Dar Lux kapotezwa?

Dar Lux kapotezwa?

Nimesema kwenye uzi mwingine, I'll c&p here:

Biashara ya mabasi ni biashara pasua kichwa kuliko zote.

Scandinavia iliyofanya Mapinduzi kwenye hii sekta ilikufa kifo Cha mende.

Hood imekufa.

Sumry chali.

Sauli yupo hoi siku zake zinahesabika, Achimwene got him in the headlock.

Dar express, Dar Lux, Rungwe waliokuwa powerhouse kwenye hii sekta wote wapo hoi. Etc etc

Turnover kwenye hii sekta ni kubwa mno. Kila miaka miwili wanakuja wengine na kupotea kama upepo household names.

Utasema usimamizi na sababu zote ila sio rahisi kusema hao wote hawajui wanachokifanya. Fanya hii biashara kama unataka kufukia pesa zako.
Nahisi inachosha akili, wengine wanaamua kupumzika baada ya kuhakikisha pesa yake imerudi, lakini kuna wengine wanapata hasara, ni kama biashara ya aviation, kuna kampuni zinafunga miezi ni hasara tupu, aisee..
 
That explains it. Haiwezekani wengine wote wafe ukasema hawajui wanachokifanya there's more to it. Hii ni biashara kichaa kuliko zote.
Hii biashara sio poa niliwahi kuwa na mazungumzo na bosi wa zilizokuwa basi za Hekima zilitamba sana miaka ya 2000 mwanzoni route ya Dar-Mbeya-Tunduma.

Akaniambia msione vyuma tu vinapita barabarani ila mjue wakurugenzi wa mabasi wote tuna sonona

Mara ya mwisho niliona kawekeza zaidi kwenye usafirishaji wa malori, mabasi alipiga chini
 
Hii biashara sio poa niliwahi kuwa na mazungumzo na bosi wa zilizokuwa basi za Hekima zilitamba sana miaka ya 2000 mwanzoni route ya Dar-Mbeya-Tunduma.

Akaniambia msione vyuma tu vinapita barabarani ila mjue wakurugenzi wa mabasi wote tuna sonona

Mara ya mwisho niliona kawekeza zaidi kwenye usafirishaji wa malori, mabasi alipiga chini

Nazikumbuka Hekima. Mabasi huwa yana timeframe ya miaka miwili kabla ya kupotea kwenye ramani.
 
Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
View attachment 2860514
Hati za yule mjane...na machoziye....hilo ndo jibu
 
Ukiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.

Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.

Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.

Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.

Authentic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukopo.

Mimi sijawahi kopa Bank hat 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.

Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow lf cash ni nzuri.

Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeone fursa.
Hakika BANK haipo kwa ajili ya kusaidia mtu
 
Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie

Hii biashara hakuna anayeweza kufanikiwa nayo tatizo kubwa likiwa Serikali na wafanyakazi.

1. Serikali - polisi, tra, latra, tanroads, TBS nk. Humu kuna usumbufu pasua kichwa kodi, tozo, rushwa na kila aina ya uhuni ikiwamo bidhaa fake.

2. Wafanyakazi wakiwamo madereva, Makonda, wasimamizi, mafundi fake. Wizi wizi na kutowajibika.

Mawili haya kwa Tanzania hii hata kama ungekuwa malaika sahau kufanikiwa.

Sana sana upumue pumue kwa muda ukiwa mbunge, waziri au kwa kuwa na mamlaka au access na connections za kutosha serikalini.

Ndiyo maana kila siku inaendeshwa na wawekezaji wapya ambao nao huwa hawadumu.
 
Ukiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.

Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.

Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.

Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.

Authentic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukopo.

Mimi sijawahi kopa Bank hat 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.

Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow lf cash ni nzuri.

Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeone fursa.
Utafika mbali wanaoendelea ni wasio na mikopo unakuwa na real capital
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom