Nimeiweka hapa kama lisaa limeisha naona bilabilaKama una charger zake. Ichomeke kweny moto iache hapo, itachaji yenyew
Nipigie nikupe darasa bei 30000Nitawezaje kutengeneza application zangu na kazi upload kwenye play store
Zinatengenezaga backup, angalia vzur mie natumia gallery lock yenyenyewe inatengeneza backup file kwenye sd card, so nikihamisha smu ni kias cha kulogin tu na kureatore hilo file.Nilidhan applock inasave juu kwaju kama google.
Zinatengenezaga backup, angalia vzur mie natumia gallery vault yenyenyewe inatengeneza backup file kwenye sd card, so nikihamisha smu ni kias cha kulogin tu na kurestore hilo file.Nilidhan applock inasave juu kwaju kama google.
Cx si ina font kwenye hi theme mkuu no need to root ur phoneMkuu Salaam! Nimeona mchango wako hapa jukwaani na nimehitaji unipe msaada wako kama hutojali, Nina simu ambayo ni Android version 7 na ninataka kuiroot hii nafanya kwa sababu nataka kupata mabadiliko ya maandishi kwenye simu hii huwa sifurahii kabisa kutumia simu yenye maandishi ya kawaida. Jana nilijaribu kuiroot manual kutumia supersu ila wakati nataka nipeleke kwenye recovery mode inaonesha ile logo ya android na chini inaandika "No Command" inafanya nashindwa kufanya nachotaka naomba sana kwa msaada wako nisaidie nifanyeje ili niweze kuroot huyu Mchina Tecno CX air. Nitashukuru sana kama utatenga muda wako kunisaidia.
Pia niambie kama kuna hatari yeyote itatokea kama nitashindwa kukamilisha zoezi hilo wakati inainstall asante sana.
Sipendi hizi theme zao.Cx si ina font kwenye hi theme mkuu no need to root ur phone
An-(droid)--robotkuna mengi ambayo naweza kuyaelezea kuhusu neon hilo (android) lakini kiufupi hakuna msamiati mmoja unaoweza kuleta maana yake kamili. kiufupi asili yake ni kilatini ikiwa sawa na neon roboti na hata uundaji wa OS hizi ni matokeo ya utafiti katika uboreshaji wa roboti. yaani kitu au mtu anayeeweza kujiendesha mwenyewe asiyechoka.(misamiati ktk maana hii inaweza isikupe taswira unayotaka lkn dhima ni kupata taswira ya roboti usitukane tafdhali)
Tatizo theme au font mkuu? Kama ni theme zipo kibao play store kama go launcher x, z n.kSipendi hizi theme zao.
Iyo mpaka pc,je pc unayo?? Kama huna nichek pc tufanye kazMkuu naomba unisaidie jinsi ya Ku root android (tecno c7)
Zipo nying tu hata kusoma sms piaWakuu naomba kujua namna au kama kuna application nieze kurecord mazungumzo napoongea na mtu kwa sim
Ndo nataka kuzijua afisaZipo nying tu hata kusoma sms pia
Huku mods wanazingua nichek PM nikupe linkNdo nataka kuzijua afisa
Nimeshakuchek bossHuku mods wanazingua nichek PM nikupe link
Huu wazimuiPhone yangu inakaa na chaji kwa siku 4 je tatizo ni nini ...... ??
Pia iPad yangu inakaa chaji wiki nzima tatizo ni nini....??
[emoji23][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu wazimu