Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

kama unataka kuroot ili ufix hayo matatizo achana nayo maana haitofix.. cmu ukishafanya bootloader unlock na ukaroot tayari ushapoteza warrant na hutoweza pokea official update kwa maana system tayar itakuwa modified

nimekusoma mkuu, sasa hili la kukataa kuingiza system update tatizo ni nini? inadownload system updates fresh ila inapo-restart ili ziingie inasogea kidogo tu na inakwama na inafail hapo hapo. sioni utamu wa hii simu man
 
nimekusoma mkuu, sasa hili la kukataa kuingiza system update tatizo ni nini? inadownload system updates fresh ila inapo-restart ili ziingie inasogea kidogo tu na inakwama na inafail hapo hapo. sioni utamu wa hii simu man
hapo ilipo kama in android6 unataka ku update had wapi tena? cna imani kwamba hyo cmu itapokea nougat update na kama niko sahihi bac updates hizo unazoziona ni zile za kufix some bugs na others to improve some securities na hakuna kitakachobadilika... unataka kuenjoy hyo cmu kwa vipi?.. kama unataka kufanya unofficcial update itakupasa kuinstal custom rom na ili uweze kufanya hvyo itakulazimu ku unlock bootloader, root cmu yako kwa kuflash twrp then instal supersu from twrp then flash custom rom
 
Mkuu shukrani once again kwa kutenga muda wako kunijibu kwa mara nyingine tena!

Samahani nilichanganya ma-file, sio Android 6, ni 4.4.4 (kitkat) kama sijakosea! yaani hata lollipop haijafika, tangu niinunue haijawahi kukubali kuingiza hizo updates licha ya kuwa inaziona na zina-download zote kama MB 300+ Hivi lakini inapo-restart tu, inatembea kidogo tu na shughuli inaishia hapo hapo! nikadhani labda kwa kufanya root inaweza ikakubali kuziingiza! if not naomba unisaidie jinsi nitakavyoweza kuondokana na hili tatizo

Shukran.......
 
Mkuu shukrani once again kwa kutenga muda wako kunijibu kwa mara nyingine tena!

Samahani nilichanganya ma-file, sio Android 6, ni 4.4.4 (kitkat) kama sijakosea! yaani hata lollipop haijafika, tangu niinunue haijawahi kukubali kuingiza hizo updates licha ya kuwa inaziona na zina-download zote kama MB 300+ Hivi lakini inapo-restart tu, inatembea kidogo tu na shughuli inaishia hapo hapo! nikadhani labda kwa kufanya root inaweza ikakubali kuziingiza! if not naomba unisaidie jinsi nitakavyoweza kuondokana na hili tatizo

Shukran.......
unatakiwa kufanya manual update in such a case.... unatafuta official and latest update ya hiyo model yako... kama utapata firmware ambayo iko katika RUU format itakuwa vema maana ni simple kuinstal, zipo pia in ZIP format ambazo utahitaji twrp kuinstal... simply nenda google and search FULL MODEL NAME RUU ambapo model name stands for ur phone model and download it na utafuata maelekezo... utakapokwama feel free kunicheki at anytime
 
unatakiwa kufanya manual update in such a case.... unatafuta official and latest update ya hiyo model yako... kama utapata firmware ambayo iko katika RUU format itakuwa vema maana ni simple kuinstal, zipo pia in ZIP format ambazo utahitaji twrp kuinstal... simply nenda google and search FULL MODEL NAME RUU ambapo model name stands for ur phone model and download it na utafuata maelekezo... utakapokwama feel free kunicheki at anytime

sawa mkuu, wait nijaribu ikigoma nitakujulisha
 
unatakiwa kufanya manual update in such a case.... unatafuta official and latest update ya hiyo model yako... kama utapata firmware ambayo iko katika RUU format itakuwa vema maana ni simple kuinstal, zipo pia in ZIP format ambazo utahitaji twrp kuinstal... simply nenda google and search FULL MODEL NAME RUU ambapo model name stands for ur phone model and download it na utafuata maelekezo... utakapokwama feel free kunicheki at anytime
Mkuu Salaam! Nimeona mchango wako hapa jukwaani na nimehitaji unipe msaada wako kama hutojali, Nina simu ambayo ni Android version 7 na ninataka kuiroot hii nafanya kwa sababu nataka kupata mabadiliko ya maandishi kwenye simu hii huwa sifurahii kabisa kutumia simu yenye maandishi ya kawaida. Jana nilijaribu kuiroot manual kutumia supersu ila wakati nataka nipeleke kwenye recovery mode inaonesha ile logo ya android na chini inaandika "No Command" inafanya nashindwa kufanya nachotaka naomba sana kwa msaada wako nisaidie nifanyeje ili niweze kuroot huyu Mchina Tecno CX air. Nitashukuru sana kama utatenga muda wako kunisaidia.

