Dar Lux kapotezwa?

Dar Lux kapotezwa?

Ukiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.

Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.

Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.

Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.

Authentic/Organic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukopo.

Mimi sijawahi kopa Bank hata 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.

Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow of cash ni nzuri.

Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeona fursa.
Ukifatwa na bank ukope ni mtego usikope,Boss wangu na bro wangu dam alikua na mzunguko mkubwa vile vidada vinavyoshawishi watu kukopa vilikua vinamshawishi sana akakopa milion 100 alafu baada ya mwaka biashara ikayumba vibaya sana akaishiwa kabisa.

Saiv anaogopa mkopo wa bank kuiko chochte
 
Ukifatwa na bank ukope ni mtego usikope,Boss wangu na bro wangu dam alikua na mzunguko mkubwa vile vidada vinavyoshawishi watu kukopa vilikua vinamshawishi sana akakopa milion 100 alafu baada ya mwaka biashara ikayumba vibaya sana akaishiwa kabisa.

Saiv anaogopa mkopo wa bank kuiko chochte
Na vikishafanikiwa kukushawishi vinakuwa vikauzu
 
Hii biashara lazima uroge sana na uwe mfuatliaji mzuri wa hesabu za kila siku

Juzi nimepanda BM nilikutana na ujinga wa huduma ndani ya gari

Hii biashara pasua kichwa sana na naona mchina ameshajihakikishia soko lake la mabasi

Una billion 5 kwanini usiweke UTT Amis au ukanunua Bonds Benki kuu au taasisi za fedha halafu hiyo faida ya kila miezi sita ukaanza na basi mbili tu kama unapenda kuwekeza katika usafiri wa mabasi
 
Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence/misifa Kama yote. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
View attachment 2860514
JAMBO LA KUJIFUNZA, ALITHUBUTU NA ALIWEZA KUANSIAHA BIASHARA KUBWA.
KWAMBA SISI TUONAO MJADILI HAPA TUFANYE MAKUBWA ZAIDI YAKE.
 
Hii biashara sio poa niliwahi kuwa na mazungumzo na bosi wa zilizokuwa basi za Hekima zilitamba sana miaka ya 2000 mwanzoni route ya Dar-Mbeya-Tunduma.

Akaniambia msione vyuma tu vinapita barabarani ila mjue wakurugenzi wa mabasi wote tuna sonona

Mara ya mwisho niliona kawekeza zaidi kwenye usafirishaji wa malori, mabasi alipiga chini

Hekima umenikumbusha mbali sana kiongozi hasa ile chata nyuma miaka hiyo hakuna cha Tochi wala VTS
 
Hakika BANK haipo kwa ajili ya kusaidia mtu
Utafika mbali wanaoendelea ni wasio na mikopo unakuwa na real capital

Y'all don't know how money works. Endeleeni kudunduliza hadi siku mpate mtaji wa 10M USD in your lifetime. Kama unataka kuscale up your business utaenda bank mwenyewe.
 
Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence/misifa Kama yote. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
View attachment 2860514
Huyu itakuwa alijambiwa na fisi. Barabarani kuna mafisi. Kuna watu usipowaona huwezi kutoboa.

Hata sauli nae anaelekea huko.

Mfano ww jiulize kwanini Tanga miaka yote majina na wamiliki ni wlewale
 
Ukiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.

Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.

Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.

Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.

Authentic/Organic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukope.

Mimi sijawahi kopa Bank hata 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.

Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow of cash ni nzuri.

Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeona fursa.
You have good financial literacy
 
Abood na Shabiby ndio wakongwe pekee waliobaki, zaidi ya miaka 25 kwenye game. Na wanazidi kushusha vyuma vipya. Wakongwe wengine wote walishatupa vitaulo
Sio huyo tu mkongwe ,wapo wengine wengi ni kwamba mmekariri hao tu
Kuna mtu anaitwa Zuberi yupo kanda ya ziwa , huu ni mkongwe kwenye hii game kuliko hata hao akina Abood na Shabiby
Na ana convoy ya magari yanaenda Dar ,Kahama ,na sehemu nyingine
Yupo miaka mingi mno kwenye hii game na anafanya poa tu na anazidi kutanuka kila siku na
Hii biashara inahitaji strategy , ukitenfengeneza strategy yako na ikatick basi utatoboa tu
 
Abood na Shabiby ndio wakongwe pekee waliobaki, zaidi ya miaka 25 kwenye game
Hawa ni wajanja . Wamejiingiza kwenye Chaka la ufisadi (ccm) ni wabunge. Hivyo kuna tozo na Kodi wanakwepa kwa nafasi zao.

Wamiliki wa mabasi wote wanakiri kwamba ukitekeleza maelekezo yote na taratibu zote za serikali ktk Kodi na tozo mbalimbali mabasi hayana faida.
 
Sio huyo tu mkongwe ,wapo wengine wengi ni kwamba mmekariri hao tu
Kuna mtu anaitwa Zuberi yupo kanda ya ziwa , huu ni mkongwe kwenye hii game kuliko hata hao akina Abood na Shabiby
Na ana convoy ya magari yanaenda Dar ,Kahama ,na sehemu nyingine
Yupo miaka mingi mno kwenye hii game na anafanya poa tu na anazidi kutanuka kila siku na
Hii biashara inahitaji strategy , ukitenfengeneza strategy yako na ikatick basi utatoboa tu
Sawa mkuu mwongeze kwenye list
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom