charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,373
Awamu hii wapeni sungura, digidigi na swala tu wanataka kutuzoea
Hapana mkuu,safari hii tutawapa fisi tu.
Awamu hii wapeni sungura, digidigi na swala tu wanataka kutuzoea
Okay Fido, wewe tukuletee nini ufaidi? (ngamia)... Good Fideli usijumlishe, sema baadhi au nipe point zako tuzitafakari wewe weka chuki aside lete mantik.
Picha haraka
Fact Mr. Remote.... Kwa busara na long vision Mipangilio ya Mungu "anakupa wewe ana mnyima yule" Kawapa Wazungu akili/elimu na kujituma wakaweza kuunda hi-tech, Mungu kawapa waafrika ardhi,Rasilimali na maliasili lakini akapunguza " " na Mungu akawapa Waarabu jangwa tupu kavu,kame lakini wanajimbua MAFUTA na kupata PETRODOLA.....Cash money to buy life leasures!!! Mungu akawapa waChina maarifa wakaweza kututengeneza Basic items!! Sasa Shida ipo wapi? hapo kila mmoja anamfaa mwengine!!Kibaya zaidi ni Twiga na vifaru wetu
FidoEee Loliondo ipo nje ya TANZANIA ??????????????? yaani unasema hakuna serikali huko? FYI, nimeshuhudia kuna shule za maana kuliko Dar mjini, nimeona Cliniki (zahanati/Hospitali) zenye vifaa bora,dawa kuliko MNH, nimeona barabara yenye kuvutia, nimeona maji yatokayo bombani safi 24/7 ...acha mkuu tafadhali wewe uende mwenyewe usisikie ya kuambiwa!!Njoo uone huku Loliondo ukatiri wa waarabu, na wanavyo jimilikisha vitaru
Fact Mr. Remote.... Kwa busara na long vision Mipangilio ya Mungu "anakupa wewe ana mnyima yule" Kawapa Wazungu akili/elimu na kujituma wakaweza kuunda hi-tech, Mungu kawapa waafrika ardhi,Rasilimali na maliasili lakini akapunguza " " na Mungu akawapa Waarabu jangwa tupu kavu,kame lakini wanajimbua MAFUTA na kupata PETRODOLA.....Cash money to buy life leasures!!! Mungu akawapa waChina maarifa wakaweza kututengeneza Basic items!! Sasa Shida ipo wapi? hapo kila mmoja anamfaa mwengine!!
Je, Mungu angelituweka wote sawa ?ingelikuwaje? hii nuture.....
Mkuu R, Fact is fact hakuna kupindisha habari:-Ndio kusema unasapoti utoroshwaji wa twiga!?
Well said... funga file.Sijui mnashangaa nini hapa hawa watu wame invest kila kona ya dunia, Mohammed al Fayed alipouza Harrods la Knightsbridge wamenunua ma tycoons wa Qatar timu za mipira ulaya wamewekeza sasa nyie mnalalamikia tembo kama tunawauzia kila tembo $100,000 au zaidi waacheni wakarembe garden zao so whaaaaaat
Ndio...Za kwako?Kumbe nahuku upo?
Naona unaisemea!!Acheni kuropoka. Serikali ipo makini kuliko mnavyodhani.
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.
Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo,
Weka picha tafadhali.
Jizi likiona jambo la kigeni linadhani jizi jingine linataka kumpiga bao!Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.
Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.
Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!
Wonderfull comment and well said Mkuu Kapongo umesema ya kweli na wasawahili husema hivi "Msema kweli mpenzi wa Mungu" Big-UP ujaaliwe kila la kheri.Good luck...Jizi likiona jambo la kigeni linadhani jizi jingine linataka kumpiga bao!