Pia niambie kama kuna hatari yeyote itatokea kama nitashindwa kukamilisha zoezi hilo wakati inainstall asante sana.
 
Mkuu Salaam! Nimeona mchango wako hapa jukwaani na nimehitaji unipe msaada wako kama hutojali, Nina simu ambayo ni Android version 7 na ninataka kuiroot hii nafanya kwa sababu nataka kupata mabadiliko ya maandishi kwenye simu hii huwa sifurahii kabisa kutumia simu yenye maandishi ya kawaida. Jana nilijaribu kuiroot manual kutumia supersu ila wakati nataka nipeleke kwenye recovery mode inaonesha ile logo ya android na chini inaandika "No Command" inafanya nashindwa kufanya nachotaka naomba sana kwa msaada wako nisaidie nifanyeje ili niweze kuroot huyu Mchina Tecno CX air. Nitashukuru sana kama utatenga muda wako kunisaidia.

Pia niambie kama kuna hatari yeyote itatokea kama nitashindwa kukamilisha zoezi hilo wakati inainstall asante sana.
kwanza kabisa hatari ipo endapo procedures zitaenda wrong bac utaishia kupata bootloop yaani cmu itawaka na kuishia kwenye logo ya tecno na isimalize kuwaka na itakapotokea hvyo bac utalazimika kufanya reinstallation of operating system bt ni mara chache... pia baada ya kufanya bootloader unlock na kuroot cmu yako utapoteza warrant kama bado iko kwenye warrant bt inawezekna tukarelock bootloader na hata kuremove root na hata tecno wenyewe wacjue what happened....go to settings then about phone then tafuta build number and click it seven times au zaid had itakapokwambia YOU ARE NOW A DEVELOPER na kadri utakavyokuwa unaclick itakwambia how many times left.. baada ya hapo go back to setings and juu ya about phone tafuta developer options and click it then enable it na ikiketa any popup click OK then hapohapo shuka chini tafuta USB DEBUG and turn it on and click ok kwa kila popup then tafuta OEM UNLOCK and enable it na kila popup just click yes.... baada ya hapo tutafanya bootloader unlock thru fastboot commands.... Uko fmiliar with fastboot commands?
 
kwanza kabisa hatari ipo endapo procedures zitaenda wrong bac utaishia kupata bootloop yaani cmu itawaka na kuishia kwenye logo ya tecno na isimalize kuwaka na itakapotokea hvyo bac utalazimika kufanya reinstallation of operating system bt ni mara chache... pia baada ya kufanya bootloader unlock na kuroot cmu yako utapoteza warrant kama bado iko kwenye warrant bt inawezekna tukarelock bootloader na hata kuremove root na hata tecno wenyewe wacjue what happened....go to settings then about phone then tafuta build number and click it seven times au zaid had itakapokwambia YOU ARE NOW A DEVELOPER na kadri utakavyokuwa unaclick itakwambia how many times left.. baada ya hapo go back to setings and juu ya about phone tafuta developer options and click it then enable it na ikiketa any popup click OK then hapohapo shuka chini tafuta USB DEBUG and turn it on and click ok kwa kila popup then tafuta OEM UNLOCK and enable it na kila popup just click yes.... baada ya hapo tutafanya bootloader unlock thru fastboot commands.... Uko fmiliar with fastboot commands?
Nilikuwa natumia zamani Kingroot ila haya mambo kwakweli sio mtaalamu nayo, nimeona ili uroot lazima unlock bootloader je hii inafanyikaje.

Samahani kwa usumbufu lakini.
 
Nilikuwa natumia zamani Kingroot ila haya mambo kwakweli sio mtaalamu nayo, nimeona ili uroot lazima unlock bootloader je hii inafanyikaje.

