Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Mkuu ulikua sahihi sana mana hata mie nilikua najaribu kutafuta jibu la swali lako lkn sasa nimefika page ya 22 bado sijaona jibu.......

Neno Android lenyewe lina maana gani?

And+gate+roid

Sijaelewa kabisaaaaa
nashangaa watu walikua wanajibu tofauti
 
kama una pc unaweza ukancheki then nkakufanyia baaada tu yakupata access to ur pc thru teamviewer

Mkuu kama ikikupendeza fanya mchakato maana nimeona chenga chenga kwenye ile HTC sijaweza kitu na nimeogopa kuua simu maana nilihisi nitakosea step. ninayo teamviewer
 
nina tatizo simu yangu Tecno N8 muda mwingine haipokei msg japokua kwa aliye nitumia inamletea delivery report.. na nikwabaadhi ya msg sio zote na kumbuka kua haijafikia limitation yake ya kupokea msg
 
nina tatizo simu yangu Tecno N8 muda mwingine haipokei msg japokua kwa aliye nitumia inamletea delivery report.. na nikwabaadhi ya msg sio zote na kumbuka kua haijafikia limitation yake ya kupokea msg
Unatumia HiOs android 6.0?
 
Back
Top Bottom