Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,280
- 10,052
Ungeelewa nilichoquote ndio ungepata jibu.Na asilimia kubwa ya wanaotekwa? Mmeshindwa udini ,siasa mnatafuta pa kutokea ,hiki kizazi ni tofauti na huko nyuma hao wanaomiliki kampuni wanapaswa kuwaza tofauti hivi visingizio havitasaidia vijana wamekataa ,siku watapata tu mbinu na njia na mbuyu utaanguka