Mm natumia simu aina 2, moja Infinix not 4, storage ya simu ni 16, nimeweka memory card ya 8 gb, lakini nashindwa namna ya kuhamisha data kwenda kwenye memory card. Msaada please! Na Samsung galaxy prime, ina gb 8 storage, kuziongeza inakuaje?Tatizo sio chaji, tatizo ni storage, na RAM kwa hyo kwanza angalia storage(memory ama internal) uhakikishe in a nafasi ya kutosha, pili kma haina pungza apps usizo na kaz nazo, hpo simu itakuwa clear
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii nchi bwana burudani sana, halafu ukitoka hapa unaenda kwenye page ya aston villa kuporomosha utumbo
AiseeMkuu simu yangu inasumbua nikitaka kupakia picha inaniandikia kama ifuatavyo "Allow Gallery to Access Photos,Media and file on your Denice,Halafu kwa chini kuna maneno Deny_Allow"Msaada wako plz,ni Tecno W2
Nina game langu nime-download pes2020 ,shida nikilifungua nacheza kidogo linakata, tatizo kinaweza kuwa Nini?Ukiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi unawalipa adsblock sasa sitaweza kusolve mfano wa matatizo kama hayo.
Huduma hizo na nyinginezo zifananazo na hizo sitazitoa humu kma spy, hack nkbali private kupitia njia ya simu au WhatsApp kutoka na sheria za Jf. Kwa msaada zaidi nipigie au sms kawaida 0753093869
Lakin kwa mambo ambayo nitakuelekeza na usielewe kutokana na kukosa picha, video, audio humu JF utanitext WhatsApp kwa number 0753093869
Pia tembelea Forum mpya hapa ya tuzungumze yenye uhuru na upana zaidi
www.tuzungumze.com
Kwa uundaji wa websites,blogs and forums professionally Wasiliana nami pia
😂😂😂😂duu watu anasim mbovu aseee!
tNina game langu nime-download pes2020 ,shida nikilifungua nacheza kidogo linakata, tatizo kinaweza kuwa Nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimedownld nacheza kwenye simuapo apoo free space inanze alteast gb 4 pia kama ulikosea ku extract data pia poor pad settings pia weka iyo pad kwa luga ya kispania
t