Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

My whatsapp number has been banned....

Baada ya namba ya kwanza kuwa banned. Nikaamua nibadili naba na kununua simcard nyingine. Wakat nawataarifu ya rafiki zangu kuwa nimebadilisha namba ya whatsapp.....na hiyo namba mpya ikawa banned again.

Haya yote yamefanyika jana tena ndani ya siku moja.

Kama kuna mwenye ujuzi wa jambo hili naomba anieleze labda tatizo ni nini na nifanye nini ili nirejeshe nifufue tena account zang
 
Wadau,

Kuna yoyote anayefahamu app ambayo naweza nikasikiliza AM Radio stations ambayo haitumii internet , Simu nyingi Zina FM tuner lakini sijaona AM tuner ambayo iko offline.asante
 
Ukiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi unawalipa adsblock sasa sitaweza kusolve mfano wa matatizo kama hayo.

Mifano mingine ni KuRoot simu za version 6.0,7.0 nk. Kuzuia matangazo (ads), Udukuzi (hacking), Kupata sms za mpenz (spy).

Huduma hizo na nyinginezo zifananazo na hizo sitazitoa humu bali private kupitia njia ya simu au WhatsApp kutoka na sheria za Jf. Kwa msaada zaidi nipigie au sms kawaida 0753093869

Lakin kwa mambo ambayo nitakuelekeza na usielewe kutokana na kukosa picha, video, audio humu JF utanitext WhatsApp kwa number 0621072026.
Hellow ,Je wewe ni mtumiaji wa computer,simu au tablet? Je ushajaribu kutafuta software au application yoyote ile ukaikosa? Basi swala hilo Leo limefikia kikomo,Jiunge nasi ili uweze kuulizia application au software au games yoyote ile unayoitaka,Tutakupa link ili uweze kudownload,na pia kama utaitaji kujifunza kwa baadhi ya program tunatoa mafunzo kama Ms offices,Is installatio.. bonyeza link hiyo hapo chini ili uweze kujiunga nasi!!!

ANDROIDSPC & GAMESTRICKS
 
nina tatizo simu yangu Tecno N8 muda mwingine haipokei msg japokua kwa aliye nitumia inamletea delivery report.. na nikwabaadhi ya msg sio zote na kumbuka kua haijafikia limitation yake ya kupokea msg
Restore sms
 
My whatsapp number has been banned....

Baada ya namba ya kwanza kuwa banned. Nikaamua nibadili naba na kununua simcard nyingine. Wakat nawataarifu ya rafiki zangu kuwa nimebadilisha namba ya whatsapp.....na hiyo namba mpya ikawa banned again.

Haya yote yamefanyika jana tena ndani ya siku moja.

Kama kuna mwenye ujuzi wa jambo hili naomba anieleze labda tatizo ni nini na nifanye nini ili nirejeshe nifufue tena account zang
Usipojibiwa tatzo lako nipigie 0753093869 au fika ofisini kwetu KARIAKOO mtaa wa Agrey
 
Usipojibiwa tatzo lako nipigie 0753093869 au fika ofisini kwetu KARIAKOO mtaa wa Agrey
km ckosei wewe ndo muanzisha huu uzi... na ulijipamba kwamba all android problems unaweza fix... sasa unapoanza kusema eti USIPOJIBIWA!!!, unatarajia nani amjibu ikiwa wewe ndo mhusika mkuu?, huko ofisin kwako akija utafanya nn ambacho huwezi kumuelekeza hapa?... au hili ni tangazo la biashara mzee??
 
km ckosei wewe ndo muanzisha huu uzi... na ulijipamba kwamba all android problems unaweza fix... sasa unapoanza kusema eti USIPOJIBIWA!!!, unatarajia nani amjibu ikiwa wewe ndo mhusika mkuu?, huko ofisin kwako akija utafanya nn ambacho huwezi kumuelekeza hapa?... au hili ni tangazo la biashara mzee??
Hpa hatuwez kuyafanya hya
Rooting (ambaz zinahitaji pc)
Spy
Hacking eg social
Adsblock
Matatizo ambayo siwez kuyatatua kwa kuchat nione ofisini.
Acha kupenda bire, bure zipo na vya pesa vipo
km ckosei wewe ndo muanzisha huu uzi... na ulijipamba kwamba all android problems unaweza fix... sasa unapoanza kusema eti USIPOJIBIWA!!!, unatarajia nani amjibu ikiwa wewe ndo mhusika mkuu?, huko ofisin kwako akija utafanya nn ambacho huwezi kumuelekeza hapa?... au hili ni tangazo la biashara mzee??
 
Hpa hatuwez kuyafanya hya
Rooting (ambaz zinahitaji pc)
Spy
Hacking eg social
Adsblock
Matatizo ambayo siwez kuyatatua kwa kuchat nione ofisini.
Acha kupenda bire, bure zipo na vya pesa vipo
shida yake ni whatsapp number banned na cyo rooting... na hata rooting kama kweli umedhamiria kumsaidia kama title yako inavyojieleza na kama kweli wewe ni GURU in android as ulivyojipamba bac inawezekana ukaroot cmu yoyote bila kuletewa hapo ulipo....
 
Nikirecord saut kupitia cm yangu nikitaka kuingiza audio kwenye adobe audition(pc) hazionekani shida ni setting ya cm ay ya audition?
 
Nikirecord saut kupitia cm yangu nikitaka kuingiza audio kwenye adobe audition(pc) hazionekani shida ni setting ya cm ay ya audition?
Audio zina format nying km vile wav, mp3, aac kwahyo i change hiyo format to mp3. Kisha endelea na mambo yako
 
Wajuzi wa hizi kazi heshima kwenu. Nina samsung A5 usiku nimeitumia mpaka ikaisha chaji nimejaribu kuiweka kwenye chaji haiingizi chaji tena nimepita kwa fundi mmoja hapa ananiambia lazima aifungue kioo ili aifikie betri aibust, wakuu hamna namna nyingine ya kuibust bila kitoa screen? msaada wenu plz
 
Wajuzi wa hizi kazi heshima kwenu. Nina samsung A5 usiku nimeitumia mpaka ikaisha chaji nimejaribu kuiweka kwenye chaji haiingizi chaji tena nimepita kwa fundi mmoja hapa ananiambia lazima aifungue kioo ili aifikie betri aibust, wakuu hamna namna nyingine ya kuibust bila kitoa screen? msaada wenu plz
Kama una charger zake. Ichomeke kweny moto iache hapo, itachaji yenyew
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Nikiunganisha simu yangu Tecno J8 kwenye flat screen aina ya boss inagoma kusoma. Tatizo ni nini?
 
Back
Top Bottom