Maigizo yawe tamthilia yazae attention.
Duh, tueleweshe basi na ile ya tumepikwa
Maigizo yawe tamthilia yazae attention.
HowwIt goes deeper
Labda Wana backup ya ndani zaidi ya hii tunaona!!Howw
Hapa ndipo mstari wa MUNGU unapo anza baada ya mwanadamu kufika mwisho... "HEKIMA ZAKE HAZICHUNGUZIKI" nakumbuka KUTOKA kwenye biblia hasa Sura ya 14...Only God is the only hope!! That's all!!
JaweedHapa una maanisha nini
And the beat goes on....Hili swala halipo kwa sababu mtu aliyefeli form four na la saba akaja kuwa rais. Unadhani Psychologie yake itakuwaje ? Yeye anadhani kila mtu anamdharau. Ongezea ni mwanamke. We are officially cooked. Hamjui Magufuli aliwafundisha nini watu. Magufuli alishamwonesha Samia unaweza kufanya unachotaka na usifanywe lolote. Na hili Magu aliwaonyesha Tanzania nzima. Hata Rais atakaekuja kama katiba haitabadilika atafanya mabaya zaidi.
Inafikirisha na inasikitisha mno.Hii ngoja niirudie hapa.
===
It seems someone is determined to destroy totally the country!!
I still believe! Ipo siku! Ipo siku yaja! Ya sirini yatapofunuliwa, wapo wataotoroka nchi, wapo wataojipiga risasi, wapo wataoomba ardhi ufunuke iwameze.Baada ya kusoma kwa utulivu post ya Yoga, reply anazotoa kwa baadhi ya maswali nakuunganisha dots na zile post za Brittanica, hii ndio conclusion yangu;
1. Kama maandamano yataendelea na wao wataendelea kuwaua bila kujali nani anakufa
2. Wahuni aliowasema Polepole wako serious na mpango wao kuliko watu wanavyodhani
3. Kosa limekwishafanyika na waliofanya kosa ni watu wa CCM na serikalini kwa kuwaacha hawa wahuni wajijenge kwenye kila idara nyeti na sasa walioko kule wote ni watu wao
4. Ili Taifa kutoka mikononi mwao labda wavurugane wao kwa wao au wafe wote (kitu ambacho ni kigumu kutokea)
5. Kinachoweza kufanyika ili tuishi kama zamani kwa amani na utulivi feki ni kile wamarekani wanasema "shut up and drive"! Nothing more
Namba 3 was a fuckn first class mistake! Na litawatafuna hilo! Hawa wahuni ni kina nani hasa? Au ndo the Msogaz,the Rosts and the likes??Baada ya kusoma kwa utulivu post ya Yoga, reply anazotoa kwa baadhi ya maswali nakuunganisha dots na zile post za Brittanica, hii ndio conclusion yangu;
1. Kama maandamano yataendelea na wao wataendelea kuwaua bila kujali nani anakufa
2. Wahuni aliowasema Polepole wako serious na mpango wao kuliko watu wanavyodhani
3. Kosa limekwishafanyika na waliofanya kosa ni watu wa CCM na serikalini kwa kuwaacha hawa wahuni wajijenge kwenye kila idara nyeti na sasa walioko kule wote ni watu wao
4. Ili Taifa kutoka mikononi mwao labda wavurugane wao kwa wao au wafe wote (kitu ambacho ni kigumu kutokea)
5. Kinachoweza kufanyika ili tuishi kama zamani kwa amani na utulivi feki ni kile wamarekani wanasema "shut up and drive"! Nothing more
Mungu ni zaidi ya tuwazavyo na tupangavyo...Baada ya kusoma kwa utulivu post ya Yoga, reply anazotoa kwa baadhi ya maswali nakuunganisha dots na zile post za Brittanica, hii ndio conclusion yangu;
1. Kama maandamano yataendelea na wao wataendelea kuwaua bila kujali nani anakufa
2. Wahuni aliowasema Polepole wako serious na mpango wao kuliko watu wanavyodhani
3. Kosa limekwishafanyika na waliofanya kosa ni watu wa CCM na serikalini kwa kuwaacha hawa wahuni wajijenge kwenye kila idara nyeti na sasa walioko kule wote ni watu wao
4. Ili Taifa kutoka mikononi mwao labda wavurugane wao kwa wao au wafe wote (kitu ambacho ni kigumu kutokea)
5. Kinachoweza kufanyika ili tuishi kama zamani kwa amani na utulivi feki ni kile wamarekani wanasema "shut up and drive"! Nothing more
kumhusisha mungu na siasa hizi za bongo ni kumkosea sana sisi kama wananchi inabidi tujipambanie na sio kumwachia mungu kama mafundisho yanavyotutaka .Mungu ni zaidi ya tuwazavyo na tupangavyo...
Bila Yeye utafeli asubuhi tukumhusisha mungu na siasa hizi za bongo ni kumkosea sana sisi kama wananchi inabidi tujipambanie na sio kumwachia mungu kama mafundisho yanavyotutaka .
Sema dadaNatamani niseme kitu basi tu!!
Tuambie watanzaniaNatamani niseme kitu basi tu!!
Likipata kibali lisemeNatamani niseme kitu basi tu!!