RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 3,663
- 6,906
Sawa ngoja tuone!Nani kasema?
Ngoma mbichi , ngoma mbichi ngoma bado mbichi.
Kanisa ndio litaamua nani ana kalia kiti
Sawa ngoja tuone!Nani kasema?
Ngoma mbichi , ngoma mbichi ngoma bado mbichi.
Kanisa ndio litaamua nani ana kalia kiti
Hatari sanaAmeingia mikataba na majini, (kuzimu) ili aendelee kuwa na cheo kwa malipo ya kumwaga damu nyingi za watu wake wasio na hatia,
Mwisho wa siku anapokuwa Dodoma, Magogoni na Kizimkazi anaishi na kulala kwenye mahandaki.
Lakini hayo hayo majini yanaenda kumnyonga mwenyewe.
Mwache ahahe kuwawinda askari 10 waliokimbia nje ya nchi.
End of the day majini yanaenda kumgeuka.
Kina nani hao? Ndo inatakiwa tuwajue sasaKUna zaidi ya huyo,
Sawa, kama itawezekana kuwajaza barabarani kwasiku tatu tu mtafanikiwa, ila nakukumbusha kunakitu kinaitwa divide and ruleHiyu aliwai kusema hapa shida ni wenye kampuni ambao ni sie wananchi kwamba tulilala sana..haya sasa tumeamka na tunazidi kuamka tutajazana mabarabarani hadi mteme bungo kawambie maboss zako.
Hakunaga nguvu iliyowai kushinda nguvu ya umaa haipo..
Wape mfano wa Caeusescu..na wamepanga UVCCM waje kuharibu maandamano washafeli hao lazima waungane na wananchi sababu huyo mama saiv hakuna anaemuhitaji hadi nyie humo ndani mwajua vizuri tu.
Pima upepo na peleka ujumbe haturudi nyuma!
Whatever the case, divide and rule ndio bomu lingine zito litawalipukia vibaya kuliko la tar 29. Mwamko ukishafikia huku chini kwa watu wa kawaida dawa ni kuchutama otherwise it is going to be worse na mbaya zaidi vidole vyote viko kwao. I'm afraiding kama tar 9 ikitokea kama tar 29 hata kwa 12 hrs tutashangaa. Hii nchi inamezewa mate kitambo na maadui wamesubiri moments like this for long. Wanamtandao penda wasipende watatafuta meza!Sawa, kama itawezekana kuwajaza barabarani kwasiku tatu tu mtafanikiwa, ila nakukumbusha kunakitu kinaitwa divide and rule
Hizo ni hadithi za Mangungo, we are natureSawa, kama itawezekana kuwajaza barabarani kwasiku tatu tu mtafanikiwa, ila nakukumbusha kunakitu kinaitwa divide and rule
Sawa ushachagua upande kabisa.Sawa, kama itawezekana kuwajaza barabarani kwasiku tatu tu mtafanikiwa, ila nakukumbusha kunakitu kinaitwa divide and rule
Asilimia mia anakuja hapa kuwaazoofisha kisaikolojia!shtuka!Hivi kumbe huyu ni mtu wao?
Magufuli alifanya kazi Kwa shida sana. Wananchi tunaona rangi zao halisi sasa baada ya watu kuamka hata wale ambao walitudanganya kuwa wapo nasi wanajiweka wazi wako upande Gani pasipo kutegemea. Inauma sana.Kuna wakati unajiuliza hivi kazi ya usalama wa taifa wetu ni ipi hasa
Hivi kumbe huyu ni mtu wao?
Kweli kabisa aysee kumbe yupo kazini. Naona watu wengi wameshtuka sasa.Asilimia mia anakuja hapa kuwaazoofisha kisaikolojia!shtuka!
Ni kuwalinda Ccm Full stop.Kuna wakati unajiuliza hivi kazi ya usalama wa taifa wetu ni ipi hasa
Watanzania mpo?
Tufikirie kwa angle nyingine yoga sio yupo huo upande au anatisha watu NO…uzi wa muda mrefu huu tukumbuke….nadhani yeye anasema kile anachokiona kwenye mfumo .ukifuatilia kete zake nyingi kama zimetiki ndio maana yeye anasema nature itaamua au kama tutaweza kaza kwa siku tatu na zaidi it’s possible.. ndio maana tunaweza iweka hivi je ni rahisi jibu linakuja HAPANA…then je inawezekana jibu linakuja NDIO