Dark days 17/03/20...

yoga

JF-Expert Member
Jan 6, 2013
1,808
8,306
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike

Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!

Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.

Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!

Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!

Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!

The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!

Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!

Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!

Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!

Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!

Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!

The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?

Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!

The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!

Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!

Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!

Let see will the new boss stick to the plan? or...


Itaendelea.......


Guess the company!??

Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...

Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
 
Inaendelea.......

60 days before the dark days ........

(Flash back)

Someone called the boss na kumwambia you are in danger, some people are planning to take you out! Hawako na furaha ya hiki unacho fanya! Boss kama kawaida yake kujiamini sana, anadai yeye anaprotection ya kutosha, and if, alisalimika last time akiwa kama cashier wa kampuni ni urongo na upuuzi akiwa the CEO kuwa termineted!!

The boss anaamua kuongeza udukuzi kwa adui zake, lengo awaumbue kumbe they knew and walimpa alichotaka asikie but behind the corridor unyeti wa mambo unaendelea

Kosa kubwa ni kumundermine the old boss A.K.A the king maker!! So the old boss alijua kuna the old CEO kabla yake ambaye ndie alimtengeneza huyu CEO wa sasa. Hata wakati wa mapendekezo tha CEO aliinsisit huyu CEO apewe nafasi kuinusuru kampuni!! Na inavyo onekana huyu ndie behind the scene director wa the existing CEO

They called a meeting, involving one of his closest top security friend from the company! And then come up with targets chart board! Ile bord ilikua ikimuonesha the new boss na subordnates wake wooote wanaompa kiburi

Wakati huo, big boss na yeye akiwa hajui akaona am cut off totaly old boss in the company, aka select new secretary akamuondoa the old one, then na new public relation officer, wote wakiaminika hawakuwahi kuwa ndani ya kampuni!! Maswali kwa wafanyakazi wa chini walio dhani wana opportunity ya kuchukua hizo nafasi yakaanza but hofu iliyafanya yapoteee

The top security na vijana wake waka-identify targets wao na kupewa go ahead, but before anything kulikuwa na a very deep informer direct kutoka kwenye meza ya new boss!!

bwana weee!!
Wakaanza na yule old CEO, pitanaye in a way no one noticed!

Big boss was shorked and hakuamini! He was told he died from a normal death! One thing he didnt know is that, inside the office kuna mtu alikuwa anatoa taarifa kwa the old boss, na huyu mtu ni mtu wake wa karibu sanaaa!

The new boss ameshahangaika kumjua huyu mtu but amefail several times. Huyu mtu ndio alitoa time table ya the old CEO anaye aminiwa na new CEO wapi watakutana so that the agent responsible for the assasination can do his job!!

Huyu mtu ndie anaetoa taarifa kwa the old CEO timetable nzima ya the big boss, anakula nini, amelala saa ngapi, anafanya nini, anawaza nini na maamuzi yake ni yepi, sababu mtu huyu alitokea kuaminiwa sana na the big boss in town


So how did they terminate mzee muibua kipaji cha CEO......................

Who is the deep informal......

Muendelezo Soma Dark days 17/03/20...
 
Kabla ya uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anaye mtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi ya fanyike

Baada ya uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu yakuuwa teams!

Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kumkontrol kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.

Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadirika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa offisi!

Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote yamtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslai ya mtoa kijiti kwenye kampuni!



mbaya sana, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni yakwake na bila yeye haiendi!


New boss Alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wakumpangia! Hataki maelekezo na kwanza halekezeki!

Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ninani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!

Haikua habari njema saaaana kwa mwenye kijiti before 2015 na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!

Alichokifanya nikuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kumnotify ironically kuwa anajua wanacho mjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au amejisucrifise yupo tayari kwa lolote!

Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zina zimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stake holders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wazamani wanatupwa nje ya ukuta!

Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wakuhakikisha hilo linakamilika!


The old boss akakaachini akafikiria akaona kama huyu four years tu kanifanya hivi je 20 years to come??


Muda ukakwenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!

Big boss kajichanganya during campaings, kapigwa tukio, after uchaguzi wa kampuni only three monthes katema ndoano!

Assistance wake kaitwa chemba, maelekezo kapewa chukua kijiti, fanya reform mambo yanapaswa kurudi kama zamani!

Assistance kuangalia hali ilivyo, kaanza kurudisha the old stracture kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is onother CEO!!

Let see will the new boss stick to the plan? Or............


Itaendelea..............


Guess the company!??
Iko wazi sana hata mimi nimeelewa japo huwa nina kichwa kigumu ku crack hizi code .
 
