Dege Kubwa latua KIA

Dege Kubwa latua KIA

wanataka nini hawa watu,au kwa sababu jamaa yao anamaliza kazi mwakani ndio wanataka nini?watatumalizia wanyama wetu hawa,jamani tumake twendeni KIA kulala pale
View attachment 133844
Je, hamutaki mafuta?? Au daladala zenu zatumia kuni na makaa? hao wametremka mchana kweupe kwenye uwanja wa kimataifa KIA...... ulimwengu wa kibiashara acha protocol ifanye kazi yake.
 
Acheni hizo aisee! Tembo, twiga, simba, fisi, nyati, pundamilia, kenge, mbuni, ngedere na hata nyani, ni wanyama ambao hawapo hatarini kutoweka duniani. Wamejaa tele mbugani. Waacheni Waarabu wazoe ilhali wamefuata taratibu na kulipia. Wanyama wetu! Wanyama wetu! Mna mnyama nyie? Mnyama uliye naye ni yule aliye nyumbani kwako, ok?
Mkuu umenena (well said) WaTanzania tunajitambua tupo makini huu ni utalii wa kisasa madamu inalipa... Go tembo Go..
 
weka picha
157716.jpg
 
sasa vijitu 50 dege lote hilo la nini.., au ndio wamekuja kufanya shopping ya tembo na twiga..?
Mpendwa Francis kweli, Lakini kila taifa na hulka yake!! Wamarekani hujaga na makachero/CIA/FBI wao... waDRC hujaga na vinyaganyiro wao... Waengeraza hujaga na fimbo ya malikia wao!! Wazee wa V (italia) hujaga na unga wao (sembe)... hakuna noma!! Kama unazo tumia bado wamehishimu umaskini tulonao, hii ingelikuwa safari ya kwena states hapo kila vijitu moja ndege moja!! beliv me.!! God blessings hizo non to STOP. omba na wewe upewe....
 
Kinana na kikwete na waarabu wao wamekuja kuchukua mali zao, si mmeshauzwa kitambo, mtajuta kuichagua ccm, shame upon them
 
Usilete udini kwenye issue ya rasilimali ya taifa


Nyie mnafurahisha sana, yani mna akili za kitumwa sana hao wazungu na waarabu wanahusiana nini na dini zenu, yaani mnaacha uafrika na utanzania wenu mnalumbana kisa wazungu na waarabu, dah afrika bado sana aise hizi njaa zinaathiri hadi uwezo wetu wa kufikiria
 
Je, hamutaki mafuta?? Au daladala zenu zatumia kuni na makaa? hao wametremka mchana kweupe kwenye uwanja wa kimataifa KIA...... ulimwengu wa kibiashara acha protocol ifanye kazi yake.

Mi nashangaa wsnadhani mafuta yanatoka wapi? Acheni kupiga kelele zisizokuwa na faida kwa watanzania, kama mna chuki kwa sababu mnazozijua wenyewe, huyu raisi ni chaguo la watanzania go go kikwete, u have our full support
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom