Hii episode ya 60 days before the dark days inafanana kabisa na yale maelezo ya Mh. Slow slow aliyo yasema mwaka huu wa 2025 kabla ya kupotezwa!! Shemeji Pascal Mayalla una maoni gani hapa!Inaendelea.......
60 days before the dark days ........
(Flash back)
Someone called the boss na kumwambia you are in danger, some people are planning to take you out! Hawako na furaha ya hiki unacho fanya! Boss kama kawaida yake kujiamini sana, anadai yeye anaprotection ya kutosha, and if, alisalimika last time akiwa kama cashier wa kampuni ni urongo na upuuzi akiwa the CEO kuwa termineted!!
The boss anaamua kuongeza udukuzi kwa adui zake, lengo awaumbue kumbe they knew and walimpa alichotaka asikie but behind the corridor unyeti wa mambo unaendelea
Kosa kubwa ni kumundermine the old boss A.K.A the king maker!! So the old boss alijua kuna the old CEO kabla yake ambaye ndie alimtengeneza huyu CEO wa sasa. Hata wakati wa mapendekezo tha CEO aliinsisit huyu CEO apewe nafasi kuinusuru kampuni!! Na inavyo onekana huyu ndie behind the scene director wa the existing CEO
They called a meeting, involving one of his closest top security friend from the company! And then come up with targets chart board! Ile bord ilikua ikimuonesha the new boss na subordnates wake wooote wanaompa kiburi
Wakati huo, big boss na yeye akiwa hajui akaona am cut off totaly old boss in the company, aka select new secretary akamuondoa the old one, then na new public relation officer, wote wakiaminika hawakuwahi kuwa ndani ya kampuni!! Maswali kwa wafanyakazi wa chini walio dhani wana opportunity ya kuchukua hizo nafasi yakaanza but hofu iliyafanya yapoteee
The top security na vijana wake waka-identify targets wao na kupewa go ahead, but before anything kulikuwa na a very deep informer direct kutoka kwenye meza ya new boss!!
bwana weee!!
Wakaanza na yule old CEO, pitanaye in a way no one noticed!
Big boss was shorked and hakuamini! He was told he died from a normal death! One thing he didnt know is that, inside the office kuna mtu alikuwa anatoa taarifa kwa the old boss, na huyu mtu ni mtu wake wa karibu sanaaa!
The new boss ameshahangaika kumjua huyu mtu but amefail several times. Huyu mtu ndio alitoa time table ya the old CEO anaye aminiwa na new CEO wapi watakutana so that the agent responsible for the assasination can do his job!!
Huyu mtu ndie anaetoa taarifa kwa the old CEO timetable nzima ya the big boss, anakula nini, amelala saa ngapi, anafanya nini, anawaza nini na maamuzi yake ni yepi, sababu mtu huyu alitokea kuaminiwa sana na the big boss in town
So how did they terminate mzee muibua kipaji cha CEO......................
Who is the deep informal......
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20...
La primera opción es fácil y segura sin derramamiento de sangre, excepto que muchos de los "wenye kampuni" que persuaden a "kukinukisha" son impulsados por las emociones, alentados por sus falsas imaginaciones, au niseme chuki walizo lishwa zime-overwhelm their Inteligence, ability ya kufanya maamuzi iko below common sense.Si quieren que ellos se bajen del carro, solo quedan dos jugadas:
👉Hacer silencio y dejar que la marea acomode todo, o
👉Que suene la tambora…
AsĂ es la pura candela.
Mkuu umeweza kung'amua chochote katika hizo codes? Mie nimeona tu kichwa kinaniuma duu, yaani bora hizi za Yoga naokota okota angalau kidogo .Kuna uzi humu JF huwa unamwaga codes za kufa mtu. Ila codes zenyewe zimesukwa kwa ufundi mno, usipotuliza akili utahisi jamaa ni kichaa!
Sawa, kama itawezekana kuwajaza barabarani kwasiku tatu tu mtafanikiwa, ila nakukumbusha kunakitu kinaitwa divide and rule
Please Be careful,
Yeah niliuona pia...Kunaoneka Kuna watu wanfanya placing , Kuna Uzi wa malcom lumumba pia anawaza the same thing maandamano dar yalikuwa too well executed for first timers
yoga siku za mwishoni mwa uhai wa mwendazake, wakati taifa likiwa linahaha kujua alipo ulisimama kidete kuaminisha watu kwamba mzee yuko sawa. Je na wewe ulikuwa gizani kama sisi au ulikuwa katika utekelezaji wa majukumu ya kikazi kututaka tusubiri tamko rasmi?
