Mfanyabiashara mkubwa nchini Azim Dewji, ameweka wazi kuwa biashara yake ya kwanza kuifanya ilikuwa ni kuuza mafuta ya Taa.
Akifanya mahojiano na CloudsTv Dewji amesema,
"Biashara yangu ya kwanza nilinunua gari kwa mkopo, nikawa na gari lakini tulikuwa tunanunua mafuta ya taa kwenye madebe tunapeleka vijijini kwenda kuuza, wale wanapata huduma sisi tunapata kipato, ndio biashara ya kwanza kufanya."-Azim Dewji
Kwa upande mwengine Dewji ameelezea maisha ya dhiki waliyokuwa wanaishi,
"Maisha yetu hayakuwa mazuri sana, baba alikuwa sio tajiri. Alikuwa mtu wa kipato cha kati lakini alifariki akiwa maskini kwa sababu alikuwa hapendi kukaa na mali. Alipokuwa anakuja mtu mwenye shida basi yeye alikuwa anampatia"-Azim Dewji
Written by Mjanja M1 ✍️
Akifanya mahojiano na CloudsTv Dewji amesema,
"Biashara yangu ya kwanza nilinunua gari kwa mkopo, nikawa na gari lakini tulikuwa tunanunua mafuta ya taa kwenye madebe tunapeleka vijijini kwenda kuuza, wale wanapata huduma sisi tunapata kipato, ndio biashara ya kwanza kufanya."-Azim Dewji
Kwa upande mwengine Dewji ameelezea maisha ya dhiki waliyokuwa wanaishi,
"Maisha yetu hayakuwa mazuri sana, baba alikuwa sio tajiri. Alikuwa mtu wa kipato cha kati lakini alifariki akiwa maskini kwa sababu alikuwa hapendi kukaa na mali. Alipokuwa anakuja mtu mwenye shida basi yeye alikuwa anampatia"-Azim Dewji
Written by Mjanja M1 ✍️