Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 370,611
- 858,123
Magu alikomba kwenye account zake kiasi kikubwa sana cha pesa na chanzo ni bus za Darlux kubeba waombolezaji kwenye msiba wa kaka yake JK Chalinze.. Bulimia Lux kama kumi hivi.. Magu kuuliza akaambiwa na chawa ni za JKDar Lux alimzurumu Mama mmoja nyumba yake hapo Mbezi beach walikua wanakopesha hela za Riba na weka dhamana baadae riba ikawa kubwa wakachukua nyumba na yeye Lux aliweka dhamana Bank na kukopea hela zilizofanya aweze kununua na kukopa baadhi ya magari enzi za Magu yule Mama alipolalamika hilo swala likafatiliwa mpaka mahakamani ikanekana palikua na janja janja tu toka hapo wakaanza kupiga mnada bus zake moja baada ya ingine kuna muda mengine unakuta bus jipya lipo chini ya madarali wakilitangaza kuliuza...
Nadhani kwa bus zilizouzwa kwa bei ndogo hizo ni mojawapo aisee..
Sasa matatizo kama haya watu wengine wakisikia fulani kashindwa biashara utasikia biashara ya Bus sio kabisa kumbe kuna vitu vipo chini ya carpet wazee...
Sent using Jamii Forums mobile app