Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.
Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.
Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!
Kama lipo la aina hii na limekuja na watu 50.Sina la kusema tembo na twigwa waweza bebwa bila kuinama.
Mmemfanyia fitna Kagasheki mnategemea nini..?
Wawabebe tu
Na mimi nasema wawabebe tu
|
| http:/bineb [TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD][TABLE="class: yiv8959096415"] [TR] [TD] h |
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.
Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.
Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!
Lingekua la wazungu ungesema hivyo?
Sasa ndio jukumu lako kama mTanzania kuchunga mali yetu.......lete reg no yake na picha kama unaweza.......na uchunguze imekuja kufanya nini........ni haki yako kujua.......
Kaa kimya kama huna lakuongea walivyo ondoka mara ya kwanza serikali ilienda holiday? acha kujitoa fahamu! unaweza ukapitiliza na fahamu zisirudi ukabaki chizi keep it for next use.Acheni kuropoka. Serikali ipo makini kuliko mnavyodhani.
...wenyewe' hawataki hilo dege lipigwe picha...! Wanaturushia mawe
![]()
Mafuta (oil, petrol,diesel,Kerosine,Lami,) sii mnapataa? au tusimamishe biashara mlale na koroboii!Wacha wakumbushiw biashara ya utumwa! !!!!