Sweetbeth Lazaro
Member
- Oct 14, 2015
- 87
- 18
Mkuu naomba unisaidie jinsi ya Ku root android (tecno c7)
Ktk thread hii wape watu nafasi ya kujibu comment za watu. Bado haujaiva mkuu. Km kuna kitu hukifaamu mdirect kwa mtu.Majibu sahh kwa wakat sahihi na kwa maswali husika
Good kwa matatizo zaidi nipigie 0753093869Aisee ni hii kweli 100% simu ikiwa available 0B space unakuta app husika inaandika not respond force closed? Ukifuta chochote ikapatikana nafasi hata ya 1 mb space aiisee!! simu ina respond fasta. Big up bro.
Mimi ni android tuKtk thread hii wape watu nafasi ya kujibu comment za watu. Bado haujaiva mkuu. Km kuna kitu hukifaamu mdirect kwa mtu.
Ungeeleza umebobea nn
Ushauri mzuri nitaanza hivoKtk thread hii wape watu nafasi ya kujibu comment za watu. Bado haujaiva mkuu. Km kuna kitu hukifaamu mdirect kwa mtu.
Ungeeleza umebobea nn
App not installedTecno n2.fb can't update.inaandika app not installed error 503
Mkuu utaingia dukani, bei ni 105000Mkuu nahitaj kubadili screen ya Techno C9 itagharim kiasi gan?.
Sawa. Mkuu ingependeza zaid km kuna kitu hukijui unakiruka hii italinda hadhi ya uzi.Mimi ni android tu
Sio rahis kwakuwa haziruhhusiw hta mtandaoni ndo maana hi tunayoitumia ni secret yani hidden haionekanSawa. Mkuu ingependeza zaid km kuna kitu hukijui unakiruka hii italinda hadhi ya uzi.
Nitakutafuta, kuna app nataka unitengeze ya kum-spy mtu yaan sms zake, calls na mambo mengine niwe ziona kupitia simu yangu. Najua unayo ila mm nataka iwe ya kwangu (mali yangu)
Kama ni android hyo ni kawaida hasa smu inapokuwa na running apps nyingi in background pia kama unatumia apps nzitoKuganda kwa cm tatizo ninnini??
Easy sana tumia hata go smsMie nataka kuzuia Sms tu, kublock namba ya mtu asinitumie sms
Ndiyo najua. Nataka nitumie kweny shughuli zangu binafsi. Haziruhusu lkn zipo na zinauzwa hata ukiingia playstore unazikuta ila nyingi ni prank.Sio rahis kwakuwa haziruhhusiw hta mtandaoni ndo maana hi tunayoitumia ni secret yani hidden haionekan
Mkuu kwenye issue ya sammobile naomba maelezo kidogo kuhusu regions.. Mfano utakuna version flan ya smu firmware yake kwa region ya SA au Nigeria ni AOS 6.0 ila ukija Kenya ambayo naitumia sana unakuta bado wana AOS ya 5.0... Hebu nifafanulie please.Sawa.
Ningekutumia lkn haitafanya kazi maana lzm ujiandikishe ndipo unakua na uwezo wa kudownload chochote.
Software zote utazipata Kwa kuingia www sammobile.com..
The rest utamaliza mwenyewe huko Kwa maana kuunda account,kusearch firmware ya sumu yako (SM-G935F)utarekebisha hapo km nimekosea.
Kisha ukiipata sasa tutakutana hatua ya mwisho ya kui upgrade simu tukitumia Odin baada ya kuinstall drive..
Upo na Mimi bado!?