Inaonekana una hofu kuu..Please Be careful,
Hukumsoma katikati ya mstari...hizo alama za mshangao hayakuwa mapambo. Ulikuwa ujumbe huoyoga siku za mwishoni mwa uhai wa mwendazake, wakati taifa likiwa linahaha kujua alipo ulisimama kidete kuaminisha watu kwamba mzee yuko sawa. Je na wewe ulikuwa gizani kama sisi au ulikuwa katika utekelezaji wa majukumu ya kikazi kututaka tusubiri tamko rasmi?
Endelea na Kazi Ndugu... wengine walishindwa kujiongeza kuelewa ujumbe wako.Please Be careful,
Ulikua sahihi.Please Be careful,
Just be informed mkuu. Km huoni faida ya kuwa informed hilo sio jukumu lake sasa.Sema moja ya kitu najiuliza anachofanya hapa ni kwa faida ya Nani ??
If they want them to back down, there are only two options left: 👉Stay silent and let things settle down, or 👉Let the drums roll… That's just how it is.Si quieren que ellos se bajen del carro, solo quedan dos jugadas:
👉Hacer silencio y dejar que la marea acomode todo, o
👉Que suene la tambora…
AsĂ es la pura candela.
Vipi Jf haiko safe tenaPlease Be careful,
🫡La primera opción es fácil y segura sin derramamiento de sangre, excepto que muchos de los "wenye kampuni" que persuaden a "kukinukisha" son impulsados por las emociones, alentados por sus falsas imaginaciones, au niseme chuki walizo lishwa zime-overwhelm their Inteligence, ability ya kufanya maamuzi iko below common sense.
Entonces optarán por lo Ăşltimo, algo que implicará derramamiento de sangre. Tiene consecuencias inmediatas, haijalishi itakua ni positive au negative, kufanikiwa au kutofanikiwa lakini aunque si miro a los "wenye kampuni" es como algo para lo que la mayorĂa de ellos no están preparados. Lo digo de nuevo, no están preparados en absoluto.
Kujikomboa kunahitajika mipango madhubuti, mipango inayoweka bayana nini tunahitaji, mipango yenye kujua tukitoka kituo A tunaenda kituo kipi kisha kipi na mwisho tunamalizia wapi. Hao viongozi wa msafara na wafuasi wao wanahitaji kua na "the same purpose, same objective sio kila mtu na yake. Mfano "fast-fast" ni kama alikua hamkubali CEO pekee ila yupo pa1 na MCC kama wenye dhamana ya kuongoza kampuni. Swali la kujiuliza ni hatumtaki CEO au hatumtaki BT au hatuitaki "Yanga"? Kama hatumtaki CEO, then who else?... Kama hatulitaki genge la BT, je ndio genge pekee lililopo? Au ndio pekee tunalolijua? Je kama shida ni "Yanga" hao "Msimbazi" tuna hakika kama wataweza kutufikisha nchi ya ahadi?
Tunachohitaji ni kipi haswa? Binafsi ndio naona ni swali la msingi kabla ya kila kitu. Historia haidanganyi, mambo mengine hayajatokea enzi za kale ni juzi tu miaka 10 imepita. Kwa zile tik taka za WAKAU kubadili mshika bendera kwa mwenye akili timam inampa picha tuna hawa tunao waita "wapambanaji" wa aina gani, wapo kwa ajili yetu au kwa ajil ya maslahi yao, and funny enough most ndio wale wale sema "wenye kampuni" ni wasahaulifu. So sioni muelekeo zaidi ya kwenda kuitia nyumba kiberiti kisha kulala kibarazani kwa jirani tukihisi tunakomoa kumbe tunajikomoa.
Kama hakuna same objectives, same purposes "wenye kampuni" wataendelea kutumika sana na kutolewa kafara kizembe mno while "opportunists" behind the curtains wana advance mbele kwa kila "crisis" inayojitokeza either kwa kupangwa au bahati mbaya japo binafsi siamini katika hilo la pili (bahati mbaya)
Nimeona nguvu ya devide and rule hii nguvu ya matamko ya dini ni kuondoa maandamano kwa kuwa elimu ni ndogo kuna watakao kubali haya matamko.Please Be careful,
Tekinolojiaaaaaayoga siku za mwishoni mwa uhai wa mwendazake, wakati taifa likiwa linahaha kujua alipo ulisimama kidete kuaminisha watu kwamba mzee yuko sawa. Je na wewe ulikuwa gizani kama sisi au ulikuwa katika utekelezaji wa majukumu ya kikazi kututaka tusubiri tamko rasmi?