Ndio ilivyo unalipa 750/- pale Kibaha na tiketi haichanwi unakuja kimara unaendelea na safari ama kwenda gerezani au kivukoni!!! Swali kwani huwezi safiri kwa bei hiyo kutoka kivukoni/gerezani kwenda kibaha? Fanya utafiti kabla ya kuropoka!!!wewe bongo yoyo yaan utoke kibaha mpaka gerezani kwa 750 iyo mwendokasi ya wapi au ya china, nauli ya kibaha mpaka kimara ni 700 utoke kimara mpaka gerezan ni 750 jumla 1450