Dar Lux kapotezwa?

Dar Lux kapotezwa?

Biashara ya mabasi kichaa wki iliyopita alhamis nimepanda basi la Happy nation kwenda mpanda yaani abiria tulikua hatufiki 20 na mbaya zaidi kati ya hao wengi walishuka morogoro.Basi lilikua linapata abiria wakupanda na kushuka kama daladala mpaka tunafika mpanda .Kuanzia hapo nawaheshimu sana wamiliki wa mabasi wanapitia mengi sana.
 
Zuberi yupo wewe , hizo gari za kisesa , kisbo ,kibo ,zube trans na Zuberi trans unafikiri ni za nani ?
Na ana stendi yake hapo Nata ,Mwanza mjini
Mzee yuko bado kwenye Game
Kisbo na Kibo si za Zuberi...hao ni wachaga Mzee. Zuberi bado yupo sema mapinduzi ya ushindani wa Sasa ni kama anashindwa kwenda nayo kwa Kasi kama wenzake kina Ally's na Happy nation.
 
Marco Polo za Zuberi bado zinadunda tu mpaka leo .
Ingawa ana gari za kichina baadhi ila Marco Polo na Scania ni nyingi .
Haya mabati ya kichina hawa wanaoingia kwenye industry ndio wanapotea nayo
Hata Abood ana Marco Polo nyingi kuliko mabati ya kichina
Biashara ni kama mtoto anayehitaji uangalizi wa karibu sana.......kula, kuogeshwa, kuvalishwa, kumpeleka hospital, nk. Kuhusu hayo mabati ya kichina, mmiliki anapaswa kuyaondoa (dispose) mara tu anapoona yamechoka na hayana ushindani barabarani, na afidie kwa kununua lingine (replace). Hayo yaliyochoka awauzie wale wanaopiga route za uswekeni, maana yanakuwa bado na thamani kidogo (residue value) na yanafaa kwa safari za vijijini (mfano kwenda kigoma).
 
Dar lux katulia zake marekani
Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence/misifa Kama yote. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
View attachment 2860514
Kakimbia madeni yupo zake Marekani na familia yake
 
Kuna watu walivumisha DarLux alikosea masharti ya mganga wake! Eti alikuwa Mkinga yule!
 
Mi mwenyewe nimemgoogle huyo jamaa wa lae oil af ni chalii sana 36 yrs... Hizi investment za lake sio mchezo kila Kona wapo.... Au karithi pesa
Anasema hajarithi, baba yake alikataa kumpa pocket money wakati anasoma Canada kwa kudai kuwa ameshakuwa mtu mzima ajifunze kutafuta pesa. Hapo ndio akaanza kufanya biashara ya kusafirisha mitumba kutoka Canada kuja Bongo.
Hizi stori za matajiri jinsi walivyofanikiwa zinaingia akilini kwa matajiri wenyewe.
 
Anasema hajarithi, baba yake alikataa kumpa pocket money wakati anasoma Canada kwa kudai kuwa ameshakuwa mtu mzima ajifunze kutafuta pesa. Hapo ndio akaanza kufanya biashara ya kusafirisha mitumba kutoka Canada kuja Bongo.
Hizi stori za matajiri jinsi walivyofanikiwa zinaingia akilini kwa matajiri wenyewe.
USD Millionaire by 23
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom