mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,332
- 4,857
Leo naenda kutoboa siri moja kali sana, kwanza nianze kwa kusema baba yangu, ana gari aina za scania 60 ghorofa 8 dar, masaki, ana wanawake 52 ana watoto 100 ana ng'ombe elfu 70 hoteli 30 bar 30 nyumba za kupangisha 85 mashamba heka elfu 30 na vingine vingi historia fupi ya baba yangu,
Baba alizaliwa 1956 alisoma shule ya msing akamaliza akapiga form one akaja kufeli form four babu yetu akampeleka ualimu akafundisha ndan ya miaka mitatu akakubwa na skendo ya ujazaji mimba mwanafunzi akafungwa, miaka miwili alivyotoka jera na kibarua kikaota nyasi, akawa anahangaika kufanya kazi za mtaani kama kufyatua tofari,
Kuchoma mkaa mwisho akawa mwizi akawaibia sana watu ilifikia wakati baba yangu akiwa na wenzake walikuwa wanaenda kuiba sehem roli zima la bidhaa na kuuza, kipindi hiko, majiran ndugu hawajui lolote wanakuta tu mwamba maisha yake yameanza badilika, polepole gafla wakampa udiwani,
Kutokana na yey kuwa na kipato kijijin hapo hajakaa sawa akapiga pesa ya mradi m500 pekee yake
Baba alizaliwa 1956 alisoma shule ya msing akamaliza akapiga form one akaja kufeli form four babu yetu akampeleka ualimu akafundisha ndan ya miaka mitatu akakubwa na skendo ya ujazaji mimba mwanafunzi akafungwa, miaka miwili alivyotoka jera na kibarua kikaota nyasi, akawa anahangaika kufanya kazi za mtaani kama kufyatua tofari,
Kuchoma mkaa mwisho akawa mwizi akawaibia sana watu ilifikia wakati baba yangu akiwa na wenzake walikuwa wanaenda kuiba sehem roli zima la bidhaa na kuuza, kipindi hiko, majiran ndugu hawajui lolote wanakuta tu mwamba maisha yake yameanza badilika, polepole gafla wakampa udiwani,
Kutokana na yey kuwa na kipato kijijin hapo hajakaa sawa akapiga pesa ya mradi m500 pekee yake