Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Muda mwingine zinaleta hivi mkuu
e2c0c2d7cb04bed9362eca61e8b35e12.jpg
Hpo ni mgumo wa recovery
 
Nina Lg nimeshindwa ku unlock gmail account baadaya ya kuisahau
 
Mkuu nimefanya factory reset mara 4 lakini wapi, nimepeleka kwa fundi akaflash lakini tatizo likaendelea.
Nisaidie njia ya kuupgrade version nijajaribu
Hiyo ni njia ya kuflash firmware mpya, au kufanya upgrade
 
Ukiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi unawalipa adsblock sasa sitaweza kusolve mfano wa matatizo kama hayo.

Mifano mingine ni KuRoot simu za version 6.0,7.0 nk. Kuzuia matangazo (ads), Udukuzi (hacking), Kupata sms za mpenz (spy).

Huduma hizo na nyinginezo zifananazo na hizo sitazitoa humu bali private kupitia njia ya simu au WhatsApp kutoka na sheria za Jf. Kwa msaada zaidi nipigie au sms kawaida 0753093869

Lakin kwa mambo ambayo nitakuelekeza na usielewe kutokana na kukosa picha, video, audio humu JF utanitext WhatsApp kwa number 0621072026.
Nina miliki simu ya Tekno N8. Shida ya Simu ni kuwa haikai na charge; kwa kawaida wakati Wa kuchaji Simu huwa naizima kabisa especially kwa usiku mzima lakini cha ajabu haifiki au inaishia 76%

Na inapotumika ikifika 46% huzima gafla imetokea hivyo Mara nyingi au Mara zote.

Nimejaribu kuipeleka kwa fundi amebadiisha charging system na mpaka nimenunua original betri lakini tatizo lipo pale pale

Naomba kujua shida itakuwa wapi na nifanyeje?
 
Mkuu simu yangu inasumbua nikitaka kupakia picha inaniandikia kama ifuatavyo "Allow Gallery to Access Photos,Media and file on your Denice,Halafu kwa chini kuna maneno Deny_Allow"Msaada wako plz,ni Tecno W2
Hapo niku allow tu mkuu kuipa uwezo wa Ku access photos media & files kwa gallery
 
Nina miliki simu ya Tekno N8. Shida ya Simu ni kuwa haikai na charge; kwa kawaida wakati Wa kuchaji Simu huwa naizima kabisa especially kwa usiku mzima lakini cha ajabu haifiki au inaishia 76%

Na inapotumika ikifika 46% huzima gafla imetokea hivyo Mara nyingi au Mara zote.

Nimejaribu kuipeleka kwa fundi amebadiisha charging system na mpaka nimenunua original betri lakini tatizo lipo pale pale

Naomba kujua shida itakuwa wapi na nifanyeje?
IC imepoteza kumbukumbu
 
cyo tu hyo cx, tecno hawajawahi kuwa na cmu ambayo unaweza ukaiita eti ni cmu bora... hizo ni BORA CMU na ndo maana market yake ni ASIA, AFRICA na AMERICA kidogo
Mkuu memory card yangu inaandika SD card damaged try to format kwa kweli inaniumiza sana kwasababu ndani kuna vitu vya muhimu sana nifanyaje sasa hapa mkuu.
 
Ukitaka Kufanya kutu Fulani simu ikakuandikia screenoverlay protected Inamaana gani na ufanyeje kuondoa Hali hiyo
 
2e783909fe113967e67af57453c28655.jpg


Nkitaka kulogin email yoyote inasema hvo
Simu ni samsung s3.......
Msaada wakuu!
 
Ukitaka Kufanya kutu Fulani simu ikakuandikia screenoverlay protected Inamaana gani na ufanyeje kuondoa Hali hiyo
Hilo tatizo linasababishwa na messenger sms, sasa nenda setting-accsebility-screen overlay detected weka off
 
Back
Top Bottom