Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,771
- 5,268
Nyie wote mnaolialia "Wanyama wetu"!!! "Wanyama wetu"!!, na nyie vilevile mnaweza kusombwa, tena kwa hiyari zenu, kwenye dege la Waarabu mkapelekwa kwenye zoo Uarabuni sambamba na Twiga na Tembo, and believe me, you're always dispensable in Tanzania, na hamna faida yoyote kama kenge, twiga, na ngiri wa mwituni, unless Waarabu comes along and shows interest in your ass.