Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Hapa w4 yangu nlikua kwenye mipango ya Ku restore sasa nmekosea batani simu imeenda kwenye fast boot mode... Imeandika hivo hivo na vidoti vitatu kwamba ina load.....sasa jinsi ya kutoka pale nifanyaje maana Hata betri sio lakutoa
Shikilia button ya pawer kwa muda kidogo itajirestart
 
Wajuzi wa hizi kazi heshima kwenu. Nina samsung A5 usiku nimeitumia mpaka ikaisha chaji nimejaribu kuiweka kwenye chaji haiingizi chaji tena nimepita kwa fundi mmoja hapa ananiambia lazima aifungue kioo ili aifikie betri aibust, wakuu hamna namna nyingine ya kuibust bila kitoa screen? msaada wenu plz
Junction joint itakuwa imekufa
 
Naomba munijuze kuhusiana na simu ua tecno canon cx ndgu yangu ubora wake weeaknens nk.
cyo tu hyo cx, tecno hawajawahi kuwa na cmu ambayo unaweza ukaiita eti ni cmu bora... hizo ni BORA CMU na ndo maana market yake ni ASIA, AFRICA na AMERICA kidogo
 
Nauliza hivii,nifanye nini game la 8 ball pool lisome,maana nilishwahi kuli-crack na kulifanya built-in App mzee tangia hapo game haisomi kabisa,kila nikilifungia linaandika Unexpected error,check if you have 20MB,inakera sana
Nimejarib kubadili Google account, it didn't work,unroot the phone still worked nothing, Flash simu still the *** didn't work.
Please help.
 
Mkuu simu yangu inasumbua nikitaka kupakia picha inaniandikia kama ifuatavyo "Allow Gallery to Access Photos,Media and file on your Denice,Halafu kwa chini kuna maneno Deny_Allow"Msaada wako plz,ni Tecno W2
Click allow(ruhusu)
 
Simu yangu tecno j8 kila nkiweka password inagoma kulog in.... shida nn na lip suruhisho mkuu?
 
Simu za samsung hasa note 4 na edge zinatatizo ya kua zinashindwa kuwaka baada ya kuzitumia muda flani.
Hilo tatizo unalitatua vipi mkuu
Ukiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi unawalipa adsblock sasa sitaweza kusolve mfano wa matatizo kama hayo.

Mifano mingine ni KuRoot simu za version 6.0,7.0 nk. Kuzuia matangazo (ads), Udukuzi (hacking), Kupata sms za mpenz (spy).

Huduma hizo na nyinginezo zifananazo na hizo sitazitoa humu bali private kupitia njia ya simu au WhatsApp kutoka na sheria za Jf. Kwa msaada zaidi nipigie au sms kawaida 0753093869

Lakin kwa mambo ambayo nitakuelekeza na usielewe kutokana na kukosa picha, video, audio humu JF utanitext WhatsApp kwa number 0621072026.
 
Simu yangu samsung j3/6 inazima chaji ikifika 35% tu ukiweka chaji inaanza 1
 
Simu yangu haziwez kuconnect camera.. Poa kuna wakati nikiizima haizimiki huwa inaleta neno tecno kwa kuzunguka mwanzo mwisho hadi nitoe betri.. Msaada pls.
 
Natumia samsung j5 nashindwa kuscreen shot na pia ktk watsap sioni batan ta enter

Msaada wakuu
 
Hilo ni tatizo LA rom
Muda mwingine zinaleta hivi mkuu
e2c0c2d7cb04bed9362eca61e8b35e12.jpg
 
Back
Top Bottom