Bwana mmoja akiwa na ndugu yake walikwenda kuwinda, wakiwa mawindoni ndugu yake akafanikiwa kupata kitoweo. Lakini yule bwana hakufanikiwa kupata kitoweo. Ikatokea siku moja tena wameenda kuwinda yule ndugu yake akapata kitoweo, yule bwana akaona njia pekee ni kumuua yule ndugu yake porini na kumzika na kisha kurudi na kitoweo nyumbani.

Alipoulizwa habari ya ndugu yake akasema kuwa, alimuacha porini mwaka ukapita, miaka ikapita. Akiwa na baadhi ya jamaa wengine wakiwa wamewinda na mwishowe wale jamaa kupata vitoweo na yeye kukosa. Yule bwana akawaambia wale jamaa, Nyinyi hamnijui vizuri kuwa ndiyo nileyemuua ndugu yangu na kisha kumzika.


Sasa maana yake ni hivi kwa sasa wanasiasa watakuja na manene matamu kwa kuwa wapo mawindoni ila 2030 tutajua nani ni muwindaji.
 
Deep informal alielewa his assignmen well! Alijua jinsi the big boss anapendwa kutukuzwa so he ensured that kumtukuza is done 100 %

So kulikuwa na meeting kati ya the new boss na the old old boss, hii meeting ilikuwa inahusu tender ya invester mmoja mgeni toka west africa kutumia moja ya plots za kampuni kuwekeza kwenye kampuni kama bond ya uwekezaji wake!

This man from west africa alikuja alone with his private jet na assistant wake mmoja tu kunegotiate the deal! Aliitaka hii plot since iko sehem mzuri na inapotential kwa biashara yake ya saruji

Hii plot ili wahi kuchukuliwa na CEO wa 2010 - 2015 kutoka kwa CEO wa 2000 - 2005 tena in bard terms! So the meeting ilikuwa kwanza kurudisha ownership ya plot hiyo kwa the old CEO wa 2000 - 2005 then yeye ndio asign deal na tajiri from west africa kitu kilicho mkera sana the CEO of 2010 to 2015! Maana plot hiyo aliifanya kama yake!

So wakati meeting preparation zinaendelea our deep informal kumbuka yeye ndio planner wa event yote pale headqutors! Alichofanya katika zile protocal za kupokea wageni moja ya askari aliwekwa ndani specific kuhakikisha when The old CEO atakapo fika headquators basi anatimiza wajib wake

Huyu askari alikuwa na kitu inaitwa polonium 210, hii kitu huwa inatiwa kidogo tu kwenye chai, water or juice na always humuondoa mtu in between 25 to 30 days since amepewa! The guy anderstood the asignment!

The old CEO loved coffee, nahapo ndio nyudo ilipo pigiwa! So wakiwa wanamsubiri tajiri from west africa, agent anatimiza kazi yake. Mkutano baadae unakwenda vizuri, makubaliano yanakamilika na kinachobaki nikutia siganture tu!

Sasa bwana......., the old CEO katoka vizuri headquators six days after the meeting akaanza kutokujiskia vizuri akampigia simu kijana wake kumwambia toka ametoka hapo makao makuu he was not fine!! Kijana akaamua kumpeleka hospitali for full check up.

The doctor alifanya checkup was one of the secret agent kwenye cycle ya CEO wa 2010 - 2015 dawa za hapa na pale kuchengesha muda tuuuuuu, stage two hiyoooo ikaingia things got sereous, after 16 days he was no more!

One man down ......one man down........... I repeat one man down........... !!!!!


New boss could not suspect enything since tukio limechezwa kwake na anapaamini 100% so he trusted doctors reports kumbe something big was on the way!!

Kwenye target board one mtoa kibri kwa our new CEO has gone! few to come!! These guys bana walikua sereous na jambo lao

New boss kwakuwa aliyemtoka ni mentour wake, na alisha kuwa CEO wa kampuni kama yeye, so alitaka mazishi makubwa, mazuri na ya heshima kumuenzi boss wake wazamani! So he called the his planner, kumbuka planner ndio deep informal!

After the successfullnes of the first mission now comes the second mission!!


Ukiskia kuuna ndege wawili au zaidi kwa jiwe moja ndio hii sasa!

Deep infomal akachora ramani zoote za remained target watako fika mazishini nyumbani kwa the late CEO. Ramani ikatua kwa the KING MAKER, vijana waka kaaa na kusuka the whole plan!

Targets kweli wakaenda ispokuwa mmoja tu. kilicho wakuta huko hao wengine no one noticed, baada ya kurudi, mmoja baada ya mwingine nikurudisha jezi kwa kipa

Now the new boss felt something un usual was goin on!! But it was tooooooooo late!

Kashtuka he is alone,

Unamjua aliye baki? .......
Nakuja..... Nalala kwanza ........
 
Back
Top Bottom