Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,519
- 6,153
New memberMpo jukwaa la intelligence hamjui CIA na wengine vile wanaoperate kwenye LDCs poor Gadafi trusted BRN T with his 6 akidhan spirit ya pan africanisim bado imo akilini mwake!
Ivi Mkuu YOGA who exactly took out Mchonga?
Hii ameshakujibu?yoga siku za mwishoni mwa uhai wa mwendazake, wakati taifa likiwa linahaha kujua alipo ulisimama kidete kuaminisha watu kwamba mzee yuko sawa. Je na wewe ulikuwa gizani kama sisi au ulikuwa katika utekelezaji wa majukumu ya kikazi kututaka tusubiri tamko rasmi?
Siku tukiwamiwa watakufa kama mbwaMabakamabaka.
heri ya mgambo kuliko baadhi ya hawa waliokubali kuwa na wezi wa rasilimali za nchi.
Ulimwengu wa sasa kijeshi wanawekeza kwenye teknolojia kupigana vita,
Wao hapo bado wako na akili zile zile za 1977
Yoga, (sijui ni dada au kaka), huenda ukawa umebeba nuru ya watanzania wenye maumivu juu ya mwelekeo wa nchi.Natamani niseme kitu basi tu!!
Hatutaki kujua jinsia yake, tunachotaka atupe vituYoga, (sijui ni dada au kaka), huenda ukawa umebeba nuru ya watanzania wenye maumivu juu ya mwelekeo wa nchi.
Unaposita kusema, unafifisha nuru hiyo na kuwaacha watanzania wazame gizani zaidi ya ilivyo sasa.
Fanya kitu, sema, huenda tutajua cha kufanya.
Kipenzi ukweli hua ni mchungu sana na Huwa unakataliwa,
Ogopa mtu anaye kupa matumaini hewa❤️🩹❤️🩹
Bado mnapenda kupewa matumaini yasiyo kuwepo
Niliwahi kusema hapa msisubiri ndege stand sindio??
Narudia Tena Hawa watu wanadharau ya Hali ya juu sana, Tena ya juu sana juu yenu and they are ready for anything!!
Kupambana nao inabidi vichwa vitulizwe,
watu wanaplan mpaka 2050 nyie mnawaza 9dc
Its gang gang!! Kwa namna hii ya kuamua mambo kwa hisia na mihemko na ninacho kijua, hawatoki kirahisi kama mnavyo Dhani!! Muda utaongea
Any ways tukutane DEC!!!!!guts
Wana dharau, wajinga na guts zilizopitiliza. Ila kuashiria wana akili zilizopitiliza si sawa kwa kuangalia tu matendo yao na kauli zao za kustaajabisha.Kipenzi ukweli hua ni mchungu sana na Huwa unakataliwa,
Ogopa mtu anaye kupa matumaini hewa❤️🩹❤️🩹
Bado mnapenda kupewa matumaini yasiyo kuwepo
Niliwahi kusema hapa msisubiri ndege stand sindio??
Narudia Tena Hawa watu wanadharau ya Hali ya juu sana, Tena ya juu sana juu yenu and they are ready for anything!!
Kupambana nao inabidi vichwa vitulizwe,
watu wanaplan mpaka 2050 nyie mnawaza 9dc
Its gang gang!! Kwa namna hii ya kuamua mambo kwa hisia na mihemko na ninacho kijua, hawatoki kirahisi kama mnavyo Dhani!! Muda utaongea
Any ways tukutane DEC!!!!!
LAST CARD sioNature will decide (watu Bado hawaelewi hii sentensi)
Bado nasubiri mkuu 😆😆Hii ameshakujibu?
Asilimia mia anakuja hapa kuwaazoofisha kisaikolojia!shtuka!
Ni ujinga mkubwa na inaumiza sana mkuu hizi vita zao waaathirika wakubwa ni Wananchi wa hali ya chini na kuidhoofisha nchi.What a disgrace, tunashabikia sijui timu magu na timu blaablaa wakati tunaoumia ni sisi raia wa kawaida, eti timu flani hawajausoma mchezo, kuna wapumbavu wengi hapa mkipewa nafasi mtatupeleka kuzimu na sio shimoni.
Hili ndilo lililocheleweaha maandamano na ukombozi watu wanaogopa kusema haya matatizo alianzisha Magu.What a disgrace, tunashabikia sijui timu magu na timu blaablaa wakati tunaoumia ni sisi raia wa kawaida, eti timu flani hawajausoma mchezo, kuna wapumbavu wengi hapa mkipewa nafasi mtatupeleka kuzimu na sio shimoni.
Asilimia kubwa ya waliondamana ni wafuasi wa Magu……Hili ndilo lililocheleweaha maandamano na ukombozi watu wanaogopa kusema haya matatizo alianzisha Magu.
If you want to shift the balance, you have to hit them where the blow hurts the most. 👉 And you already know:**“Si quieres mover la balanza, tienes que tocarles donde más sienten el golpe.
👉 Y ya tú sabes:
- (su nido)
- (los caminos de riqueza y las ventanas del país)
- Las voces que conectan y los fuegos que alimentan la ciudad.
Perdona la claridad, pero es la única ruta.
Si no, es perder viaje.
¡Chao!”**
Na asilimia kubwa ya wanaotekwa? Mmeshindwa udini ,siasa mnatafuta pa kutokea ,hiki kizazi ni tofauti na huko nyuma hao wanaomiliki kampuni wanapaswa kuwaza tofauti hivi visingizio havitasaidia vijana wamekataa ,siku watapata tu mbinu na njia na mbuyu utaangukaAsilimia kubwa ya waliondamana ni wafuasi wa Magu……
We nae ni mpuuzi,Magu ndiye alieasisi katiba mbovu ya hii nchi?kutekana hakujaanza enzi za magu ,kumbuka issue ya Dr ulimboka alitekwa kwenye utawala wa nani?Suala la wapinzani kubambikiwa kesi za kipuuzi halijaanzia kwa magu ni toka huko enzi za mkapa.Hili ndilo lililocheleweaha maandamano na ukombozi watu wanaogopa kusema haya matatizo alianzisha Magu.