Samahani kwa usumbufu lakini.
huwezi root android 7 kwa kutumia root apps.... kufanya bootloader unlock kuna tools huwa zinatumika bt kurahisisha task unaweza tumia fastboot commands.... BAADA YA KUFANYA BOOTLOADER UNLOCK DATA ZOTE ZITAFUTIKA KWENYE CMU YAKO...boot cmu yako to recovery then REBOOT TO BOOTLOADER na hapo cmu yako itaingia to bootloader mode...chomeka cmu yako kwenye pc, download and instal android fastboot drivers au ukishachomeka cmu go to device manager and utaona ANDROID drivers needs to be updated na utafanya auto update hakikisha pc ina network.... kwenye pc click start then go to search tab an type CMD then enter, type FASTBOOT DEVICES then enter na hapo utaona fastboot devive like H6889H FASTBOOT, type FASTBOOT OEM UNLOCK then enter kisha respond to ur phone's screen
 
huwezi root android 7 kwa kutumia root apps.... kufanya bootloader unlock kuna tools huwa zinatumika bt kurahisisha task unaweza tumia fastboot commands.... BAADA YA KUFANYA BOOTLOADER UNLOCK DATA ZOTE ZITAFUTIKA KWENYE CMU YAKO...boot cmu yako to recovery then REBOOT TO BOOTLOADER na hapo cmu yako itaingia to bootloader mode...chomeka cmu yako kwenye pc, download and instal android fastboot drivers au ukishachomeka cmu go to device manager and utaona ANDROID drivers needs to be updated na utafanya auto update hakikisha pc ina network.... kwenye pc click start then go to search tab an type CMD then enter, type FASTBOOT DEVICES then enter na hapo utaona fastboot devive like H6889H FASTBOOT, type FASTBOOT OEM UNLOCK then enter kisha respond to ur phone's screen
Asante kwa mchango wako mkuu nitatafuta pia mtaalamu wa haya mambo kama nitashindwa asante sana.
 
kama una pc unaweza ukancheki then nkakufanyia baaada tu yakupata access to ur pc thru teamviewer
Sawa mkuu naomba nikutafute Wikiendi maana nitakuwa nipo kwenye eneo langu kwa sasa nipo mbali kidogo.

Niambie mahitaji ili niandae mapema nidownload vitu gani.
 
ICONIA 700 tab imegoma kueaka. Ina boot lakini inaishia kuonyesha welcome screen tu.

Dogo alikuwa ana download a lot of cartoon staffs kwa kutumia hii internet ya kasi ya TTCL ndipo hiyo gadjet ika float na kuzima.

Hapo niifanyeje ili iwake.
 
Nipo njema 100%
Mkuu nina tablet apa haijai chaji yani inapeleka mpaka %16 alafu haziongezeki kabisa lakini uku inaonyesha inapeleka. Natumia chaja yake orijinal na nimejaribu kubadili lakini wapi apa tatizo laweza kuwa nini
 
peace peace wont come back kwenye uzi huu bye.
Mkuu ulikua sahihi sana mana hata mie nilikua najaribu kutafuta jibu la swali lako lkn sasa nimefika page ya 22 bado sijaona jibu.......

Neno Android lenyewe lina maana gani?

And+gate+roid

Sijaelewa kabisaaaaa
 
habari mimi natumia simu aina ya sony xperia m4 aqua dual sim, ttizo ni kwamba haiwezi kudetect na kunoct ktk kompyuta nikitumia USB . tatizo hili nililigundua pindi nilipo ishika kwa mara ya kwanza, nimehangaika kutafta msaada bil mafanikio nimejaribu ktk nyakati tofauti na vifaa tofauti bila mafanikio yoyote,. kwa sasa haiwaki mpaka mwisho inaishia katika blue sreen bada ya kuleta ogo ya sony na xperia .
ninashindwa ha kufanya , nimebadili battery maana iliuyokuwepo ilivimba .na ikakata mkanda ( hili nilibaini nilipoifungua ili nibadili battery) haijawaka kwa muda mpaka chaji imeisha nimeamua kuitunza. nawezapata msaada au ndo "ishaji brick" maana nashindwa hata kuupdate firmware mana hitambuliwi na kompyuta, nimejaribu kubadili charging system bila mafanikio. kuna linaloweza kufanyika ?/..... ntashukuru
sms 0753064252
 
kuna mengi ambayo naweza kuyaelezea kuhusu neon hilo (android) lakini kiufupi hakuna msamiati mmoja unaoweza kuleta maana yake kamili. kiufupi asili yake ni kilatini ikiwa sawa na neon roboti na hata uundaji wa OS hizi ni matokeo ya utafiti katika uboreshaji wa roboti. yaani kitu au mtu anayeeweza kujiendesha mwenyewe asiyechoka.(misamiati ktk maana hii inaweza isikupe taswira unayotaka lkn dhima ni kupata taswira ya roboti usitukane tafdhali)
 
Back
Top Bottom