Afro-Arabica
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 1,107
- 493
Je, hamutaki mafuta?? Au daladala zenu zatumia kuni na makaa? hao wametremka mchana kweupe kwenye uwanja wa kimataifa KIA...... ulimwengu wa kibiashara acha protocol ifanye kazi yake.wanataka nini hawa watu,au kwa sababu jamaa yao anamaliza kazi mwakani ndio wanataka nini?watatumalizia wanyama wetu hawa,jamani tumake twendeni KIA kulala pale
View attachment 133844