Dege Kubwa latua KIA

Dege Kubwa latua KIA

hao mahayawani wamesha checkin na wapo waiting lounge room? ....
 
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.

Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.

Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!

Wanaume wameteremka na hili pipa :-
images
 
Usilete udini kwenye issue ya rasilimali ya taifa

Wazungu hawaji africa kuchukua rasilimali?lingetua la mashoga wazungu,watu kama nyie mngesifia watalii wamekuja watatuingizia fedha za kigeni
 
TANZANIA na mikataba wenyewe kuridhia;-
[h=1]Saudi Arabia and Tanzania take steps beyond tourism relations[/h]
apolinair.jpg



BY APOLINARI TAIRO, ETN TANZANIA CORRESPONDENT | JAN 21, 2014TANZANIA (eTN) - Building good relations in tourism, Saudi Arabia and Tanzania are looking at biodiversity conservation and wildlife protection as areas of cooperation involving youths from the two countries.
Rich in history and religious antiquities, Saudi Arabia is now borrowing a leaf from Tanzania's wildlife resources for the Kingdom's future biodiversity conservation and tourism.
The Kingdom of Saudi Arabia has organized and sponsored a ten-day Youth Dialogue Forum in Tanzania and which brought together 50 youths from both Tanzania and Saudi Arabia.
The Minister of State for Foreign Affairs of the Kingdom of Saudi Arabia Dr. Nizar bin Obaid Madani inaugurated Saudi-Tanzanian Youth Dialogue Forum taking place in Tanzania's northern tourist city of Arusha, reports from the Kingdom's Ministry of Foreign Affairs said.
A delegation of Saudi youths participating the forum including specialists from Saudi Wildlife Commission, coordinators and supervisors of the Forum's organization, and 20 male and female youths from 13 Saudi universities, reports available to eTN from the Kingdom said.
With a theme "Construction and Implementation of the Regulatory Framework for Biodiversity Conservation", the Youth Forum is an initiative by King Abdullah Bin Abdul-Aziz of Saudi Arabia for promoting dialogue among youths worldwide under the program of Saudi International Youth Dialogue Forums.
Youths attending the forum are expected to visit Tanzania's famous Serengeti National Park for three days to gain a field experience from various wildlife conservation projects in the park, among them, the black rhino management program; wild dogs reintroduction project, lion and hyena research projects.
 
Mungu aliwapenda tembo wetu lakini binadamu akawapenda zaidi 🙁
 
Mungu aliwapenda tembo wetu lakini binadamu akawapenda zaidi 🙁
 
kuuza tembo hai na twiga ni halali na nijuavyo kuna makampuni zaidi ya miambili yamesajiliwa kwa biashara hiyo, kwa hiyo yapo kisheria kabisa
 
Leo atapandishwa nyoka au Mamba kaa chonjo hao ndo waarabu hai
 
Sasa ndio jukumu lako kama mTanzania kuchunga mali yetu.......lete reg no yake na picha kama unaweza.......na uchunguze imekuja kufanya nini........ni haki yako kujua.......
...wenyewe' hawataki hilo dege lipigwe picha...! Wanaturushia mawe

attachment.php
 
TANZANIA na mikataba wenyewe kuridhia;-
Saudi Arabia and Tanzania take steps beyond tourism relations

apolinair.jpg



BY APOLINARI TAIRO, ETN TANZANIA CORRESPONDENT | JAN 21, 2014TANZANIA (eTN) - Building good relations in tourism, Saudi Arabia and Tanzania are looking at biodiversity conservation and wildlife protection as areas of cooperation involving youths from the two countries.
Rich in history and religious antiquities, Saudi Arabia is now borrowing a leaf from Tanzania's wildlife resources for the Kingdom's future biodiversity conservation and tourism.
The Kingdom of Saudi Arabia has organized and sponsored a ten-day Youth Dialogue Forum in Tanzania and which brought together 50 youths from both Tanzania and Saudi Arabia.
The Minister of State for Foreign Affairs of the Kingdom of Saudi Arabia Dr. Nizar bin Obaid Madani inaugurated Saudi-Tanzanian Youth Dialogue Forum taking place in Tanzania's northern tourist city of Arusha, reports from the Kingdom's Ministry of Foreign Affairs said.
A delegation of Saudi youths participating the forum including specialists from Saudi Wildlife Commission, coordinators and supervisors of the Forum's organization, and 20 male and female youths from 13 Saudi universities, reports available to eTN from the Kingdom said.
With a theme "Construction and Implementation of the Regulatory Framework for Biodiversity Conservation", the Youth Forum is an initiative by King Abdullah Bin Abdul-Aziz of Saudi Arabia for promoting dialogue among youths worldwide under the program of Saudi International Youth Dialogue Forums.
Youths attending the forum are expected to visit Tanzania's famous Serengeti National Park for three days to gain a field experience from various wildlife conservation projects in the park, among them, the black rhino management program; wild dogs reintroduction project, lion and hyena research projects.
sasa vijitu 50 dege lote hilo la nini.., au ndio wamekuja kufanya shopping ya tembo na twiga..?
 
Kama ni kubwa sana basi safari hii litabeba tembo,faru na nyangumi.
 
Andikanamba yahilodege let a ofisi za cdm tulifanyie uchunguzi
 
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.

Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.

Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!

ni kweli aisee kuna msafara bubu hapa umepita na ving'ora mara mbili unapita barabara ya arusha moshi ukisindikizwa na magari ya tanapa ma vx kibao! Hawa ni majangiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom