Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,813
11,991
Uamuzi huo umetangazwa na Wakala wa Barabara (TANROADS) Dar es Salaam lengo likiwa ni kupisha ujenzi wa Daraja la Reli ya Kisasa ya SGR ambapo barabara hiyo itafungwa kuanzia Mei 28, 2023 hadi Septemba 30, 2023 baada ya ujenzi husika kukamilika.

Imeelezwa katika kipindi hicho vyombo vyote vya moto na watembea kwa miguu wanashauriwa kutumia Barabara ya Kawawa, Veta- Chang’ombe, Shaurimoyo, Kilwa Road na barabara ya mchepuko iliyojengwa pembezoni mwa eneo hilo la ujenzi.
Tan.JPG
 
Hahahaha....4month, daraja la SGR.

Hivi hii SGR itaishi lini na kuanza kutumika kabisa?.. Naiona hatari huko mbeke na huu ujenzi wa SGR.
Kasi ya kuagiza malori na ujenzi wa petrol stations imekuwa kubwa sana.
 
Sipati picha foleni yake itakuaje kuna kipindi huwa natumia bodaboda ili kuepuka na usumbufu wa foleni
 
Kwa hiyo ile ya kukunjia ukaja kutokea machinga isharuhusiwa? Hiyo ndo mbadala ila nayo kama wameifunga ni mtiti.
 
Kwa hiyo ile ya kukunjia ukaja kutokea machinga isharuhusiwa? Hiyo ndo mbadala ila nayo kama wameifunga ni mtiti.
Walichofunga ni kile kadaraja, ukitoka mataa veta kuna kituo kinaitwa darajani kabla hujakunja kuingia Shaurimoyo. Daraja lililofanya paitwe darajani wanalivunja. Wametengeneza diversion pembeni yake..
 
Back
Top Bottom