote umeonge ila hii 5.timiza wajibu wako kama mke na ibada za pamoja. ndiyo muhimu na ya msingi kuliko zote, hayo unayoyataka yatakuja yenyewe kama unazingatia kipengele hicho. Kwa mwanaume mwenye akili na anayejua wajibu wake vizuri, mwanamke akisha zingatia kipengele hicho 5, yeye mwenyewe atahisi hatia kumfanyia vibaya.

Usifikirie kumbadilisha mtu kwa kumbana bali fikiria kubadilika wewe kwanza ili na yeye abadilike kutokana na badiliko lako. Kumbana mtu, kumchunga na kum-control utamsababishia maudhi na kumkosesha uhuru na mwishowe kubomoa ndoa kwa mikono yako. Wajibika ipasavyo na umtangulize Mungu, mengine yatakuja yenyewe.
 
hivi husikii raha mmeo anaconcetrate kwako tu kwa wakati huo badala ya kuhangaika na simu? huoni raha umeshuka kwa fast jet mbebi amekuja kukupokea? tusizitame kwa mtazamo hasi tu, kuchungwa kwa namna ya kujaliwa kunavutia zaidi. lol

Ni raha ila too much restrictions sio nzuri hata..........kukumbushana muhim

lakin usifanye akaona this woman is Kinda controlling me.........msome pia Blaine alichosema
 
Last edited by a moderator:
mimi nakaba kwenye mshiko,unahakikisha unamnyonya huku unainvest,unazidisha tu upendo,hayo ya kumchunga wala sina mpango,namkaba kwenye pesa tu,ili akose za kuhonga huko,ukimfatilia sana atakushtukia na itakuwa maugomvi tu
 
DESPERATE WOMEN lol


Mmimi nikifanyiwa yote hayo na ndoa itakufa.....hata kama sina nyumba ndogo

crazy women......danganyaneni humu msisahau ALL MEN NEED SPACE SOMETIMES...

pokea like hiyo maana hapa natumia simu. yaani of all the things men always need sometimes to freshen up with friends and go to places of choice.
 
The Boss umeongea
we need space bana simu yangu unipangie muda wa kuchat na kuongea
Safari niende na ofisi inidai risiti na wewe mke unadai risiti ahhh mambo gani hayo

Hata sie we need space.Yani nikimuona tu Habby haeleweki yani ctomuuliza na ctokagua cm yake,ila vitendo nyangu vitatosha kujieleza na huduma zote zitasitishwa mpaka atakapojilekebisha.
ivi nyie wanaume sijui mmeumbwaje?,
 
Back
Top Bottom